Maana halisi ya Rastafari

Maana halisi ya Rastafari

LUCKY DUBE "Rasta Man's Prayer"

There comes a time
In everyman's life where he's got to face
The truth no matter what.
We are coming to you father
With our sins and everything
To thank you

Those that smoke marijuana
Wanna thank you father
For making it grow internationally,
They wanna thank you lord
Even though police cut it down,
Sometimes they burn it down
But it grows again
Thank you father

[Chorus:]
We wanna thank you father
For everything you've given us

Nations that oppress other nations
Wanna thank you father
Even though it's painful to be oppressed
But they thank you...
For making them strong

Politicians thank you father
For making them to be able
To lie with a straight face
While the nation cries
They wanna thank you lord

[Chorus: till fade]

Mkuu Yericko Nyerere, lakini huyu jamaa alikua anasema rastafari sio kuvuta bangi na amewahi kusema mara nyingi tu kama urastafari ni kuvuta bangi, basi yeye sio rastafari.​
 
Last edited by a moderator:
LUCKY DUBE "Rasta Man's Prayer"

There comes a time
In everyman's life where he's got to face
The truth no matter what.
We are coming to you father
With our sins and everything
To thank you

Those that smoke marijuana
Wanna thank you father
For making it grow internationally,
They wanna thank you lord
Even though police cut it down,
Sometimes they burn it down
But it grows again
Thank you father

[Chorus:]
We wanna thank you father
For everything you've given us

Nations that oppress other nations
Wanna thank you father
Even though it's painful to be oppressed
But they thank you...
For making them strong

Politicians thank you father
For making them to be able
To lie with a straight face
While the nation cries
They wanna thank you lord

[Chorus: till fade]

Mkuu Yericko Nyerere, lakini huyu jamaa alikua anasema rastafari sio kuvuta bangi na amewahi kusema mara nyingi tu kama urastafari ni kuvuta bangi, basi yeye sio rastafari.​

Mkuu bangi sio kitambulisho pekee cha Rastafari,

Mimi sivuti bangi, sinywi pombe wala aina yoyote ya anasa, lakini ni muamini wa Rastafarian
 
Last edited by a moderator:
LUCKY DUBE "Rasta Man's Prayer"

There comes a time
In everyman's life where he's got to face
The truth no matter what.
We are coming to you father
With our sins and everything
To thank you

Those that smoke marijuana
Wanna thank you father
For making it grow internationally,
They wanna thank you lord
Even though police cut it down,
Sometimes they burn it down
But it grows again
Thank you father

[Chorus:]
We wanna thank you father
For everything you've given us

Nations that oppress other nations
Wanna thank you father
Even though it's painful to be oppressed
But they thank you...
For making them strong

Politicians thank you father
For making them to be able
To lie with a straight face
While the nation cries
They wanna thank you lord

[Chorus: till fade]

Mkuu Yericko Nyerere, lakini huyu jamaa alikua anasema rastafari sio kuvuta bangi na amewahi kusema mara nyingi tu kama urastafari ni kuvuta bangi, basi yeye sio rastafari.​

Kuwa Rastafari si lazima uvute bangi mkuu, Na Lucky Phillip Dube ni mfano mmojawapo wa Rasta asiyevuta bangi.

Ndo mana kwenye mistari ya huo wimbo wa Rastaman's Prayer, pale kwenye Marijuana ametumia kiwakilishi "those" to refer to the ones that smoke, excluding himself.

He was a true RASTA despite being Non smoker.
 
Last edited by a moderator:
Kuwa Rastafari si lazima uvute bangi mkuu, Na Lucky Phillip Dube ni mfano mmojawapo wa Rasta asiyevuta bangi.

Ndo mana kwenye mistari ya huo wimbo wa Rastaman's Prayer, pale kwenye Marijuana ametumia kiwakilishi "those" to refer to the ones that smoke, excluding himself.

He was a true RASTA despite being Non smoker.
Watu wengi wanadhani kuvuta bangi ndio urastafari..
 
Moja kati ya nguzo kuu za Rastafari ni UPENDO na AMANI, Rasta hujaribu kutafuta amani popote ipatikanapo, tabia hiyo ya Rasta imewafanya Rasta kuheshimiwa popote pale waingiapo lakini baadhi ya jamii huwa tofauti na imani hii.



Rege kwangu nisehemu ya Ibada ya kweli ambapo hutumia mziki huo siku za jumamosi kama sehemu ya kuwasiliana na Mungu wangu, Hakika Mungu hunijibu tena LIVE.

Kuwa Rastafari nilazima uishi nakufuata yafuatayo:


Fuata sheria za Nazareti katika Bible(Rastafarian Bible).

Epuka vyakula najisi kama nguruwe, kambale n.k

Heshimu utamaduni wa Africa na kubali kuwa wanadamu wote asili yetu ni Africa na ndio Zion Yetu

MHESHIMU KING OF KINGS, THE LION OF JUDAH, ELECT OF GOD, RAS TAFARI MAKONEN, HAILE SELASSIE, THE POWER OF THE TRINITY, KING MESIAH FROM THE ROOT OF KING DAVID IN A SOLOMONIC LINEAGE.

Kuwa msafi, usimuudhi mtu, Heshimu imani za watu, usibague mtu kwa kuangalia imani, kabila wala rangi.

Jali Elimu kwa kuwa ndio msingi wa Haile kujikomboa.

Heshimu mother nature na usiharibu mazingira.

Usiue mnyama wala kumpiga bila sababu.


Heshimu dini/imani za watu wengine,

Tambua uwepo wa Yesu Kristu na Mtume Mohamed SAW (japo mafundisho yao usiyafue)

Epuka kugusa damu wala kunywa damu.

Heshimu Bendera ya Empire ya Ethipia na Rasta colour, usivae ovyo kama urembo,

Jali equality, kuwa natural na epuka vitu vya kemikali n.k

Tafari Makomein (Gabriel Haile Selassie) ni God incarnate.

Pengine hili swala la kumwabudu Haile Selassie limebaki kwa " Root Rastafarians" yaani mimi na wale walio devote maisha yao yote katika namna ya asili ya Rastafari.

Maisha yanabadilika halikadhalika mawazo na mitazamo pia.

Rastafari sasa inaonekana kuwa kama lifestyle na pengine ni jambo jema. Kuwa Rastafari kama Kebra(Rastafari Holy Book) inavyosema ni kuwa na namna ya maisha yaliyo nyofu.

Hii inatia ndani; upendo, heshima, na amani. Kwa Rastas tunasema " don't haffi dreadlocks to be rasta, a Rastaman is a conception of the heart"

Kaya ni "sakramenti" kwa maana ya kwamba inatumiwa wakati wa worshipping kwa dhumuni la ku "calm yourself" na kutafuta oneness na muumba "Jah".

Ikumbukwe kwamba, Rastafari sio organized religion lakini ni imani yenye tumaini tofauti na inabeba mafundisho mengi ya bible hasa old testament.

Hauitaji kuacha kazi, dini yako, mke wako/mume au umkane mtu fulani ili uwe rasta. Kuwa rasta ni kuishi maisha bora kama nilivyo taja hapo huu.

Mpende mzazi wako, jali utu wa mwanadamu na viumbe vingine hapo utakuwa Rastafari kwa matendo. Kuhusu ku "smoke Kaya" ni uamuzi japo wengi tunatumia.

Kuwa rastafari ni very hard, inabidi uwe makini na ukubali kupata chalenges nyingi za maisha na watu kukuhukumu kwa kukuangalia na wengine kukuona mjinga. Ila ni raha sana kwa kuwa utaishi maisha ya furaha bila kujali what they think.


BLESSINGS!

1)....mkuu naomba ni fahamu nini maana ya kutambua uwepo wa Yesu, na mnatambua kwa level gani,

kwanini mnautumia bible katika imani yenu..?

2)....unasema rege ni sehemu ya ibada na unatumia kuwasiliana na Mungu, kwanza mungu yupi pili rege inakuunganisha vipi na mungu wakati jumbe zake zinatofautiana kuanzia za matusi, mapenzi za wanaharakati n.k ,mungu wako ni mwanaharakati..?

3)...fafanua kuhusu kipengele hiki kina muhusu nani kwa jina na kwa nini apewe vyeo hivi.. "MHESHIMU KING OF KINGS, THE LION OF JUDAH, ELECT OF GOD, RAS TAFARI MAKONEN, HAILE SELASSIE, THE POWER OF THE TRINITY, KING MESIAH FROM THE ROOT OF KING DAVID IN A SOLOMONIC LINEAGE."

4)...nanukuu .."kumwabudu Haile Selassie" so huyu ndo mungu wenu maana anaye pasa kuabudiwa ni Mungu pekee au nyie mnaabudu kila kiyu mpaka sungura...?

5)...kwetu sisi unapozungumzia bible ni agano jipya na agano la kale ndo unapata biblia so kwa nini
mnasema mnazingatimafundisho mengi ya bible na mnabagua agano jipya...? nukuu "mafundisho mengi ya bible hasa old testament"....

majibu tafadhali...
 
1)....mkuu naomba ni fahamu nini maana ya kutambua uwepo wa Yesu, na mnatambua kwa level gani,

kwanini mnautumia bible katika imani yenu..?

2)....unasema rege ni sehemu ya ibada na unatumia kuwasiliana na Mungu, kwanza mungu yupi pili rege inakuunganisha vipi na mungu wakati jumbe zake zinatofautiana kuanzia za matusi, mapenzi za wanaharakati n.k ,mungu wako ni mwanaharakati..?

3)...fafanua kuhusu kipengele hiki kina muhusu nani kwa jina na kwa nini apewe vyeo hivi.. "MHESHIMU KING OF KINGS, THE LION OF JUDAH, ELECT OF GOD, RAS TAFARI MAKONEN, HAILE SELASSIE, THE POWER OF THE TRINITY, KING MESIAH FROM THE ROOT OF KING DAVID IN A SOLOMONIC LINEAGE."

4)...nanukuu .."kumwabudu Haile Selassie" so huyu ndo mungu wenu maana anaye pasa kuabudiwa ni Mungu pekee au nyie mnaabudu kila kiyu mpaka sungura...?

5)...kwetu sisi unapozungumzia bible ni agano jipya na agano la kale ndo unapata biblia so kwa nini
mnasema mnazingatimafundisho mengi ya bible na mnabagua agano jipya...? nukuu "mafundisho mengi ya bible hasa old testament"....

majibu tafadhali...

Kuwa Rastafari kama Kebra(Rastafari Holy Book) inavyosema ni kuwa na namna ya maisha yaliyo nyofu.
 
HAILE SELASSIE ni kiongozi wetu wa kiimani

Huyu HAILE SELASSIE alitumwa na Mungu kuanzisha hii imani au aliibuka tu?

Kama alitumwa na Mungu, ni Mungu yupi huyo aliyemtuma?

Kabla ya huyu bwana kuzaliwa ina maana hii imani ilikuwepo au haikuwepo?


Tambua uwepo wa Yesu Kristu na Mtume Mohamed SAW (japo mafundisho yao usiyafue)


Kwa hiyo Yesu Kristo na Mtume Mohamed S.A.W mnawatambua kama kina nani?

Habari zao mlipataje kuzitambua na kuziamini?

NB:
Naomba jibu lako lizingatie alert uliyoiweka kuwa mafundisho yao hamuyafuati.
 
1)....mkuu naomba ni fahamu nini maana ya kutambua uwepo wa Yesu, na mnatambua kwa level gani,

kwanini mnautumia bible katika imani yenu..?

2)....unasema rege ni sehemu ya ibada na unatumia kuwasiliana na Mungu, kwanza mungu yupi pili rege inakuunganisha vipi na mungu wakati jumbe zake zinatofautiana kuanzia za matusi, mapenzi za wanaharakati n.k ,mungu wako ni mwanaharakati..?

3)...fafanua kuhusu kipengele hiki kina muhusu nani kwa jina na kwa nini apewe vyeo hivi.. "MHESHIMU KING OF KINGS, THE LION OF JUDAH, ELECT OF GOD, RAS TAFARI MAKONEN, HAILE SELASSIE, THE POWER OF THE TRINITY, KING MESIAH FROM THE ROOT OF KING DAVID IN A SOLOMONIC LINEAGE."

4)...nanukuu .."kumwabudu Haile Selassie" so huyu ndo mungu wenu maana anaye pasa kuabudiwa ni Mungu pekee au nyie mnaabudu kila kiyu mpaka sungura...?

5)...kwetu sisi unapozungumzia bible ni agano jipya na agano la kale ndo unapata biblia so kwa nini
mnasema mnazingatimafundisho mengi ya bible na mnabagua agano jipya...? nukuu "mafundisho mengi ya bible hasa old testament"....

majibu tafadhali...
Haile Selassie ni katika uzao wa King Solomon uko Israel(fatilia historia ya Ethiopia na Israel),tunamtambua Jesus kama massiah wa uzao wa Daudi,msikilize Alpha.
Pia reggae is abt message,hizo nyingine ni ubabylon,kupitia conscious message inakupeleka kutambua dunia,jins tunavyoishi na kwa nini na maisha ya baadae.
Haile Salassie hakuwa Mungu na alikiri mwenyewe akiwa exile yeye sio Mungu na katika maisha yake alikuwa mfuasi wa Ethiopian orthodox..
Rastafari sio kwamba hawatumii agano jipya,linatumika sana na waimbaji wengi wamelizungumzia ispokuwa wanabezi katika A.kale kutokana na iman ya uzao wa asili Haile Salassie katika a.kale kupitia King Solomon
 
hakuna tatizo kuwa ustadhi ama mchungaji na ukawa Rastafarai SheRRIF APRAIO
Tambua uwepo wa yesu na mohd lkn usifuate mafundisho yao. Hapohapo uwe ustadh au mchungaji! Sielewi uno na uno nshike upi?
 
Last edited by a moderator:
Maana halisi ya neno RASTAFARIAN: ni imani ya mtu mweusi au mweupe inayotetea UTU wa MTU MWEUSI. MPIGANIA HAKI YA MTU MWEUSI huitwa RASTAMAN au RASTAWOMAN na kwa WATOTO wao huitwa RASTABABY.

Imani "kamili" ya Rasta ilianzishwa zaidi ya miaka 100 iliyopita huku kundi kubwa la waafrika waliokuwa mikononi mwa wakoloni walipoweza kuingia kwenye imani hiyo huku nchi ya JAMAICA ikiwa na wafuasi wengi. Dredy locks ni moja kati ya kitambulisho kikubwa cha Rastafarian,,lakini si kila mwenye dredy locks basi akawa Rastafarian kwani asilimia 25 ya Rastafarian hawana Dredy locks na ndipo tunapoona kwamba kufuga dredy si kuwa na imani ya Rasta bali matendo humpeleka mtu kwenye imani ya Rasta. Rastaman hupenda kujiajiri na mara nyingi hufanya shuhguli zake kwa kutumia mikono na si vifaa vya kazi na kati ya kazi za Rasta ni SANAA, wao hufanya aina zote za sanaa lakini kazi zote hizi Rasta hujiajiri na si kuajiriwa.

Moja kati ya nguzo kuu za Rastafari ni UPENDO na AMANI, Rasta hujaribu kutafuta amani popote ipatikanapo, tabia hiyo ya Rasta imewafanya Rasta kuheshimiwa popote pale waingiapo lakini baadhi ya jamii huwa tofauti na imani hii.

Imani ya Rasta chimbuko la asili ni Nimrodi binadamu wa kwanza mweusi na mtawala wa Babeli ya kale, na kutukia kwake kumechipuza kamili nyakati ambapo haki ya mtu mweusi ilipo potea na hatimaye jamii kubwa ya watu weusi kutafuta njia ya kutetea utu huo wa mtu mweusi.

GABRIEL HAIRE SELASIE aliyekuwa kiongozi wa nchi ya Ethiopia ni moja kati ya watu waliochangia kukuza imani ya Rasta ulimwenguni na ndipo jumuiya ya Rastafariani ilipoamua kumteua kuwa kiongozi wa Rastafarian ulimwenguni.

Rasta hutumia muda wa mapumziko kwa kusikiliza burudani ya nyimbo za rege walizo zitunga ambazo nyingi ya nyimbo hizo huwa za kuwapa moyo na kuwafariji watu wanyonge na wanaopuuzwa.

Rege kwangu nisehemu ya Ibada ya kweli ambapo hutumia mziki huo siku za jumamosi kama sehemu ya kuwasiliana na Mungu wangu, Hakika Mungu hunijibu tena LIVE.


Labda nipende kusema kuwa watu wengi wanafikiri kuwa Rastafari ni kuvuta Bangi na kuwa na dreads (Dreads ni muhimu).

Kuwa Rastafari nilazima uishi nakufuata yafuatayo:


Fuata sheria za Nazareti katika Bible(Rastafarian Bible).

Epuka vyakula najisi kama nguruwe, kambale n.k

Epuka intoxicants kama pombe, sigara, kahawa, coca cola na vyakula ambavyo sio natural na vyenye madhara mwilini.

Heshimu utamaduni wa Africa na kubali kuwa wanadamu wote asili yetu ni Africa na ndio Zion Yetu

MHESHIMU KING OF KINGS, THE LION OF JUDAH, ELECT OF GOD, RAS TAFARI MAKONEN, HAILE SELASSIE, THE POWER OF THE TRINITY, KING MESIAH FROM THE ROOT OF KING DAVID IN A SOLOMONIC LINEAGE.

Kuwa msafi, usimuudhi mtu, Heshimu imani za watu, usibague mtu kwa kuangalia imani, kabila wala rangi.

Jali Elimu kwa kuwa ndio msingi wa Haile kujikomboa.

Heshimu mother nature na usiharibu mazingira.

Usiue mnyama wala kumpiga bila sababu.


Heshimu dini/imani za watu wengine,

Tambua uwepo wa Yesu Kristu na Mtume Mohamed SAW (japo mafundisho yao usiyafue)

Epuka kugusa damu wala kunywa damu.

Heshimu Bendera ya Empire ya Ethipia na Rasta colour, usivae ovyo kama urembo,

Jali equality, kuwa natural na epuka vitu vya kemikali n.k

Tafari Makomein (Gabriel Haile Selassie) ni God incarnate.

Pengine hili swala la kumwabudu Haile Selassie limebaki kwa " Root Rastafarians" yaani mimi na wale walio devote maisha yao yote katika namna ya asili ya Rastafari.

Maisha yanabadilika halikadhalika mawazo na mitazamo pia.

Rastafari sasa inaonekana kuwa kama lifestyle na pengine ni jambo jema. Kuwa Rastafari kama Kebra(Rastafari Holy Book) inavyosema ni kuwa na namna ya maisha yaliyo nyofu.

Hii inatia ndani; upendo, heshima, na amani. Kwa Rastas tunasema " don't haffi dreadlocks to be rasta, a Rastaman is a conception of the heart"

Kaya ni "sakramenti" kwa maana ya kwamba inatumiwa wakati wa worshipping kwa dhumuni la ku "calm yourself" na kutafuta oneness na muumba "Jah".

Ikumbukwe kwamba, Rastafari sio organized religion lakini ni imani yenye tumaini tofauti na inabeba mafundisho mengi ya bible hasa old testament.

Hauitaji kuacha kazi, dini yako, mke wako/mume au umkane mtu fulani ili uwe rasta. Kuwa rasta ni kuishi maisha bora kama nilivyo taja hapo huu.

Mpende mzazi wako, jali utu wa mwanadamu na viumbe vingine hapo utakuwa Rastafari kwa matendo. Kuhusu ku "smoke Kaya" ni uamuzi japo wengi tunatumia.

Kuwa rastafari ni very hard, inabidi uwe makini na ukubali kupata chalenges nyingi za maisha na watu kukuhukumu kwa kukuangalia na wengine kukuona mjinga. Ila ni raha sana kwa kuwa utaishi maisha ya furaha bila kujali what they think.


BLESSINGS!
blessin Jahman...!!! huwa najiimanisha kuwa am rastaman too,japo kuwa kunabaadhi ya vifungu katika urasta sijatimiza but i need to explore deeply in this faith ineed more teaching,give us alot about Nyabingi..Jah bless
 
blessin Jahman...!!! huwa najiimanisha kuwa am rastaman too,japo kuwa kunabaadhi ya vifungu katika urasta sijatimiza but i need to explore deeply in this faith ineed more teaching,give us alot about Nyabingi..Jah bless

Karibu sana Rastaman,

Amani na upendo vitawale moyoni mwako!

Jah akubariki
 
Tambua uwepo wa yesu na mohd lkn usifuate mafundisho yao. Hapohapo uwe ustadh au mchungaji! Sielewi uno na uno nshike upi?

Nini huelewi mkuu, mbona ipo wazi kabisa?

Zingatia: Kuwa Rastafari kama Kebra(Rastafari Holy Book) inavyosema ni kuwa na namna ya maisha yaliyo nyofu
 
Huyu HAILE SELASSIE alitumwa na Mungu kuanzisha hii imani au aliibuka tu?

Kama alitumwa na Mungu, ni Mungu yupi huyo aliyemtuma?

Kabla ya huyu bwana kuzaliwa ina maana hii imani ilikuwepo au haikuwepo?



[/COLOR]
Kwa hiyo Yesu Kristo na Mtume Mohamed S.A.W mnawatambua kama kina nani?

Habari zao mlipataje kuzitambua na kuziamini?

NB:
Naomba jibu lako lizingatie alert uliyoiweka kuwa mafundisho yao hamuyafuati.
Mkuu kama umesoma bandiko lote kwa utulivu utaelewa kuwa Haile Selassie alichaguliwa na waamini wa Raistafari kuwa kiongozi wetu, hilo halina maana kuwa yeye ndie muanzilisha, Urasta ulikuwepo tangu Karne ya kwanza ukiwa chini ya binadamu mweusi Nimrodi mmoja ya uzao wa Nuhu,

Ukaendelea kuenezwa na falme za akina Solomoni na hadi kuingia Ethiopia na kuweka masinagogo pale, Wayahudi walipoanzisha dini yao ya uyahudi yari walikuta Urastafari upo ukiabudiwa katika Nazareti,

Warumi nao walipoivamia Yuda na kuanza kueneza utawala wao walifika mpaka Ethiopia nakukuta tayari kuna masinagogi,

Karne ya 19 urastafari ulishamiri zaidi Jamaica hasa baada ya harakati za binadamu mweusi kujikomboa kutoka utumwani
 
Mkuu bangi sio kitambulisho pekee cha Rastafari,

Mimi sivuti bangi, sinywi pombe wala aina yoyote ya anasa, lakini ni muamini wa Rastafarian

Nimekusoma mkuu.....ngoja niongezee hapo!

Fallen South African reggae icon, Lucky Dube, neither smoked nor drunk, yet he churned out hit after hit and became an icon in the continent. He is still regarded as the best live stage performer the continent has ever had, never mind that he never needed the Dutch courage. He was one of the few musicians who could jump on stage and take his audience through four hours of nonstop electrifying performances. Many people (including myself) believed Dube relied on drugs. How could one man change voice like that? How could he sing for hours without his vocal chords giving way? I used to ask myself these questions. It only took his death for the truth about the man I admired to dawn on me. Dube, when asked if he did weed being a rastaman, said: "If being a rastaman means smoking weed and drinking alcohol or doing any kinds of illicit drugs, then I am not a rastaman, but if being one means promoting humanity and helping Jah's people, then I am proudly a Rastafarian." A big statement!
 
Imani ndio kitu kinachowasumbua wanadamu walio wengi.

Na wakati mwingine kinawapotezea muda mwingi sana,

pengine hii inatokana na hofu na woga wa kifo.
 
Imani ndio kitu kinachowasumbua wanadamu walio wengi.

Na wakati mwingine kinawapotezea muda mwingi sana,

pengine hii inatokana na hofu na woga wa kifo.
Kuna makala mbalimbali zilishawahi tolewa na bwana mmoja anaitwa Munga Tehenan kwa sasa ni marehemu,zilihusu utambuzi,binadamu anaejitambua anaeishi katika misingi ya asili(The law of Nature) hawezi ogopa kifo,binadamu kwa asili anahofu na hofu hii ndio inayomsahisha anapokosea..
 
Back
Top Bottom