Maana halisi ya Rastafari

Maana halisi ya Rastafari

Mkuu rasta au bangi sio urastafarian,kawasikilize Morgan Hertage-dont haffi dread...
Hao watu uliwasikiliza utaelewa nini na English Jamaica..... lol bora ungesema nisome lyrics za nyimbo zao... Wazungu husema huwa hawaelewi kinachoimbwa na wajamaica
 
Mkuu Pukudu

Nashukuru kwa hizo video,

Lakini naomba nikuulize kuwa kwakupitia hizo video tu uliridhika kuwa ndio mwisho wa kufaidi urithi na maarifa ya rastafari?
 
rastafarian nowdayz its just like fashion...
few people know the truth...
kuamini ni inategemea na iman yako...
 
Mkuu Pukudu

Nashukuru kwa hizo video,

Lakini naomba nikuulize kuwa kwakupitia hizo video tu uliridhika kuwa ndio mwisho wa kufaidi urithi na maarifa ya rastafari?

No hata hizo clips zina mapungufu yake Ras Tafarian ni zaid ya hayo but cha muhimu RASTAFARIAN IS NOT A RELIGION IS WAY OF LIFE. Jah Bless
 
Ni mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana, Simba mshindi wa kabila la Judah, Most I

HaileSelassie.jpg
Nimewahi soma mahali, ati anatoka katika uzao wa daudi, hii ikoje mkuu.
 
haile selassie alikua hali nyama? Alikua na dread? Alikua anafuata imani za kirasta?

Haile Selassie sio tu alikula nyama, hakuwa na dread wala kufuata imani nyingi za kirasta...

Bali pia alikuwa anawalisha simba wake nyama nono katika kasri lake wakati waethiopia wanakufa kwa njaa (famine).

The whole thing is a legend shrouded in an unreal need for religiosity.

Mungu ni story tu. Hata akija kwa gia ya rasta.
 
Haile Selassie sio tu alikula nyama, hakuwa na dread wala kufuata imani nyingi za kirasta...

Bali pia alikuwa anawalisha simba wake nyama nono katika kasri lake wakati waethiopia wanakufa kwa njaa (famine).

The whole thing is a legend shrouded in an unreal need for religiosity.

Mungu ni story tu. Hata akija kwa gia ya rasta.

Hawa jamaa wanajichanganya sana.
Wanasema "jah" ni mungu na kiongozi wao Haile ni jah sasa sijui huo uungu wake ukoje?
 
Hawa jamaa wanajichanganya sana.
Wanasema "jah" ni mungu na kiongozi wao Haile ni jah sasa sijui huo uungu wake ukoje?

This was more of a black conciousness search move more than anything.

Kama wazungu wana Yesu wao mwenyr blue eyes na blonde hair na sisi tuwe na mungu wetu mweusi.
 
Hii Imani niNoma nakumbuka Bob marley alikataa kukatwa mguu uliokuwa na Cancer hadi ikapanda mwilini akadanja....

Justine Kalikawe naye alikataa kumeza dawa za Hospital anang'ang'ania michicha na mboga za Majani hadi umauti ukamkuta kwa kuugua... hii Imani ni noma.... ila ni vizuri kuwa na imani kwani huwezi tenda mabaya na upole unawafanya wapate wanawake wa Kizungu kwa Urahisi sana.... mimi nilitaka niwe Rastafarian ila nywele zikakataa kufugika zikanyonyoka zote... na Bangi ndio sijawahi ivuta

We ulifuga upate wanawake wa kizungu na si kwa imani.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
respect man tupo pamoja,we people of dreadrocks

peace n love to all
 
We ulifuga upate wanawake wa kizungu na si kwa imani.

Mkuu wala wasikuumize kichwa hao, Watu wengi wamekumbwa na kasumba ya aina hiyo,

Wanaamini kila aliyesokota manywele basi ni rastafari,

Urastafari ni imani na huwa moyoni mwa mtu, huuishi siku zote
 
Hawa jamaa wanajichanganya sana.
Wanasema "jah" ni mungu na kiongozi wao Haile ni jah sasa sijui huo uungu wake ukoje?
Haile Salassie sio Mungu alikiri mwenyewe akiwa exile,yeye ni muumini kama wengine na maisha yake yote alikuwa akisali katika madhehebu ethiopian orthodox...
 
Back
Top Bottom