Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Mafanikio ni dhana inayowachanganya wengi mno kuielewa na kuifafanua. Mara kadhaa nimekuwa nikiwauliza jamaa na marafiki ila wamekuwa wakinipa maana ambayo kwa kweli inaonesha mahitaji yao.
Kuna mtu aliniambia mtu akiwa na gari zuri, mke n.k ndiyo mafanikio lakini ukiangalia kwa undani utabaini hayo ni mahitaji yake tu.
Hali hii imenifanya kuendelea kuisaka fasiri ambayo angalau utaweza kuionjesha akili utamu wa maana lakini leo hatimaye nimebaini kuwa "Mafanikio ni huduma unayoitoa kwa wengine". Tuanzie hapo, tunaweza kuingia ndani zaidi.
Karibu.
Kuna mtu aliniambia mtu akiwa na gari zuri, mke n.k ndiyo mafanikio lakini ukiangalia kwa undani utabaini hayo ni mahitaji yake tu.
Hali hii imenifanya kuendelea kuisaka fasiri ambayo angalau utaweza kuionjesha akili utamu wa maana lakini leo hatimaye nimebaini kuwa "Mafanikio ni huduma unayoitoa kwa wengine". Tuanzie hapo, tunaweza kuingia ndani zaidi.
Karibu.