Maana halisi ya Rastafari

Ninachoona Haile Selasie mnamfanya kama Mungu,halafu sidhani bila Bob Maley hi imani ingesambaa
 
one love man
:majani7: ila mjuekuna marastafari wazungu. NabangimuachekuvutaoneloveNabangimuachekuvutaoneloveNabangimuachekuvutapeaceandloveNabangimuachekuvuta

 
Rasta Bila Kuvuta Sijui Inakuaje? Akat Wana Utukuza Sana Mmea Na Bila Bob Cjui Ungeishia Wap Huo Urastafar
 


Ok
If so, God is 1,Jesus kuna post ya Dreadnought amejibu haile sellasie ni Bwana wa bwana simba wa Judah au mi cjaelewa
Inakuwaje hapa
 
Wanasema bila bob urasta ungekuwa wapi? Hawajui urasta ulikuwepo strong miaka mingi kabla ya kuzaliwa bob Marley. Na bob Marley Ame fanya dunia iwatambue marasta kitu ambacho sio important sana kwa marasta. Japo ni kizuri. Mnadhani kwa kuwa msingeujua urasta kutokea kwa bob Marley, ndio urasta usinge kuwepo?
Ngoja na me niseme moja basi.
Hivi bila babu zenu kuteswa na kunyimwa haki na wakoloni, hizo dini zenu sijui zingekuwa wapi.. Hhaaaa
Mila mijeledi ya waarabu, na vipigo vya wazungu..
 
kunakitu watu mnachanganya hapa na ndio kinasababisha mshndwe kuelewa utakuwaje muislam/mkristo na bado uwe rastafarai.. Rasta sio imani ni "way of life." hakuna dini inayoitwa rastafarai bali kunawatu wanaishi kirasta.

Mkuu soma vzr post
Amesema hii ni imani
 

Aiseeeee
Nilikuwa cjui ndo raha ya jf
Cc Eiyer; Matola; ionlady
 
Mfano mdogo ni Mungu na Yesu, na Mtume Mohamed na Mungu,

Huwezi kwenda kwa Mungu bila kupita kwa watu hao,

Ndivyo ilivyo kwetu, Tumemchagua Haile awe kiongozi wetu atuongoze kwenda kwa Jah

Ok
Kumbe Mmemchagua nyinyi wenyewe
Sio km ametumwa na Mungu km mitume wengine
 
Ok
If so, God is 1,Jesus kuna post ya Dreadnought amejibu haile sellasie ni Bwana wa bwana simba wa Judah au mi cjaelewa
Inakuwaje hapa

Rastafarians wamemchagua King Haile Selassie kuwa kiongozi wao, ni sawa na Mohammad S.A.W kwa waislamu na yesu kwa wakristo.
 

Falme ya roma ilipofika Kushi ilikuta tayari masinagogi yapo!
 

..........soma kipengele hicho kwa makini, na ndipo utajua post hii ni pumba !:loco::der:
 
The Rastafari movement is an Ethiopian-Hebrew spirituality that arose in the 1930s in Jamaica. It is sometimes described as a religion but is considered by many adherents to be a "Way of Life".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…