Ni kiongozi wetu wa kiimani
Wewe sio wakuonyeshwa kifungu, bali anza mwanzo kabisa kwanza uitambue Kebra nini kisha Songa mbele
Exactly!NA SAKRAMENT HAILIWI OVYO2 , SO KUVUTA BANGI OVYO2 NI KINYUME NA IMANI YA MARASTAFAR KULINGANA NA KANUNI 1 HAPO JUU(Kaya ni "sakramenti" kwa maana ya kwamba inatumiwa wakati wa worshipping kwa dhumuni la ku "calm yourself" )
SO WAVUTA BANGI BILA YA MPANGILIO SI MARASTAFARI ILA NI WALEVI TUU
kufanya kazi kwa mikono badala ya mashine huoni kwamba kimaendeleo mtakua nyuma na mwisho mtakua maskini sana ktk jamii ya sasa ya sayansi na teknolojia!!! au hukubali kua miongozo ya maisha ya miaka ya kale haiwezi kuhimili mikiki ya maisha ya sasa kama uislam na ukristo unavyoshindwa mikiki ya maisha ya sasa!!!
Moyo ndio mahususi kwa imanimbona avatar yako yaonesha kuwa hujafuga rasta kama wenzako au haina neno?
Mimi nitakuambia kuwa alifanya vuzuri na alifanya yaliyondani ya uwezo wakeMara nyingi tunaambiwa mojawapo ya sifa za Kiongozi bora ni matendo yake, je unafikiri si sahihi kujadili utawala wake aliokuwa anausimamia ?
halafu wanakuwaga wachafu balaa. sijui kwanini.Kuna wana wanajifanya marastafari pale posta brand house ili waopoe watoto wa kizungu!!!!kibongobongo wengi wanajifanya marastafarian wanakuwaga sio mahandsome
halafu wanakuwaga wachafu balaa. sijui kwanini.
Hao ujue maisha magumu tu...
Marlon Asher anasema
"Tru jah jah bless i with nuff a
good vibes man
and true mi a di artist with di
ganja inna di land
make doctors get nuff medication
and so dem coulda give it to
dem sick patients
make get chemists get nuff
medication
and so dem coulda brew new medication
make singers get some
inspiration
and so dem coulda spread jah
message pon di land... Me a
chant"