Unataka wanawake wenye makalio makubwa tuanze kutukanwa mkuu.Kwa wanaume ni;-
1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako.
2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako.
3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako.
Kwa mwanamke ni;-
1. Kuwa na mume anayekuhudumia kwa kila kitu na kukupa mitoko ya nchi za nje.
2. Kuwa na nguo nzuri na za bei ya juu kuliko marafiki zako.
3. Kuwa na shepu nzuri, makalio makubwa na rangi nzuri (ya mtume).
4. Kutongozwa na kila mwanaume.
Asanteni kwa kunielewa.
Inatosha hiyoYa kukaa ipo
Kwani ndoa muhimu jamani? Kuvutia wanaume nantako kubwa tayari moyo unafarijikaUnataka wanawake wenye makalio makubwa tuanze kutukanwa mkuu.
Ila nakuambia, kuwa na makalio makubwa si kigezo cha kupata ndoa.
nime weka hadi 9😆, beside nakula ugali kilo moko mwenyewe .😁😁 mkuu milo mitatu mbona ni mingi sana simtakua wanono sana?
K-drama 🤣😂Tatizo sio mwanaume bora bali mwanaume tajiri wa mitoko ya nje ya nchi na kununua nguo ghali kuliko za mashosti
Bado kugharamia surgery ya nyaaash ili nitongozwe na kila mzabzab
We juzi si ulisema kuwa hauko CHAPUTA wala Kataa Ndoa asa mbona unakwepa maandiko yako?Kwani ndoa muhimu jamani? Kuvutia wanaume nantako kubwa tayari moyo unafarijika
😂😂😂Kwa wanaume ni;-
1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako.
2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako.
3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako.
Kwa mwanamke ni;-
1. Kuwa na mume anayekuhudumia kwa kila kitu na kukupa mitoko ya nchi za nje.
2. Kuwa na nguo nzuri na za bei ya juu kuliko marafiki zako.
3. Kuwa na shepu nzuri, makalio makubwa na rangi nzuri (ya mtume).
4. Kutongozwa na kila mwanaume.
Asanteni kwa kunielewa.
Mie wala aikwepi naenda na misemo yenu wanawake masuperwomanWe juzi si ulisema kuwa hauko CHAPUTA wala Kataa Ndoa asa mbona unakwepa maandiko yako?
Unakuwaje kwenye ghetto mtoto mzuriNimewaza tuu,uko zako mwenyewe kwenye geto lako lina kunguni balaa,afu' unasoma kitu kama hiki nyieee!!!
Hahahah eti super woman. Una lako jambo we mzee wa mgegedo!!!Mie wala aikwepi naenda na misemo yenu wanawake masuperwoman
Tena huyu ni limbukebi aliengia mjini ety kuliko majirani sijui mke mkali dahHiyo ni kulingana na fikra zako mwenyewe!!
Kweli tena superwoman wwanasema ndoa kitu gani....lakini kabla ya kusema hivyo hakikisha una tako na titiHahahah eti super woman. Una lako jambo we mzee wa mgegedo!!!
Unamiliki mke mzuri alafu anakusumbua tabia mbovu akuheshim ukisema nae anjibu kwa juu,, bwanaa eeee usisumbue mm! 😉 Bora uwe na nyumba nzuri mke mwenye heshima na tabia njema. Awe mzuri asiwe mzuriKwa wanaume ni;-
1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako.
2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako.
3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako.
Kwa mwanamke ni;-
1. Kuwa na mume anayekuhudumia kwa kila kitu na kukupa mitoko ya nchi za nje.
2. Kuwa na nguo nzuri na za bei ya juu kuliko marafiki zako.
3. Kuwa na shepu nzuri, makalio makubwa na rangi nzuri (ya mtume).
4. Kutongozwa na kila mwanaume.
Asanteni kwa kunielewa.
Vijana mkishachukua mikopo ni wasumbufu sana.Ngoja tuone.Kwa wanaume ni;-
1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako.
2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako.
3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako.
Kwa mwanamke ni;-
1. Kuwa na mume anayekuhudumia kwa kila kitu na kukupa mitoko ya nchi za nje.
2. Kuwa na nguo nzuri na za bei ya juu kuliko marafiki zako.
3. Kuwa na shepu nzuri, makalio makubwa na rangi nzuri (ya mtume).
4. Kutongozwa na kila mwanaume.
Asanteni kwa kunielewa.
ExactlyAfya njema.
Furaha.
Huo ndio utajiri mkubwa.
Una T3.Kweli tena superwoman wwanasema ndoa kitu gani....lakini kabla ya kusema hivyo hakikisha una tako na titi