Maana halisi ya Rastafari

Hata mimi nimesikia asubuhi kwenye BBC swahili nikashangaa hizo Imani zao kumbe wanasamini BANGI.
 
Hata mimi nimesikia asubuhi kwenye BBC swahili nikashangaa hizo Imani zao kumbe wanasamini BANGI.
Ndo uhuru wa kuabudu au?
Katiba inaruhusu ila sheria isivunjwe.
 
nyie pambaneni na ushoga, ya bange hamyawezi kutokana na vichwa vyenu kufanana na vya wabunge wa bunge maalumu la katiba.

mmejaa dharau utadhani mnawamiliki miungu hata muwabeze wenzenu.
 
nyie pambaneni na ushoga, ya bange hamyawezi kutokana na vichwa vyenu kufanana na vya wabunge wa bunge maalumu la katiba.

mmejaa dharau utadhani mnawamiliki miungu hata muwabeze wenzenu.
jogi we sakrament yako unaipatiaga wapi:majani7:
 
Last edited by a moderator:
Nimemsikiliza vzr mwandishi wa BBC Leonard Mubali na amehudhuria ibada ya hao waabudu binadamu marasta!
Sijui nae kwa kuwa kahudhuria nae kapata sakramenti (ganja)?
Mi naona kama ni ujinga na kukosa fikra pevu out of the box! Hivi huyo Selasie nae alikuwa anakula ganja?
Hakuna cha amani wala nini jamaa wamepotea! Kova hebu peleka vijana wako pale wakakamate hawa wahuni na wakuambie hiyo mimea haramu inayoongeza idadi ya mataahira nchini wanaitoa wapi!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

je ni kweli sifa mojawapo ya rastafari lazima uvute bangi?
 

IMANI ZOTE za miungu ni ujinga na kukosa fikra pevu, ukristo, uislam, budhism, sijui takataka zote NI UJINGA!
 
mbona marasta wengi ni wachafu. Hawafui, hawaogi. Au hiyo nayo ni sifa ya rastafari.
 
imani zote za miungu ni ujinga na kukosa fikra pevu, ukristo, uislam, budhism, sijui takataka zote ni ujinga!

ahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....shikamoooooooooooooo mkuu
 
Bangi kwetu ni sakramenti kama ilivyo kwa waamini wa dini ya ukristu,

Ni mmea unaoheshimiwa sana sana!

Bangi ni desturi mbaya kabisa kuwahi kudumishwa na mhubiri wenu wa kimataifa Bob Nester Marley.
 
cc The Big Show, Boko Haram, Ritz, na wengine wote wadharauo imani za watu wengine

Rastafari is an
Abrahamic new religious movement that accepts Haile Selassie I, the Ethiopian emperor from 1930 to 1974 as God incarnate and the Messiah who will deliver believers to the Promised Land, identified by Rastas as Ethiopia. It has its roots in black-empowerment and back-to-Africa movements. It originated in Jamaica and its followers continue to be concentrated there, although smaller populations of Rastas can be found in many countries today.
 
By cyberteq

imani zote za miungu ni ujinga na kukosa fikra pevu, ukristo, uislam, budhism, sijui takataka zote ni ujinga!

Taka taka ndio imejaa kwenye bichwa yako chafu. Hujui hata maana ya neno "imani"? Zaidi ya hapo, wewe si wale walio pigwa mhuri wa kwenda Jehannam. To be more precise, you are Satan incarnate.
 
rasta got a soul...
 

Attachments

  • vlcsnap-2014-03-23-21h35m34s96.png
    55.1 KB · Views: 243
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…