MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 355
Kiswahili sanifu hakina neno KAVAZI, ila MAKAVAZI.
Kwa mujibu ya Kamusi ya Kiswahili Sanifu ( Oxford-2010), MAKAVAZI ni mahali ambapo vitu vya kielimu hukusanywa, huchunguzwa na kuonyeshwa...
Kwa muktadha wa KAVAZI LA MWL NYERERE...waasisi wake wameona waite KAVAZI badala ya MAKAVAZI ili KUSISITIZA KWAMBA NI VITU VYA KIELIMU VINAVYOMUHUSU MWL JK NYERERE TU...
Tafakari...