Maana ya neno "ukaidi" kwa mtazamo wa Kikenya, tunaomba Watanzania mtuwie radhi

Maana ya neno "ukaidi" kwa mtazamo wa Kikenya, tunaomba Watanzania mtuwie radhi

Amechanganya na lugha yetu ya mtaani huku, hivyo sisi tumemuelewa.

1587363131637.png
 
Kha! Wakati balozi wenu mwenyewe alikwenda kulalamika kwenye kituo cha habari cha Citizen TV, wala hata haikua issue kwetu.
Balozi alitimiza tu wajibu wake.ila kwa sisi raia wala kwanza hata atujuangi hizo maneno.
Nyinyi mme mtusi rais wetu na bado mna weweseka kwa media every day.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afu hatuna hata time na nyie....[emoji23]

am better here
 
Balozi alitimiza tu wajibu wake.ila kwa sisi raia wala kwanza hata atujuangi hizo maneno.
Nyinyi mme mtusi rais wetu na bado mna weweseka kwa media every day.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nenda kwenye jukwa lenu la siasa humu JF uone, yaani siku hiyo mlifungua uzi na kufikia jioni wachangiaji walikua wanachezea kwenye maelfu...hehehe
Sisi huku urais ni taasisi, wala huwa hatupi shida, nyie mumezoea kumtukana rais wetu, mara mnamuita mvuta bangi, teja n.k. ila kwetu hilo jambo ndogo sana maana kama ukweli anavitumia hata tukiweweseka kama nyie haitabadilisha kitu.
Rais wetu husemwa sana, ndivyo ilivyo desturi ya marais kusemwa kwenye mataifa yenye utawala wa demokrasia, ila nyie hamjazoea kitu kama hicho, mnalia sana ilhali kwanza hata hakutukanwa, kasemwa tu ni mkaidi, hilo neno nimewaletea kamusi yenu yenyewe na kuwaonyesha tafsiri yenu nyie wenyewe, inasema ni mtu anaayekinzana na ushauri, anapuuza ushauri wowote na kuenda kinyume na wengine.
Sasa rais wenu alikataa kuskliza ushauri wa waaalam na kusema Corona ikiingia kanisani itaungua, kule kwenye chimbuko la hizi dini tena ndani ya madhabahu watu wanaumwa Corona.
 
Wewe pungu two , hivi ulishawahi kuona chombo Cha habari TZ kimemuita mvuta bangi kiongozi wenu ? Usifananishe jf na vyombo vya habari lazima ukubar tatizo lugha inasumbua. Nakumbuka kipindi Cha nyuma wakenya walikuwa hawajui maana sahihi ya neno hayati , walikua wanatumia neno hayati Kama vile mtu mwenye wadhifa mkubwa serikalini, utasikia tunamuona hayati jomo Kenyatta pale anaingia bc wa Tanzania wote tupo[emoji87][emoji87][emoji87]
Nenda kwenye jukwa lenu la siasa humu JF uone, yaani siku hiyo mlifungua uzi na kufikia jioni wachangiaji walikua wanachezea kwenye maelfu...hehehe
Sisi huku urais ni taasisi, wala huwa hatupi shida, nyie mumezoea kumtukana rais wetu, mara mnamuita mvuta bangi, teja n.k. ila kwetu hilo jambo ndogo sana maana kama ukweli anavitumia hata tukiweweseka kama nyie haitabadilisha kitu.
Rais wetu husemwa sana, ndivyo ilivyo desturi ya marais kusemwa kwenye mataifa yenye utawala wa demokrasia, ila nyie hamjazoea kitu kama hicho, mnalia sana ilhali kwanza hata hakutukanwa, kasemwa tu ni mkaidi, hilo neno nimewaletea kamusi yenu yenyewe na kuwaonyesha tafsiri yenu nyie wenyewe, inasema ni mtu anaayekinzana na ushauri, anapuuza ushauri wowote na kuenda kinyume na wengine.
Sasa rais wenu alikataa kuskliza ushauri wa waaalam na kusema Corona ikiingia kanisani itaungua, kule kwenye chimbuko la hizi dini tena ndani ya madhabahu watu wanaumwa Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwenye jukwa lenu la siasa humu JF uone, yaani siku hiyo mlifungua uzi na kufikia jioni wachangiaji walikua wanachezea kwenye maelfu...hehehe
Sisi huku urais ni taasisi, wala huwa hatupi shida, nyie mumezoea kumtukana rais wetu, mara mnamuita mvuta bangi, teja n.k. ila kwetu hilo jambo ndogo sana maana kama ukweli anavitumia hata tukiweweseka kama nyie haitabadilisha kitu.
Rais wetu husemwa sana, ndivyo ilivyo desturi ya marais kusemwa kwenye mataifa yenye utawala wa demokrasia, ila nyie hamjazoea kitu kama hicho, mnalia sana ilhali kwanza hata hakutukanwa, kasemwa tu ni mkaidi, hilo neno nimewaletea kamusi yenu yenyewe na kuwaonyesha tafsiri yenu nyie wenyewe, inasema ni mtu anaayekinzana na ushauri, anapuuza ushauri wowote na kuenda kinyume na wengine.
Sasa rais wenu alikataa kuskliza ushauri wa waaalam na kusema Corona ikiingia kanisani itaungua, kule kwenye chimbuko la hizi dini tena ndani ya madhabahu watu wanaumwa Corona.
Shubash,,hivi nyinyi nyang'au mna rais? Wakenya mnateseka sana na Tanzania,sijui ni kwa nini!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Standard swahili menya ni peel au husk, huwezi kumfundisha mtanzania lugha yake

Na hii google mislead ndio wanatumia chang'aa media zenu

Dude, menya kiswahili kwenye sentensi ni "kuongea kiswahili kwa ufasaha" ... inaweza kutumika hivyo pia...


Kumenya lugha ... ni kuzungumza lugha kwa ufasaha ... going to the details of understanding a language..

Kiswahili asili yake Lamu kaka.. Wacha kujiaibisha ....eti lugha ya mtanzania 😀 😀 😀

Si kila kitu Tanzania, Kenya tunasoma kiswahili as a compulsory lang from class 1 to form 4. ..(Kuandika Insha, Kiswahili Lugha na fasihi)...

Hata ukiskia tukionge sheng... its only that we don't care..
 
Dude, menya kiswahili kwenye sentensi ni "kuongea kiswahili kwa ufasaha" ... inaweza kutumika hivyo pia...


Kumenya lugha ... ni kuzungumza lugha kwa ufasaha ... going to the details of understanding a language..

Kiswahili asili yake Lamu kaka.. Wacha kujiaibisha ....eti lugha ya mtanzania 😀 😀 😀

Si kila kitu Tanzania, Kenya tunasoma kiswahili as a compulsory lang from class 1 to form 4. ..(Kuandika Insha, Kiswahili Lugha na fasihi)...

Hata ukiskia tukionge sheng... its only that we don't care..
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Kiswahili na Kenya wapi na wapi? Eti kiswahili asili yake Lamu?

Kiswahili kina terminologies nyingi za Shona Zimbabwe kuliko hayo makabila yaliyopo Lamu, 80% ya terminologies za kiswahili ndio makabila yaliyopo Tanzania, upo hapo?

Hakuna Mkenya anayeishi kwa sasa anaweza kumfundisha mtanzania lugha yake, nah nah nah 😅😅😅
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Kiswahili na Kenya wapi na wapi? Eti kiswahili asili yake Lamu?

Kiswahili kina terminologies nyingi za Shona Zimbabwe kuliko hayo makabila yaliyopo Lamu, 80% ya terminologies za kiswahili ndio makabila yaliyopo Tanzania, upo hapo?

Hakuna Mkenya anayeishi kwa sasa anaweza kumfundisha mtanzania lugha yake, nah nah nah 😅😅😅
Swahili is an Arabic/Bantu Language... it borrows from both languages...and depending on the geographic
scattering of the different speakers over time, different dialects have risen...

But you can't claim that your dialect is the more original "kwanza kama wewe ni mtoka bara"...The only people who can lay claim are the coastal tribes... sasa Wasukuma na Wachaga ni waswahili pia??? 😅😅😅

Kiswahili si lugha ya Watanzani , ni lugha ya tribes za "East Coast of Africa", wengine ni borrowers
 
Siku kadhaa sasa nimeona kituo cha runinga cha Citizen TV Kenya kikipeperusha tangazo fulani la kumsifia rais wa Tanzania, kama njia moja ya kumkosha na kumpunguza hasira baada ya balozi wa Tanzania kuwalalamikia kwa wao kutumia maneno "ukaidi wa rais Magufuli" pale walipokua wanaeleza jinsi gani yeye amehamasisha Watanzania waendelee na maisha kama kawaida na kutegemea maombi kipindi hiki Corona inatesa dunia, kinyume na marais wote wa ukanda huu na duniani ambao kila mmoja alikua anatahadharisha wengine hata wakipiga lockdown kwenye mataifa yao.

Sisi Wakenya neno "ukaidi" hutumika pale mtu anakaidi na kupuuza ushauri wowote, shingo ngumu, yaani kwa kingereza tafsiri yake ni "stubborn - not to change one's attitude or position on something, especially in spite of good arguments or reasons to do so" kwa mfano, rais Magufuli alitanganza kanisani tena mbele ya vyombo vya habari kwamba yeye amekula mkate wa sakramenti bila kujali Corona maana corona itaungua kanisani.

Hivyo hapo tunasema alikaidi na kupuuza ushauri wa kitaalam na kuegemea kwenye mtazamo wa kidini, mimi binafsi ni Mkristo na ninamuelewa sana anaposema Corona itaungua kanisani, lakini hayo maneno yangetamkwa na rais Uhuru wa Kenya, yaani angetamani kuihama nchi maana angesemwa sana huku, tena zaidi ya "ukaidi wa rais Uhuru", maneno yangetumika makali sana na yenye hisia kali kali.

Sisi kwetu tunaamini urais ni taasisi, sio ofisi ya kuendeshwa kwa hisia za mtu au misingi ya kidini, maana nchi yetu hii tuna watu mamilioni ambao ni wafuasi wa dini zingine ambazo hazina habari na Yesu.

Raisi Uhuru hututangazia tuombe ila anahamasisha tahadhari tena kwa kusisitiza sana na kuongeza mikwara kwa wale watapatikana wakikiuka kanuni elekezi, ikiwemo utumiaji wa barakoa nchi yote, utakasaji wa mikono muda wote na mengine mengi.

Hivyo kwa rais kutangaza kinyume na tahadhari zinazohamasishwa na waziri wa afya, kawaida kwetu tunachukulia huo kama "ukaidi". Sasa Citizen wataendelea na hiyo misifa, lakini tatizo asilimia kubwa ya wanaoitazama ni Wakenya, wengi wanabaki kushangaa kipi kikubwa hapo na ndio maana wengi wanaeleza hisia zao kwenye Tweeter.

Kwa baadhi ya Wakenya kama mimi ambao tumewahi kuishi Tanzania, tutaelewa maana tunajua jinsi kule walivyo, yaani rais bado ana mamlaka makubwa na bado wanatumia katiba ya zamani na kumtaja rais lazima uwe makini sana, hata kwenye ulevi hauwezi kuthubutu, tumesoma habari za watu kutiwa lockup kisa tu walipiga picha kuta zenye nyufa kwenye majengo aliyozindua rais, hivyo ujasiri wa kutumia maneno kama "ukaidi wa rais" ni kitu kikubwa sana kwao.

Lakini kwa Wakenya ambao hawana habari na Tanzania na wamezoea uongozi wa kitaasisi chini ya katiba mpya, lazima washangae sana. Hivyo kwa tofauti hizi za kimtazamo, Watanzania mtuwie radhi, hilo neno "ukaidi" ni la kawaida sana huku kwetu pale unakaidi ushauri.

President Magufuli says coronavirus cannot survive in churches : The Standard
Mi nimekuelewa vr wakenya hua mnakiswahili kigumu sana kwa neno ukaidi Kenya ni la kawaida ila kwa huku mtu mkaidi tena kutumia kwa kiongozi sio zuri muungwana anapovuliwa nguo huchutama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nice write up, MK254 ila sidhani tatizo lilikuwa ni neno ukaidi. Huu mvutano wote na Citizen Tv ni kwasababu walimkashifu badala ya kumsifia. Huyo mzee anapenda sana kusifiwa hata pale ambapo sifa hazifai. Badala ya Ukaidi wa Magufuli wangeandika hivi; Magufuli ni jembe la kweli kwenye shughuli ya kufanikisha maambukizi zaidi ya virusi vya Corona. Hapo mzee lazima angewaalika ikulu akawazawadie tausi.
 
Halafu wakenya walivyo punguani wanamshambulia Magufulis badala ya kudeal na chang'aa media yao

Ila kiukweli tuweni wawazi, Tanzania Ina influence kubwa sana ukanda huu

LOL nikiangalia Kenya inavyoufyata kila time Tanzania ikikohoa ni mpaka huruma

Walirudisha dhahabu zetu

Walirudisha pesa zetu

Walimtia ndani mbunge wao alieongea shit kuhusu watanzania

Wanamuomba msamaha JPM week nzima

Gezaulole haya sio mambo madogo ujue
😅😅😅😅😅🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tz Ina influence kubwa Sana ukanda huu... influence ya ujinga. Maxence Melo amafungwa miaka ngapi? Na ni JF tu Sio media.
 
Back
Top Bottom