Maana ya neno "ukaidi" kwa mtazamo wa Kikenya, tunaomba Watanzania mtuwie radhi

Maana ya neno "ukaidi" kwa mtazamo wa Kikenya, tunaomba Watanzania mtuwie radhi

Mi nimekuelewa vr wakenya hua mnakiswahili kigumu sana kwa neno ukaidi Kenya ni la kawaida ila kwa huku mtu mkaidi tena kutumia kwa kiongozi sio zuri muungwana anapovuliwa nguo huchutama.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona nawapa link ya chuo kikuu cha Dar es Salaam ambapo tafsiri ipo ya hilo neno "ukaidi" ila mnapuuza na kurudia yale yale.....hilo neno linatumika kwa mtu anayepuuza ushauri na kuwa shingo ngumu, yaani stubborn. Rais wenu alipuuza ushauri wa wataalam hivyo ikabidi litumike kwake.
Soma tafsiri ya hilo neno hapa tena kwa chuo chenu wenyewe (KISWAHILI - KIINGEREZA)Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Tofauti ya Kenya na Tanzania ipo kwenye jinsi rais anaonwa na jamii, hapa kwetu urais ni taasisi, akifanya vya hovyoo husemwa tu maana tunatumia katiba mpya, kwenu huko hata kutaja jina lake mnaogopa kupita maelezo. Nyie hupata uhuru wa kumtukana rais mnapomtukana wa kwetu, huwa mnamuita mvuta bangi, teja na maneno mengi tu, ila huwa hatuoni kama issue maana kama ni kweli anayafanya basi asemwe tu.
 
Mimi ni Mtanzania. Nakubaliana na wewe. Mkaidi siyo tusi. We have a stubbon head of state. That's it. Halafu wanavyofinya uhuru wa kujieleza hapa Tanzania, hivyo hivyo wanataka iwe Kenya. Citizen TV ingekuwa Tanzania leo hii wamiliki wake wangekuwa jela ama mahabusu kwa kesi za kuhujumu uchumi. Lakini Kenya vyombo vya habari vina uhuru wa kumkosoa hata Rais Uhuru. Hiyo tu ndio tofauti iliyoleta haya yote.
Siku kadhaa sasa nimeona kituo cha runinga cha Citizen TV Kenya kikipeperusha tangazo fulani la kumsifia rais wa Tanzania, kama njia moja ya kumkosha na kumpunguza hasira baada ya balozi wa Tanzania kuwalalamikia kwa wao kutumia maneno "ukaidi wa rais Magufuli" pale walipokua wanaeleza jinsi gani yeye amehamasisha Watanzania waendelee na maisha kama kawaida na kutegemea maombi kipindi hiki Corona inatesa dunia, kinyume na marais wote wa ukanda huu na duniani ambao kila mmoja alikua anatahadharisha wengine hata wakipiga lockdown kwenye mataifa yao.

Sisi Wakenya neno "ukaidi" hutumika pale mtu anakaidi na kupuuza ushauri wowote, shingo ngumu, yaani kwa kingereza tafsiri yake ni "stubborn - not to change one's attitude or position on something, especially in spite of good arguments or reasons to do so" kwa mfano, rais Magufuli alitanganza kanisani tena mbele ya vyombo vya habari kwamba yeye amekula mkate wa sakramenti bila kujali Corona maana corona itaungua kanisani.

Hivyo hapo tunasema alikaidi na kupuuza ushauri wa kitaalam na kuegemea kwenye mtazamo wa kidini, mimi binafsi ni Mkristo na ninamuelewa sana anaposema Corona itaungua kanisani, lakini hayo maneno yangetamkwa na rais Uhuru wa Kenya, yaani angetamani kuihama nchi maana angesemwa sana huku, tena zaidi ya "ukaidi wa rais Uhuru", maneno yangetumika makali sana na yenye hisia kali kali.

Sisi kwetu tunaamini urais ni taasisi, sio ofisi ya kuendeshwa kwa hisia za mtu au misingi ya kidini, maana nchi yetu hii tuna watu mamilioni ambao ni wafuasi wa dini zingine ambazo hazina habari na Yesu.

Raisi Uhuru hututangazia tuombe ila anahamasisha tahadhari tena kwa kusisitiza sana na kuongeza mikwara kwa wale watapatikana wakikiuka kanuni elekezi, ikiwemo utumiaji wa barakoa nchi yote, utakasaji wa mikono muda wote na mengine mengi.

Hivyo kwa rais kutangaza kinyume na tahadhari zinazohamasishwa na waziri wa afya, kawaida kwetu tunachukulia huo kama "ukaidi". Sasa Citizen wataendelea na hiyo misifa, lakini tatizo asilimia kubwa ya wanaoitazama ni Wakenya, wengi wanabaki kushangaa kipi kikubwa hapo na ndio maana wengi wanaeleza hisia zao kwenye Tweeter.

Kwa baadhi ya Wakenya kama mimi ambao tumewahi kuishi Tanzania, tutaelewa maana tunajua jinsi kule walivyo, yaani rais bado ana mamlaka makubwa na bado wanatumia katiba ya zamani na kumtaja rais lazima uwe makini sana, hata kwenye ulevi hauwezi kuthubutu, tumesoma habari za watu kutiwa lockup kisa tu walipiga picha kuta zenye nyufa kwenye majengo aliyozindua rais, hivyo ujasiri wa kutumia maneno kama "ukaidi wa rais" ni kitu kikubwa sana kwao.

Lakini kwa Wakenya ambao hawana habari na Tanzania na wamezoea uongozi wa kitaasisi chini ya katiba mpya, lazima washangae sana. Hivyo kwa tofauti hizi za kimtazamo, Watanzania mtuwie radhi, hilo neno "ukaidi" ni la kawaida sana huku kwetu pale unakaidi ushauri.

President Magufuli says coronavirus cannot survive in churches : The Standard
 
Siku kadhaa sasa nimeona kituo cha runinga cha Citizen TV Kenya kikipeperusha tangazo fulani la kumsifia rais wa Tanzania, kama njia moja ya kumkosha na kumpunguza hasira baada ya balozi wa Tanzania kuwalalamikia kwa wao kutumia maneno "ukaidi wa rais Magufuli" pale walipokua wanaeleza jinsi gani yeye amehamasisha Watanzania waendelee na maisha kama kawaida na kutegemea maombi kipindi hiki Corona inatesa dunia, kinyume na marais wote wa ukanda huu na duniani ambao kila mmoja alikua anatahadharisha wengine hata wakipiga lockdown kwenye mataifa yao.

Sisi Wakenya neno "ukaidi" hutumika pale mtu anakaidi na kupuuza ushauri wowote, shingo ngumu, yaani kwa kingereza tafsiri yake ni "stubborn - not to change one's attitude or position on something, especially in spite of good arguments or reasons to do so" kwa mfano, rais Magufuli alitanganza kanisani tena mbele ya vyombo vya habari kwamba yeye amekula mkate wa sakramenti bila kujali Corona maana corona itaungua kanisani.

Hivyo hapo tunasema alikaidi na kupuuza ushauri wa kitaalam na kuegemea kwenye mtazamo wa kidini, mimi binafsi ni Mkristo na ninamuelewa sana anaposema Corona itaungua kanisani, lakini hayo maneno yangetamkwa na rais Uhuru wa Kenya, yaani angetamani kuihama nchi maana angesemwa sana huku, tena zaidi ya "ukaidi wa rais Uhuru", maneno yangetumika makali sana na yenye hisia kali kali.

Sisi kwetu tunaamini urais ni taasisi, sio ofisi ya kuendeshwa kwa hisia za mtu au misingi ya kidini, maana nchi yetu hii tuna watu mamilioni ambao ni wafuasi wa dini zingine ambazo hazina habari na Yesu.

Raisi Uhuru hututangazia tuombe ila anahamasisha tahadhari tena kwa kusisitiza sana na kuongeza mikwara kwa wale watapatikana wakikiuka kanuni elekezi, ikiwemo utumiaji wa barakoa nchi yote, utakasaji wa mikono muda wote na mengine mengi.

Hivyo kwa rais kutangaza kinyume na tahadhari zinazohamasishwa na waziri wa afya, kawaida kwetu tunachukulia huo kama "ukaidi". Sasa Citizen wataendelea na hiyo misifa, lakini tatizo asilimia kubwa ya wanaoitazama ni Wakenya, wengi wanabaki kushangaa kipi kikubwa hapo na ndio maana wengi wanaeleza hisia zao kwenye Tweeter.

Kwa baadhi ya Wakenya kama mimi ambao tumewahi kuishi Tanzania, tutaelewa maana tunajua jinsi kule walivyo, yaani rais bado ana mamlaka makubwa na bado wanatumia katiba ya zamani na kumtaja rais lazima uwe makini sana, hata kwenye ulevi hauwezi kuthubutu, tumesoma habari za watu kutiwa lockup kisa tu walipiga picha kuta zenye nyufa kwenye majengo aliyozindua rais, hivyo ujasiri wa kutumia maneno kama "ukaidi wa rais" ni kitu kikubwa sana kwao.

Lakini kwa Wakenya ambao hawana habari na Tanzania na wamezoea uongozi wa kitaasisi chini ya katiba mpya, lazima washangae sana. Hivyo kwa tofauti hizi za kimtazamo, Watanzania mtuwie radhi, hilo neno "ukaidi" ni la kawaida sana huku kwetu pale unakaidi ushauri.

President Magufuli says coronavirus cannot survive in churches : The Standard
Nadhani ungejikita zaidi kuhusu mbinu za wananchi toka kenya kukimbilia huku kwetu kwa kutumia njia za panya.
Huku wanakimbilia nini???
 
Nadhani ungejikita zaidi kuhusu mbinu za wananchi toka kenya kukimbilia huku kwetu kwa kutumia njia za panya.
Huku wanakimbilia nini???

Watakua wajinga sana hao, muwatandike viboko, unakimbilia kwenda kwa nchi ambayo inatangaza idadi ya waathirika wa Corona 53 ndani ya masaa 24, kitu ambacho sisi hatujakumbana nacho licha ya kupima maelfu ya watu. Huko mnapima wachache na kuibuka na namba za kiajabu ajabu, je mngekua na uwezo wa kupima maelfu kama sisi.
 
Swahili is an Arabic/Bantu Language... it borrows from both languages...and depending on the geographic
scattering of the different speakers over time, different dialects have risen...

But you can't claim that your dialect is the more original "kwanza kama wewe ni mtoka bara"...The only people who can lay claim are the coastal tribes... sasa Wasukuma na Wachaga ni waswahili pia??? 😅😅😅

Kiswahili si lugha ya Watanzani , ni lugha ya tribes za "East Coast of Africa", wengine ni borrowers
Then English is French and Latin language/ Scotland settlers language

Calling swahili Arabic language is the demonstration how stupid you are and limited exposed to the Swahili History

Unqualified to handle talk with me about the language, idiot.
 
Then English is French and Latin language/ Scotland settlers language

Calling swahili Arabic language is the demonstration how stupid you are and limited exposed to the Swahili History

Unqualified to handle talk with me about the language, idiot.
you don't understand your own language nigger...akili punguani wewe..
Nani hajui kiswahili asili yake mchanganyiko wa maneno ya Kiarabu na Coastal Bantus ????

Stop pushing me into the sewage that you are already in...

Kwani jana ndiyo internet imefika kwenu uanze ubishi kwenye mambo yaliyo wazi???

Enda ujielimishe kwanza... ukimaliza kuja tuendelee na mada.. MOFO
 
you don't understand your own language nigger...akili punguani wewe..
Nani hajui kiswahili asili yake mchanganyiko wa maneno ya Kiarabu na Coastal Bantus ????

Stop pushing me into the sewage that you are already in...

Kwani jana ndiyo internet imefika kwenu uanze ubishi kwenye mambo yaliyo wazi???

Enda ujielimishe kwanza... ukimaliza kuja tuendelee na mada.. MOFO
LOL you need minimal consideration of about 3 years general linguistic fundamentals program, for at least hold a several minutes conversion with me about this topic, you are deep down naked idiot when it comes to this aspect

And of course arguing with a fool like you is a self reputation crucifix to me.

Waterhead
 
LOL you need minimal consideration of about 3 years general linguistic fundamentals program, for at least hold a several minutes conversion with me about this topic, you are deep down naked idiot when it comes to this aspect

And of course arguing with a fool like you is a self reputation crucifix to me.

Waterhead
go argue with your equivalent Bonobos
jumping from one nonsensical issue to another...

Do you have a small penis or something...
 
MK254 wala msisumbuke na habari ya kuomba radhi, hata ikiwa kwa maana ile nyingine bado kweli ni 'mkaidi'
 
Kwakuongezea tu kitu wasichokijua ndio maana kiswahili duniani kote kikawa lugha namba 1 Tanzania hata mtoto wa miaka 4 utaongea nae mtaelewana na Tanzania ndio maana Kuna kabila Zaid ya 121,Sasa kabila hiz ndizo zinazounda kiswahili ,aliona wapi kabila 2 au 3 zikaunda lugha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kiswahili na Kenya wapi na wapi? Eti kiswahili asili yake Lamu?

Kiswahili kina terminologies nyingi za Shona Zimbabwe kuliko hayo makabila yaliyopo Lamu, 80% ya terminologies za kiswahili ndio makabila yaliyopo Tanzania, upo hapo?

Hakuna Mkenya anayeishi kwa sasa anaweza kumfundisha mtanzania lugha yake, nah nah nah [emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nope, Alichosema ni sawa,
Labda niweke hivi
Ukaidi- Disobedience
Uasi- Rebellion
Ubishi-Controversy

Sent using Jamii Forums mobile app

Hili lijamaa MK54 halijui Kiswahili, na lina makosa lukuki, ila kwakua linasifiwa linahisi linajua -- while the matter of fact is, s/he has a lot to atone for.

Nimelisoma jana usiku huko kwa "Habari Mchanganyiko" limeandika na makosa mengi.
 
Nice write up, MK254 ila sidhani tatizo lilikuwa ni neno ukaidi. Huu mvutano wote na Citizen Tv ni kwasababu walimkashifu badala ya kumsifia. Huyo mzee anapenda sana kusifiwa hata pale ambapo sifa hazifai. Badala ya Ukaidi wa Magufuli wangeandika hivi; Magufuli ni jembe la kweli kwenye shughuli ya kufanikisha maambukizi zaidi ya virusi vya Corona. Hapo mzee lazima angewaalika ikulu akawazawadie tausi.

Hawa jamaa hadi sasa bado wanasongamana kwenye vilabu na madaladala, wamekaidi na kupuuza ushauri wowote wa kitaalam, siku tatu za maombi zimeisha kama namba zao zimepandisha kwa mkupuo, wamesahau kwamba Mungu ametupea hekima tuitumie, tunamwomba na pia kutumia hekima aliyotupea, tuchukue tahadhari kwa kutumia hiyo hekima, haiwezekani umuone simba halafu ujongee maeneo yake kisa umeomba.

2374276_IMG-20200420-WA0018.jpg
 
Wewe pungu two , hivi ulishawahi kuona chombo Cha habari TZ kimemuita mvuta bangi kiongozi wenu ? Usifananishe jf na vyombo vya habari lazima ukubar tatizo lugha inasumbua. Nakumbuka kipindi Cha nyuma wakenya walikuwa hawajui maana sahihi ya neno hayati , walikua wanatumia neno hayati Kama vile mtu mwenye wadhifa mkubwa serikalini, utasikia tunamuona hayati jomo Kenyatta pale anaingia bc wa Tanzania wote tupo[emoji87][emoji87][emoji87]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] tuna majirani wa ajabu sijawahi ona!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nope, Alichosema ni sawa,
Labda niweke hivi
Ukaidi- Disobedience
Uasi- Rebellion
Ubishi-Controversy

Sent using Jamii Forums mobile app

Taratibu naona mumeanza kuelewa nini maana ya neno "ukaidi"...hizi namba zimekaa vibaya sana, endeleeni na huo ukaidi ila kwa sasa mumetuzidi hata na active cases maana kwetu wamepona 69, endeleeni na mibanano kote kote huo ukaidi utawatia akili.

2374276_IMG-20200420-WA0018.jpg
 
Taratibu naona mumeanza kuelewa nini maana ya neno "ukaidi"...hizi namba zimekaa vibaya sana, endeleeni na huo ukaidi ila kwa sasa mumetuzidi hata na active cases maana kwetu wamepona 69, endeleeni na mibanano kote kote huo ukaidi utawatia akili.

2374276_IMG-20200420-WA0018.jpg
WTF!! 87?? Ukaidi kweli
 
Watanzania itafika muda tu tutakubali kuwa tushapoteza uelekeo nyie komaeni kuwaponda kina MK254 ila ukweli tunajua tushachochora.

Wanachoongea wakenya ni ukweli mtupu japp mchungu.Time will tell si zaidi ya siku 2 to come tutakamata usukani wa East Africa kaenye cases,vifo halafu tyendelee tu kutetea upupu unaofanywa na watukufu wasiokosolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom