Maana ya jina Tibaijuka

Maana ya jina Tibaijuka

We ndo unachanganya madesa kwa kujifanya unajua makabila ya watu kuliko hata wao wanavyojijua.

Kinyarwanda na kihaya havisikilizani hata kidogo usitake kutuchanganyia madesa ya wasukuma na wanyamwezi.

Heri ungesema hata waganda kidogo. Kinyarwanda kiko mbali sana na kihaya. Kwenye maneno 100 unaweza okota moja au mawili. Lugha zinazo-share na kihaya kwa karibu sana ni kinyankole. Hii inapatikana kwenye mipaka ya uganda, rwanda na kagera hasahemu za karagwe. Kuna kinyambo kinapatikana karagwe. Kuna wajita na watu wa ukerewe sijui kabila ni gani. Hayo ndo makabila yanayo-share lugha.

kweli kabisa mkuu...kikerewe na kihaya vinakaribiana sana. mimi ni mkerewe.
 
kweli kabisa mkuu...kikerewe na kihaya vinakaribiana sana. mimi ni mkerewe.

Ni kweli wakelewe na wazinza tunaelewana vizuri sana. Sasa hawa wazushi wanaofananisha lugha yetu tukufu ya kihaya na kinyarwanda siwaelewi kabisa.
 
Huelewi kitu wewe hayo Majina ni kutokana na maeneo watu wanavyoishi huchange kidogo ila maana hubakia ile ile... ni Sawa na Msukuma na Mnyamwezi lugha ni ile ile maneno yamechange kidogo sana ila kuelewana ni mwanzo mwisho... ndio maana kuna majina kama vile Benjamin,Benyamin ni kitu ile ile tu ukija kama jina la Peter ni English,Swahili ni Pita,Kifaransa ni Piere,Kispanish ni Pedro... So hakuna Madesa kwangu

Hebu nisaidie jina la "tiba" moja tu linayopatikana Rwanda ambayo ni similar na Tiba ya huku bongo. Au kwa urahisi zaidi nitajie mtu mmoja tu anayeitwa Tibantunganya as opposed to Ntibantunganya kama unavyodai.
 
Hebu nisaidie jina la "tiba" moja tu linayopatikana Rwanda ambayo ni similar na Tiba ya huku bongo. Au kwa urahisi zaidi nitajie mtu mmoja tu anayeitwa Tibantunganya as opposed to Ntibantunganya kama unavyodai.

Wewe nia yako ni ovu, mambo ya kihaya kama huyajui unyamaze kimya.
 
1. Umechanganya madesa, Rwanda kuna Ntibantunganya sio tibantunganya!
2. Sio ajabu kwa lugha kufanana historically Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanzania, hivyo unavyosema inawezekana mumewe ni wa kule, huko nako kuna mtu anaambiwa "wewe ni wa kule"...

Labda Useme Burundi Na Rwanda Zilikuwa Sehemu Ya Tanganyika Kwani Tanzania Imekuja Juzi Tu.
 
Tibaijuka mala Tibanyendera enshonga Tibaigana...

Hivi Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka amemwibia nani? Labda Rugemalila (tafsiri "Nina uwezo wa kutatua matatizo yangu Mimi mwenyewe")...

Watu wengi wanalalama kwa sababu ya kukosa "mgao"... SOB
 
kisa katangaza urais je angekuwa anagombea USA si ndo mngemtoa kafara kabisa
 
Back
Top Bottom