Maana yake ni nini: Nimepita klm 300 Matawi ya Simba na Yanga Barabarani ni Mengi kuliko ya CCM na CHADEMA.

Maana yake ni nini: Nimepita klm 300 Matawi ya Simba na Yanga Barabarani ni Mengi kuliko ya CCM na CHADEMA.

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Nimesafiri kuvuka mikoa mitatu na Wilaya zaidi ya 5 kanda ya ziwa. Nilikuwa nimekaa mbele nikitathmini hali ya kisiasa na kiburudani njiani. Nilichogundua mawe ya msingi ya kuonyesha uwepo wa matawi ya Simba au Yanga ni mengi kuliko Ya Vyama vya siasa.

Najiuliza
Watu wamehamia kwenye burudani?

Siasa hupamba moto wakati wa Uchaguzi tu?

Watu wamekata tamaa na Siasa?

Ni hayo tu. Nini maoni yako.
 
Nimesafiri kuvuka mikoa mitatu na Wilaya zaidi ya 5 kanda ya ziwa. Nilikuwa nimekaa mbele nikitathmini hali ya kisiasa na kiburudani njiani. Nilichogundua mawe ya msingi ya kuonyesha uwepo wa matawi ya Simba au Yanga ni mengi kuliko Ya Vyama vya siasa.

Najiuliza
Watu wamehamia kwenye burudani?

Siasa hupamba moto wakati wa Uchaguzi tu?

Watu wamekata tamaa na Siasa?

Ni hayo tu. Nini maoni yako.
Elimu ya uraia bado ni tatizo Tanzania, hawajui siasa ndiyo inaamua kesho yao iwe bora au mbaya.
 
Timu za Simba na Yanga zinatumiwa na CCM kama kichaka cha kupumbaza watu huku wao wakiendelea kupiga pesa za umma, familia za akina Kikwete, Samia, Mwinyi ndiyo zinaamua kesho yetu sisi tupo tuna betty pekee
 
Back
Top Bottom