MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 355
Kwa siku mbili au tatu sasa hili neno 'kavazi' limekuwa likisemwa/kuandikwa kwenye vyombo vya habari.Nilianza kulisikia wakati wa uzinduzi wa 'kavazi' ya mwalimu Nyerere juzi na leo nimeona BBC dira ya dunia kuwa 'kavazi' imeshambuliwa huko Tunisia. Sasa nataka kujua 'kavazi' ndiyo makumbusho au ni nini hasa?