Maana ya ushindi wa vita, case of Russia-Ukraine war

Maana ya ushindi wa vita, case of Russia-Ukraine war

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Muhanga mkubwa wa vita huwa ni ''ukweli" kwani nivigumu sana kupata ukweli wa chanzo cha vita, pia ni ngumu zaidi kupata ukweli ndani ya uwanja wa medani. Hali hii inasababisha na ubaya we vita ambao huweza kubadilisha Maisha kuwa kama jehanamu. Vita ya kagera mpaka leo chanzo chake ni kitandawili. Swali je tulishinda vita au tulishindwa?, Tulipata nini baada ya vita je uchumi wetu ulikua au ulishuka?

Je vita ya Russia na ukraine nani mshindi? hapa kuna mjadala mkubwa ambao wenye akili za upembuzi ( analytical mind ) ndio wanaweza kuleta majibu kupitia vyanzo mbalimbali. Ushindi wa vita upo wa aina mbili yaani ushindi mdogo na ushindi mkubwa.

Ushindi mkubwa ni ule ambao unavunja nguvu yote ya adui kwa mapigo na kumfanya ashindwe kuendelea na mapambano, ushindi mdogo ni pale unapomrudisha adui nyuma kwa mapigo na kumfanya akimbie kuokoa maisha yake akajipange upya ( regrouping ).

Russia ndio alianza kumvamia jirani yake kwa mapigo makali ( escalation ) na Kisha jirani yake akajibu mapigo kwa counter offensive. Hapa swali nani mkali kwenye close combat tactics? Wenye ujuzi njoeni mleta facts, maana ushindi kwenye uwanja wa medani ni controversial?

Kama hujui lolote kuhusu vita usichangie
 
Hata kwa macho huoni kama kuna mikoa minne ishabebwa na tuliambiwa akigusa au kuvamia atakipata cha moto Russia.

Saivi wamebadili wanasema wakilipua kwa Nyukilia Russia atakiona cha moto.


Kumbe Russia ndio anawalisha kiuchumi aisee hawa madalali waliokuja Africa ili wapate pesa za kumlipa Mrusi ni wajanja wajanja sana hadi wakaiweka Africa mkononi wazee wa maneno.
 
Una akili ndogo sana... mambo yako wazi kabisa..
-Urusi anapigana na mataifa yote ya EU na NATO bila kutetereka
-Urusi kachukua majimbo manne ya ukraine na anayatwala....
-uchumi wa Ulaya umetetereka mno na kusababisha maandamano makubwa kwenye mataifa makubwa kama vile Ufaransa, croatia.....
-serikali za mataifa makubwa kama vile UK zimeteteleka sana hadi wana badili badili uongozi kwa sababu ya kuyumba kwa uchumi uliosabishwa na vikwazo kwa Urusi ambavyo vimewarudia wao.
-Urusi kuipiga ukraine kwa mtindo wowote ule unaotaka (refer mapigo ya juzi nchi nzima)
na mengineyo mengi wengine watani saidia kukukumbusha...
 
Una akili ndogo sana... mambo yako wazi kabisa..
-Urusi anapigana na mataifa yote ya EU na NATO bila kutetereka
-Urusi kachukua majimbo manne ya ukraine na anayatwala....
-uchumi wa Ulaya umetetereka mno na kusababisha maandamano makubwa kwenye mataifa makubwa kama vile Ufaransa, croatia.....
-serikali za mataifa makubwa kama vile UK zimeteteleka sana hadi wana badili badili uongozi kwa sababu ya kuyumba kwa uchumi uliosabishwa na vikwazo kwa Urusi ambavyo vimewarudia wao.
-Urusi kuipiga ukraine kwa mtindo wowote ule unaotaka (refer mapigo ya juzi nchi nzima)
na mengineyo mengi wengine watani saidia kukukumbusha...
Urusi anapgana na jesh la ukraine au la nato? Kwa kauli yako ya kusema urusi anapgana na nato bila kuteteleka utachekwa hata na vitoto vyako. Unadai uchumi wa ulaya umetetereka ila unasahau jamaa wanapeleka siraha na fedha kila leo na kuna kifurush cha ujeruman na uk kinatia timu huko. Vp urus wao uchumi wao una hali gn? Sema
 
Urusi anapgana na jesh la ukraine au la nato? Kwa kauli yako ya kusema urusi anapgana na nato bila kuteteleka utachekwa hata na vitoto vyako. Unadai uchumi wa ulaya umetetereka ila unasahau jamaa wanapeleka siraha na fedha kila leo na kuna kifurush cha ujeruman na uk kinatia timu huko. Vp urus wao uchumi wao una hali gn? Sema
NATO wanatoa silaha,wataalamu na mercenaries hapo jaribu kutumia akili Sasa.
 
Hata kwa macho huoni kama kuna mikoa minne ishabebwa na tuliambiwa akigusa au kuvamia atakipata cha moto Russia.

Saivi wamebadili wanasema wakilipua kwa Nyukilia Russia atakiona cha moto.


Kumbe Russia ndio anawalisha kiuchumi aisee hawa madalali waliokuja Africa ili wapate pesa za kumlipa Mrusi ni wajanja wajanja sana hadi wakaiweka Africa mkononi wazee wa maneno.
Nimesema tangu mwa
Hata kwa macho huoni kama kuna mikoa minne ishabebwa na tuliambiwa akigusa au kuvamia atakipata cha moto Russia.

Saivi wamebadili wanasema wakilipua kwa Nyukilia Russia atakiona cha moto.


Kumbe Russia ndio anawalisha kiuchumi aisee hawa madalali waliokuja Africa ili wapate pesa za kumlipa Mrusi ni wajanja wajanja sana hadi wakaiweka Africa mkononi wazee wa maneno.

Una akili ndogo sana... mambo yako wazi kabisa..
-Urusi anapigana na mataifa yote ya EU na NATO bila kutetereka
-Urusi kachukua majimbo manne ya ukraine na anayatwala....
-uchumi wa Ulaya umetetereka mno na kusababisha maandamano makubwa kwenye mataifa makubwa kama vile Ufaransa, croatia.....
-serikali za mataifa makubwa kama vile UK zimeteteleka sana hadi wana badili badili uongozi kwa sababu ya kuyumba kwa uchumi uliosabishwa na vikwazo kwa Urusi ambavyo vimewarudia wao.
-Urusi kuipiga ukraine kwa mtindo wowote ule unaotaka (refer mapigo ya juzi nchi nzima)
na mengineyo mengi wengine watani saidia kukukumbusha...
Umeongea kwa mihemko sana tatizo linaweza kuwa ni umri wako, elimu yako au wazazi wako kukuzaa kutokea kichakani, umeongea mengi lakini pumbu tupu, ushindi wa vita huwa ni mtihani mkubwa, unaweza kupiga missile randomly bila shabaha ukaleta uhalifu kwenye makazi ya watu.

Mapigo ni kama ifuatavyo, kupiga amino depot, cut off supply line, trenches, battalion attack, unaweza kulenga defence line ya adui ukamfanya achanganyikiwe kumpunguzia uwezo wa kujibu mapigo. Kupiga commanding post za adui ili kuvunja mawasiliano ya vikosi vilivyoko mstari wa mbele na utawala. Kama hujahalibu kabisa uwezo wa adui bado kupokea misaada ( supply ) bado hujashinda vita. Na kama hauna air superiority bado hujashinda vita, vikosi kama tank regiment na infantry units vinakuwa vulnerable na mashambulizi mengi ya drone na silaha za kuweka begani.

Inflation uk ilianza baada ya kujitoa eu, covid japo kukatiwa gase kumeongeza makali, wananchi wa nchi za dunia ya kwanza sio wajinga kama wewe wanawauliza viongozi wao hatua gani zichukuliwe
 
Kwan wk urus anaingia ukraine putin alitangaza zele ajiudhuru na wanajesh wa ukraine wajsalimishe je amefanikiwa au hakufanikiwa? Pili putin alisema atakayethubutu kupeleka hata mshale ukraine atadundwa kama ngoma je siraha znapelekwa au hazpelekwi? Tatu lengo la urus lilikuwa na kutwaa majmbo ma4 ya ukraine au kuitwaa mpk kiev yote? Nne je uwanja wa vita mpk sasa hayo maeneo aliyotwaa mapgano yanaendelea au hakuna vita huko? Tano urus alishndwa kuiteka kiev au hakushndwa? Sita putin alisema ukraine wakshambulia hayo maeneo anayodai ni ya urus atapgka vby sn je hayo maeneo ukraine anashambulia au hashambulii? Saba makombora na maroket anayorusha urus kule kiev je huko ndko kuliko na vita na mpk sasa yamesaidia nn ikiwa uwanja wa vita hali ni tete? NB: NEXT WK KIFURUSH KIPYA CHA ULAYA NA MAREKAN KITAKUWA KIMEINGIA UKRAINE UWENDA URUS ATAKUWA KWNY WKT MGUMU SN UWANJA WA VITA NEXT WK.
 
Una akili ndogo sana... mambo yako wazi kabisa..
-Urusi anapigana na mataifa yote ya EU na NATO bila kutetereka
-Urusi kachukua majimbo manne ya ukraine na anayatwala....
-uchumi wa Ulaya umetetereka mno na kusababisha maandamano makubwa kwenye mataifa makubwa kama vile Ufaransa, croatia.....
-serikali za mataifa makubwa kama vile UK zimeteteleka sana hadi wana badili badili uongozi kwa sababu ya kuyumba kwa uchumi uliosabishwa na vikwazo kwa Urusi ambavyo vimewarudia wao.
-Urusi kuipiga ukraine kwa mtindo wowote ule unaotaka (refer mapigo ya juzi nchi nzima)
na mengineyo mengi wengine watani saidia kukukumbusha...
Kwa uchambuzi wako, pengine wewe ndio hata akili hazimo kabisa.
 
Nimesema tangu mwa



Umeongea kwa mihemko sana tatizo linaweza kuwa ni umri wako, elimu yako au wazazi wako kukuzaa kutokea kichakani, umeongea mengi lakini pumbu tupu, ushindi wa vita huwa ni mtihani mkubwa, unaweza kupiga missile randomly bila shabaha ukaleta uhalifu kwenye makazi ya watu.

Mapigo ni kama ifuatavyo, kupiga amino depot, cut off supply line, trenches, battalion attack, unaweza kulenga defence line ya adui ukamfanya achanganyikiwe kumpunguzia uwezo wa kujibu mapigo. Kupiga commanding post za adui ili kuvunja mawasiliano ya vikosi vilivyoko mstari wa mbele na utawala. Kama hujahalibu kabisa uwezo wa adui bado kupokea misaada ( supply ) bado hujashinda vita. Na kama hauna air superiority bado hujashinda vita, vikosi kama tank regiment na infantry units vinakuwa vulnerable na mashambulizi mengi ya drone na silaha za kuweka begani.

Inflation uk ilianza baada ya kujitoa eu, covid japo kukatiwa gase kumeongeza makali, wananchi wa nchi za dunia ya kwanza sio wajinga kama wewe wanawauliza viongozi wao hatua gani zichukuliwe
Unahemka mpaka unatukana,kwani yeyote akishindwa mnalipwa.
 
Nimesema tangu mwa



Umeongea kwa mihemko sana tatizo linaweza kuwa ni umri wako, elimu yako au wazazi wako kukuzaa kutokea kichakani, umeongea mengi lakini pumbu tupu, ushindi wa vita huwa ni mtihani mkubwa, unaweza kupiga missile randomly bila shabaha ukaleta uhalifu kwenye makazi ya watu.

Mapigo ni kama ifuatavyo, kupiga amino depot, cut off supply line, trenches, battalion attack, unaweza kulenga defence line ya adui ukamfanya achanganyikiwe kumpunguzia uwezo wa kujibu mapigo. Kupiga commanding post za adui ili kuvunja mawasiliano ya vikosi vilivyoko mstari wa mbele na utawala. Kama hujahalibu kabisa uwezo wa adui bado kupokea misaada ( supply ) bado hujashinda vita. Na kama hauna air superiority bado hujashinda vita, vikosi kama tank regiment na infantry units vinakuwa vulnerable na mashambulizi mengi ya drone na silaha za kuweka begani.

Inflation uk ilianza baada ya kujitoa eu, covid japo kukatiwa gase kumeongeza makali, wananchi wa nchi za dunia ya kwanza sio wajinga kama wewe wanawauliza viongozi wao hatua gani zichukuliwe
we mbumbumbu yawezekana ndo nyie mliokosa elimu ya ufadhili huko ukraine au kuna mtoto wako au mjomba yako alikosa amepoteza nafasi ya masomo huko ukraine kutokana na vita inayoendelea.......
 
Oyaaa dah hahaha munafurahisha kinoma ninyi warusi wa nalinjilinji na waukreine wa buza🤣🤣🤣🤣
 
Mhanga mkubwa wa vita ni raia na wanajeshi wanaouwawa na aggressor.
Muhanga mkubwa wa vita huwa ni ''ukweli" kwani nivigumu sana kupata ukweli wa chanzo cha vita, pia ni ngumu zaidi kupata ukweli ndani ya uwanja wa medani. Hali hii inasababisha na ubaya we vita ambao huweza kubadilisha Maisha kuwa kama jehanamu. Vita ya kagera mpaka leo chanzo chake ni kitandawili. Swali je tulishinda vita au tulishindwa?, Tulipata nini baada ya vita je uchumi wetu ulikua au ulishuka?

Je vita ya Russia na ukraine nani mshindi? hapa kuna mjadala mkubwa ambao wenye akili za upembuzi ( analytical mind ) ndio wanaweza kuleta majibu kupitia vyanzo mbalimbali. Ushindi wa vita upo wa aina mbili yaani ushindi mdogo na ushindi mkubwa.

Ushindi mkubwa ni ule ambao unavunja nguvu yote ya adui kwa mapigo na kumfanya ashindwe kuendelea na mapambano, ushindi mdogo ni pale unapomrudisha adui nyuma kwa mapigo na kumfanya akimbie kuokoa maisha yake akajipange upya ( regrouping ).

Russia ndio alianza kumvamia jirani yake kwa mapigo makali ( escalation ) na Kisha jirani yake akajibu mapigo kwa counter offensive. Hapa swali nani mkali kwenye close combat tactics? Wenye ujuzi njoeni mleta facts, maana ushindi kwenye uwanja wa medani ni controversial?

Kama hujui lolote kuhusu vita usichangie
 
Russia anapigana vita ya kutishia sio mzma sana kweny kuface uwanja wa vita ameyashikilia majimbo mnne lakini anapiga makombora mahali tofauti kabisa anashambulia kwa kipindi fulani ila pumzi ikishuka anarudi nyuma..mi naona wakrenian wamesimama vema kutete ardhi ya dhidi ya dhalimu Putin..
 
NATO wanatoa silaha,wataalamu na mercenaries hapo jaribu kutumia akili Sasa.

Mkuu wala sio siri tena, wanajeshi wa NATO wanashiriki moja kwa moja kwa kificho kwa kuvaa uniform za jeshi la Ukraine - uzuri, jeshi la Urusi limewawekea mtego wa panya huko katika viunga na jiji la KHERSON wakisha jaa kwenye mtego, basi, jeshi la Urusi litawashushia kipigo kitakatifu kuliko kilicho wakumba waasi wa ISIS,Daesh na baadhi ya wanajeshi wa Merikani huko Allepo Syria - kipigo cha KHERSON kitakuwa kikali na kikubwa zaidi ili kiwe kama fundisho kwa majeshi ya NATO/US pamoja washauri wao wa kijeshi.

Umahili wa jeshi la Urusi utakuja kudhilika hapo baadae kwenye counter offensive kabambe inayo tegemewa kuwa sprung up na jeshi la Putin at opportune TIME, jamaa hawa hawana utani hata kidogo wakidhamilia kufanya kitu -nyie endeleeni kuwabeza beza na kuwabambikia majina ya kila sampuli jeshi la Urusi lakini wakihamua kufanya kweli wote mtaingia mitini kwa kuona aibu na vilio juu - si utani.
 
Anayefikiri kuwa Urusi inanguvu ya kupambana na majeshi ya Nato huyo hana akili.
Putin mwenyewe anaijua nato na ndio maana kila siku anatishia kupiga Nuklia na sio kupiga kupambana na majeshi bali yeye anatishia kupiga maeneo ya kiraiya.

Tuache utani na chuki bwana, Nato ni mziki mwingine na kamwe usiulinganishe na Russia
 
NATO wanatoa silaha,wataalamu na mercenaries hapo jaribu kutumia akili Sasa.
duh hv kuna ukwel kwamb kuvaa kijora na upunguani havitengaman ?sasa nchi imevamiwa ulitaka tukae kimya kama Urusi ilivyofanya kwa Ghadaf halaf wakaj jitia ushost mtu marehem tyr ?
 
Back
Top Bottom