TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
-
- #21
Mkuu nisingemtimua binti wa kazi si ndo angeelewa kabisa namtumia?Endelea kupokea amri kutoka kwake, kila akikudhani kwa chochote au yeyote anakuamrisha.
Tumia picha yako Avatar acha kutumia za wanawake walioumbwa wakaumbikaAngeturahisishia kazi wachangiaji
Mimi nitaamini vipi kama wewe ni KE,tupia picha ya π lako ili nihakikishe!mwanaume unatumiaje emoji
Mademu hamtakagi kabisa kuona kwenye nyuzi tumetaja mademu zetuπ€£[emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478]View attachment 2772438
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kuna mzazi hapo katukanwa?Sababu ya kumtukania mzazi jamaa ni ipi hapo?
hii ya baridi mbonaπ€ π€
hii ya baridi mbonaπ€ π€
Maanake hainyweki kwa namna yoyote ile sio π π πNi ya moto mbona...sema ina pilipili π€£
Maanake hainyweki kwa namna yoyote ile sio π π π
yani hadi niseme π€£Bado hujathema πππ