Maana ya maisha mazuri

Maana ya maisha mazuri

Kwa wanaume ni;-
1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako.
2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako.
3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako.

Kwa mwanamke ni;-
1. Kuwa na mume anayekuhudumia kwa kila kitu na kukupa mitoko ya nchi za nje.
2. Kuwa na nguo nzuri na za bei ya juu kuliko marafiki zako.
3. Kuwa na shepu nzuri, makalio makubwa na rangi nzuri (ya mtume).
4. Kutongozwa na kila mwanaume.

Asanteni kwa kunielewa.
Unataka wanawake wenye makalio makubwa tuanze kutukanwa mkuu.
Ila nakuambia, kuwa na makalio makubwa si kigezo cha kupata ndoa.
 
😁😁 mkuu milo mitatu mbona ni mingi sana simtakua wanono sana?
nime weka hadi 9😆, beside nakula ugali kilo moko mwenyewe .

home chai saa 1, hapo katikati ni kudonoa donoa vilivyopo.

Ila ukija kwa jobless pro max, ni pasi ndefuuuu🤣😂
 
Kwangu mimi kuwa kazi nzuri/kipato/ afya. .na kuwa huru nibora zaidi.
 
Kwa wanaume ni;-
1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako.
2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako.
3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako.

Kwa mwanamke ni;-
1. Kuwa na mume anayekuhudumia kwa kila kitu na kukupa mitoko ya nchi za nje.
2. Kuwa na nguo nzuri na za bei ya juu kuliko marafiki zako.
3. Kuwa na shepu nzuri, makalio makubwa na rangi nzuri (ya mtume).
4. Kutongozwa na kila mwanaume.

Asanteni kwa kunielewa.
😂😂😂
 
Kwa wanaume ni;-
1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako.
2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako.
3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako.

Kwa mwanamke ni;-
1. Kuwa na mume anayekuhudumia kwa kila kitu na kukupa mitoko ya nchi za nje.
2. Kuwa na nguo nzuri na za bei ya juu kuliko marafiki zako.
3. Kuwa na shepu nzuri, makalio makubwa na rangi nzuri (ya mtume).
4. Kutongozwa na kila mwanaume.

Asanteni kwa kunielewa.
Unamiliki mke mzuri alafu anakusumbua tabia mbovu akuheshim ukisema nae anjibu kwa juu,, bwanaa eeee usisumbue mm! 😉 Bora uwe na nyumba nzuri mke mwenye heshima na tabia njema. Awe mzuri asiwe mzuri
 
Kwa wanaume ni;-
1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako.
2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako.
3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako.

Kwa mwanamke ni;-
1. Kuwa na mume anayekuhudumia kwa kila kitu na kukupa mitoko ya nchi za nje.
2. Kuwa na nguo nzuri na za bei ya juu kuliko marafiki zako.
3. Kuwa na shepu nzuri, makalio makubwa na rangi nzuri (ya mtume).
4. Kutongozwa na kila mwanaume.

Asanteni kwa kunielewa.
Vijana mkishachukua mikopo ni wasumbufu sana.Ngoja tuone.
 
Maisha mazuri ni dhana Pana,ww umezungumzia angle moja ya kidunia,umezungumzia umiliki wa vitu,ukavipa ubora kwa mtazamo wako (sikupingi) Ila...
Kuanzia sasa elewa kua maisha mazuri ni yale yampendezayo Mungu,kulingana na Imani yako,kuishi kwa kufuata mafundisho/maelekezo na kuacha kutenda yaliyoharamishwa na vitabu vitakatifu.
 
Back
Top Bottom