Maana ya jina Tibaijuka

Maana ya jina Tibaijuka

Joined
Jan 10, 2012
Posts
63
Reaction score
26
Naomba kujuzwa maana ya jina Tibaijuka kwa ndugu zangu wahaya. Nikijaribu kufanya direct translation naona kama ni "mtanikumbuka" ;kama ni kweli hiyo ndio maana yake, tutamkumbuka kwa lipi huyu mama msomi na profesa.
Tupitie utumishi wake wa ndani na nje ya nchi.
Nawasilisha.
 
Tafsiri ya moja kwa moja ya neno tibaijuka ni "huwa hawakumbuki"
Hili jina hupewa mtu ambaye mzazi wake amefanyiwa ubaya na mtu mwingine ila huyo mbaya baadae anajifanya rafiki . Hapo ndio maana halisi ya jina inapokuja "hawakumbuki".
It way of mocking someone"
 
Maana isiyo rasimi ya jina Tibaijuka kwa kihaya ni "watu hawakumbuki".
 
Naomba kujuzwa maana ya jina Tibaijuka kwa ndugu zangu wahaya. Nikijaribu kufanya direct translation naona kama ni "mtanikumbuka" ;kama ni kweli hiyo ndio maana yake, tutamkumbuka kwa lipi huyu mama msomi na profesa.
Tupitie utumishi wake wa ndani na nje ya nchi.
Nawasilisha.

ukumbuke unayemzungumzia ni Anna na si Mume wake ambaye ndie haswa mwenye hilo jina... Hayo Majina ya kina Tiba yapo mengi sana kule Rwanda... Tibantunganya tiba vitu kibao tu yaani yawezekana huyo mama mumewe ni wa kule
 
ukumbuke unayemzungumzia ni Anna na si Mume wake ambaye ndie haswa mwenye hilo jina... Hayo Majina ya kina Tiba yapo mengi sana kule Rwanda... Tibantunganya tiba vitu kibao tu yaani yawezekana huyo mama mumewe ni wa kule

1. Umechanganya madesa, Rwanda kuna Ntibantunganya sio tibantunganya!
2. Sio ajabu kwa lugha kufanana historically Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanzania, hivyo unavyosema inawezekana mumewe ni wa kule, huko nako kuna mtu anaambiwa "wewe ni wa kule"...
 
1. Umechanganya madesa, Rwanda kuna Ntibantunganya sio tibantunganya!
2. Sio ajabu kwa lugha kufanana historically Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanzania, hivyo unavyosema inawezekana mumewe ni wa kule, huko nako kuna mtu anaambiwa "wewe ni wa kule"...

Huelewi kitu wewe hayo Majina ni kutokana na maeneo watu wanavyoishi huchange kidogo ila maana hubakia ile ile... ni Sawa na Msukuma na Mnyamwezi lugha ni ile ile maneno yamechange kidogo sana ila kuelewana ni mwanzo mwisho... ndio maana kuna majina kama vile Benjamin,Benyamin ni kitu ile ile tu ukija kama jina la Peter ni English,Swahili ni Pita,Kifaransa ni Piere,Kispanish ni Pedro... So hakuna Madesa kwangu
 
Huelewi kitu wewe hayo Majina ni kutokana na maeneo watu wanavyoishi huchange kidogo ila maana hubakia ile ile... ni Sawa na Msukuma na Mnyamwezi lugha ni ile ile maneno yamechange kidogo sana ila kuelewana ni mwanzo mwisho... ndio maana kuna majina kama vile Benjamin,Benyamin ni kitu ile ile tu ukija kama jina la Peter ni English,Swahili ni Pita,Kifaransa ni Piere,Kispanish ni Pedro... So hakuna Madesa kwangu

Alafu na nyie muache kufananisha kihaya ns kirundi au kinyarwanda. Inawezekana ndo nyie mlikuwa mnasema na jina la kamazima eti ni la kinyarwanda acheni uzushi. Kama sio wahaya msijifanye mnajua kihaya na kuanza kutuchafua. Hayo majina yanayoanza na Tiba mbona yamejaa uhayani mfano Tibaigana= hawalingani
Tibagoshoka= hawaendelei
Tibenda= hawapendi n.k.
Majina yote ya kihaya huwa na maana na wazazi huwapa watoto majina kulingana na hali ilivyo kwao kwa kipindi hicho. Alafu kwenye kihaya kila mtu anaweza kubuni jina lolote akamuita mtoto wake.
 
1. Umechanganya madesa, Rwanda kuna Ntibantunganya sio tibantunganya!
2. Sio ajabu kwa lugha kufanana historically Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanzania, hivyo unavyosema inawezekana mumewe ni wa kule, huko nako kuna mtu anaambiwa "wewe ni wa kule"...

We ndo unachanganya madesa kwa kujifanya unajua makabila ya watu kuliko hata wao wanavyojijua.

Kinyarwanda na kihaya havisikilizani hata kidogo usitake kutuchanganyia madesa ya wasukuma na wanyamwezi.

Heri ungesema hata waganda kidogo. Kinyarwanda kiko mbali sana na kihaya. Kwenye maneno 100 unaweza okota moja au mawili. Lugha zinazo-share na kihaya kwa karibu sana ni kinyankole. Hii inapatikana kwenye mipaka ya uganda, rwanda na kagera hasahemu za karagwe. Kuna kinyambo kinapatikana karagwe. Kuna wajita na watu wa ukerewe sijui kabila ni gani. Hayo ndo makabila yanayo-share lugha.
 
Kila jina kwa kila kiumbe yeyote lina roho ndani yake itendayo kazi na kuzaa tabia yake na matunda ya jina hilo husika !
 
Alafu na nyie muache kufananisha kihaya ns kirundi au kinyarwanda. Inawezekana ndo nyie mlikuwa mnasema na jina la kamazima eti ni la kinyarwanda acheni uzushi. Kama sio wahaya msijifanye mnajua kihaya na kuanza kutuchafua. Hayo majina yanayoanza na Tiba mbona yamejaa uhayani mfano Tibaigana= hawalingani
Tibagoshoka= hawaendelei
Tibenda= hawapendi n.k.
Majina yote ya kihaya huwa na maana na wazazi huwapa watoto majina kulingana na hali ilivyo kwao kwa kipindi hicho. Alafu kwenye kihaya kila mtu anaweza kubuni jina lolote akamuita mtoto wake.

na jina Tibagenda lina maana gani mkuu?
 
Back
Top Bottom