bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
Anaandika Edo Kumwembe katika page yake ya instagram.
Namkubali huyu dada anafaa kabisa kuitwa mrembo lakini si kama wengine wanalazimisha kuwa weupe ili waitwe warembo, wengine kutoboa pua ili waitwe warembo, wengine kulazimisha kuvaa vijisketi ili waitwe warembo,mimi ili mtu aitwe mrembo ni lazima awe natural, aitumie mikorogo, avae nguo ya kiafrika gauni linalofunika mguu, mabega, shingo
asiyejitoboa pua, sikio mara mbili n.k
kama picha isemavyo:
Maoni yenu
Namkubali huyu dada anafaa kabisa kuitwa mrembo lakini si kama wengine wanalazimisha kuwa weupe ili waitwe warembo, wengine kutoboa pua ili waitwe warembo, wengine kulazimisha kuvaa vijisketi ili waitwe warembo,mimi ili mtu aitwe mrembo ni lazima awe natural, aitumie mikorogo, avae nguo ya kiafrika gauni linalofunika mguu, mabega, shingo
asiyejitoboa pua, sikio mara mbili n.k
kama picha isemavyo:
Maoni yenu