Pre GE2025 Maanadamano yasiyoifanya Katiba Mpya kuwa ni ajenda kuu ni maandamano ya wasaka vyeo

Pre GE2025 Maanadamano yasiyoifanya Katiba Mpya kuwa ni ajenda kuu ni maandamano ya wasaka vyeo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Nikadhani hapa tunapewa changamoto za kuyavutia makundi mengi zaidi kushiriki?

2. Kwani makundi mengi yakishiriki si ni kwa maslahi zaidi?

3. Haya yalikuwa maoni kuntu ya kukumbatiwa kama yaliyomo humu:

Jan 23/24, Maandamano yahusishe wadau wote

4. Mleta mada (Missile of the Nation) alipaswa kupongezwa, si kubagazwa.

5. Kuyaleta makundi mengi kwa kadri iwezekanavyo ni fursa isiyostahili kubezwa:

View attachment 2872830

5. Alucholeta mleta mada ni maujanja ya nyongeza.

6. Umoja ni nguvu.

Proved, JokaKuu, Economist
Kaleta "maujanja_ujinga" kwa kebehi.Ni haki yake kuburuzwa kikamilifu na si kubagazwa.
 
Katika nchi yetu tatizo la msingi siyo sheria za uchaguzi, Tatizo la msingi ni katiba mbovu inayozaa mfumo mbovu wa uongozi na utawala, mfumo mbovu wa haki na mfumo mbovu wa uwajibikaji.

Nashangaa chama kikuu cha upinzani ambacho kinajua wazi kuwa mzizi wa fitina ni katiba mbovu, hakina interest ya kuifanya katiba mpya kuwa ndiyo KILIO KIKUU cha kuwaingiza watu barabarani, lakini chenyewe kinaweka mbele mambo ya uchaguzi as if uchaguzi ndiyo tatizo kuu.

Hii inatoa taswira gani?, inatoa Taswira kuwa viongozi wa CHADEMA wao kinachowakera zaidi hadi kupata ujasiri wa kutaka kuwaingiza watu mabarabarani ni sheria zinazowakwaza kuingia bungeni au kupata udiwani. Otherwise kama kweli wana uchungu na wananchi kwa ujumla wake kwa nini Maandamano wanayoitisha yasiwe na AJENDA KUU YA MSINGI AMBAYO NI KUDAI KATIBA MPYA?

Uchaguzi wa mwaka 2020 ulipofanyika, Magufuli akawapiga akina Mbowe na kitu kizito kichwani waliwaambia wananchi kuwa kamwe hawawezi kushiriki tena uchaguzi chini ya katiba ya sasa na tume hii ya uchaguzi. Sasa Magufuli hayupo, wanahisi wana chance ya kuingia mjengoni tena kwa hiyo wako tayari kusettle na "minimum" reforms za kuwawezesha kuingia tena mjengoni kula kodi za wananchi!.

Mimi nasema kama CHADEMA wanataka kuandamana kama chama ili watngenezewe sheria watakazozipenda za kuwawezesha kupata hivyo viti vya ubunge na ruzuku iongezeke, basi ni kheri kwao wacha waandamane, LAKINI sisi wananchi tatizo letu KUU na la MSINGI ni KATIBA MPYA!

BILA KUIFANYA KATIBA MPYA KUWA NDIYO AJENDA MAMA
ya maandamano basi haya maandamano ni JOKE yaani ni KICHEKESHO na ni muendelezo uleule tu wa wanasiasa kutaka kututumia wananchi kama ngazi ili kufikia malengo yao ya kisiasa ambayo kimsingi siasa ni ajira yao!.

Haitoshi kuchomekea vijmaneno vya hapa na pale kuhusu katiba mpya ili kulainisha mioyo ya watu, tunataka ajenda KUU iwe ni KATIBA MPYA.

Nje ya hapo, Mbowe na Wanachadema wenzako kama mnadhani uchaguzi ndiyo tatizo kuu nchini basi kaandamaneni. lakini nawajulisha tu kuwa Ajenda yenu imekaa kivyama, haijakaa kitaifa na kwa hiyo hata wanaCCM ambao wangewaunga mkono kuandamana kama ajenda yenu kuu ingekuwa ni KATIBA mpya hawataandamana kwa sababu mmeweka mbele mambo ya uchaguzi.
CHADEMA na wasakatonge wenzake wanawazaga kupata chansi za kisiasa tu ,walikuwa wapi kwenye DP world, walikuwa wapi kwenye ongezeko la bei ya mafuta,walikuwa kwenye kodi za majengo na miamala ya simu ,walikuwa wapi kwenye ukosefu wa ajira kwa vijana,walikuwa wapi kwenye ruzuku za mbolea ,walikuwa wapi kwenye madai ya pensheni za wazee,

Hata ishu ya serikali tatu imelenga kutafuta chansi za kisiasa tu hakuna lolote

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Katika nchi yetu tatizo la msingi siyo sheria za uchaguzi, Tatizo la msingi ni katiba mbovu inayozaa mfumo mbovu wa uongozi na utawala, mfumo mbovu wa haki na mfumo mbovu wa uwajibikaji.

Mimi nasema kama CHADEMA wanataka kuandamana kama chama ili watngenezewe sheria watakazozipenda za kuwawezesha kupata hivyo viti vya ubunge na ruzuku iongezeke, basi ni kheri kwao wacha waandamane, LAKINI sisi wananchi tatizo letu KUU na la MSINGI ni KATIBA MPYA!

BILA KUIFANYA KATIBA MPYA KUWA NDIYO AJENDA MAMA
ya maandamano basi haya maandamano ni JOKE yaani ni KICHEKESHO na ni muendelezo uleule tu wa wanasiasa kutaka kututumia wananchi kama ngazi ili kufikia malengo yao ya kisiasa ambayo kimsingi siasa ni ajira yao!.
Naunga mkono hoja ila kwa muda uliobakia kabla ya uchaguzi mkuu, the time is too little too late, kwa mchakato wa katiba mpya, lakini kwa minimum reforms it is possible.
P
 
Waende tu wakaandamane, wasitushawishi na sisi kuandamano kwa kitu ambacho siyo tatizo letu kuu!.

Siku wakija na ajenda kuu ambayo ni katiba mpya hapo tutazungumza na tutakuwa tayari kuandamana kwa moyo wote!
Tatizo la watanzania ni kuogopa kuandamana kwa ajenda iliyo nje ya utashi wa ccm/serekali. Kama wananchi wangekuwa wana udhubutu wa kuandamana, basi hoja ya kina Mwabukusi wangeandamana. Kama huamini waambie akina Slaa na Mwabukusi waitishe maandamano ya katiba mpya, na waweke hoja zote hadharani uone kama Kuna atakayejitokeza kuandamana. Acha cdm wapandishe joto tu kwa hizo hoja zao, lakini hakuna wa kuandamana hapa nchini boss.
 
Naunga mkono hoja ila kwa muda uliobakia kabla ya uchaguzi mkuu, the time is too little too late, kwa mchakato wa katiba mpya, lakini kwa minimum reforms it is possible.
P

..hivi kwanini Ccm wanaogopa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi?

..ccm wana utajiri mkubwa wa fedha na watu na sio rahisi kupoteza uchaguzi hata kama kutakuwa na tume huru na katiba mpya.

..again, sielewi kwanini Ccm wanaogopa tume huru na katiba wakati vyama washindani wake bado ni changa mno.
 
..hivi kwanini Ccm wanaogopa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi?

..ccm wana utajiri mkubwa wa fedha na watu na sio rahisi kupoteza uchaguzi hata kama kutakuwa na tume huru na katiba mpya.

..again, sielewi kwanini Ccm wanaogopa tume huru na katiba wakati vyama washindani wake bado ni changa mno.

1. Mkuu CCM watake katiba mpya au tume huru ya nini?

2. Kwani ina maslahi gani nao?

3. Kwanini tungependa kupewa mezani badala ya kuvipigania au hata kujinyakulia ikibidi?

"Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia"

4. Atupe vipi huyo katiba itakayomzuia kukwiba zikiwamo chaguzi.

5. Kwani ni kipi tusichokijua hapo?
 
Naunga mkono hoja ila kwa muda uliobakia kabla ya uchaguzi mkuu, the time is too little too late, kwa mchakato wa katiba mpya, lakini kwa minimum reforms it is possible.
P

Kwani uchaguzi hauwezi kucheleweshwa? Ni lazima tu ufanyike 2024? Kwanini zote zisiende 2025? Au ni Yale ya degree za miaka 3?
 
Watu wengi ambao wanadai katiba mpya, ukiwauliza changamoto ya katiba ya sasa hawajui hata moja

That's why serikali haina mpango wala uharaka wa kuchange katiba

Kwamba ndiyo sababu serikali haina mpango tangu na hata kabla ya 2014?
 
Watu wengi ambao wanadai katiba mpya, ukiwauliza changamoto ya katiba ya sasa hawajui hata moja

That's why serikali haina mpango wala uharaka wa kuchange katiba
Kama imeonekana hii katiba ya sasa ina changamoto na zimeelezwa(hata kama na wachache wenye kujua) shida ipo wapi kuleta katiba mpya ambayo sote tutafaidika na hayo mabadiliko ya hiyo katiba mpya?

Mambo ya watu kujua katiba sijui yanatoka wapi kama ingekuwa muhimu watu wote kujua hii katiba ya sasa basi elimu hiyo ingetolewa kabla hata ya madai ya katiba mpya hajaja.
 
S
Tatizo la watanzania ni kuogopa kuandamana kwa ajenda iliyo nje ya utashi wa ccm/serekali. Kama wananchi wangekuwa wana udhubutu wa kuandamana, basi hoja ya kina Mwabukusi wangeandamana. Kama huamini waambie akina Slaa na Mwabukusi waitishe maandamano ya katiba mpya, na waweke hoja zote hadharani uone kama Kuna atakayejitokeza kuandamana. Acha cdm wapandishe joto tu kwa hizo hoja zao, lakini hakuna wa kuandamana hapa nchini boss.
Hivi ile UKUTA si watu walitaka kuandama ila Mbowe akaepusha maafa?
 
Wewe unajipa madaraka ya kunisemea mimi why?,wewe kama umeona katiba no mbovu why usifanye push back ili upate katiba bora?,uoga wako wa kizuzu ndio unakusumbua na kujifanya ni warrior wa key boards, ingia mitaani ili udai katiba bora, usitegemee watu wengine wakupiganie na acha upumbavu huu

1. Umoja ni nguvu, mawazo kama yako yanastahili kupigwa vita bila kuyaonea haya.

2. Kulikoni kutotafuta umoja kwenye tunayokubaliana bali utengano?

3. Maoni kama yako hayawezi kuwa msimamo wa chama chochote makini labda kama ni usanii tu.

4. Bila ya CHADEMA kuyakana hadharani mawazo kama haya, matokeo yake ni kutoeleweka chama kinataka au hakitaki nini.

5. Kwamba haifahamiki kuwa kwa adui yetu mmoja vita ya pamoja inatija gani? Madhara ya wazi ya kukosa ufahamu:

"Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama"
 
Katika nchi yetu tatizo la msingi siyo sheria za uchaguzi, Tatizo la msingi ni katiba mbovu inayozaa mfumo mbovu wa uongozi na utawala, mfumo mbovu wa haki na mfumo mbovu wa uwajibikaji.

Nashangaa chama kikuu cha upinzani ambacho kinajua wazi kuwa mzizi wa fitina ni katiba mbovu, hakina interest ya kuifanya katiba mpya kuwa ndiyo KILIO KIKUU cha kuwaingiza watu barabarani, lakini chenyewe kinaweka mbele mambo ya uchaguzi as if uchaguzi ndiyo tatizo kuu.

Hii inatoa taswira gani?, inatoa Taswira kuwa viongozi wa CHADEMA wao kinachowakera zaidi hadi kupata ujasiri wa kutaka kuwaingiza watu mabarabarani ni sheria zinazowakwaza kuingia bungeni au kupata udiwani. Otherwise kama kweli wana uchungu na wananchi kwa ujumla wake kwa nini Maandamano wanayoitisha yasiwe na AJENDA KUU YA MSINGI AMBAYO NI KUDAI KATIBA MPYA?

Uchaguzi wa mwaka 2020 ulipofanyika, Magufuli akawapiga akina Mbowe na kitu kizito kichwani waliwaambia wananchi kuwa kamwe hawawezi kushiriki tena uchaguzi chini ya katiba ya sasa na tume hii ya uchaguzi. Sasa Magufuli hayupo, wanahisi wana chance ya kuingia mjengoni tena kwa hiyo wako tayari kusettle na "minimum" reforms za kuwawezesha kuingia tena mjengoni kula kodi za wananchi!.

Mimi nasema kama CHADEMA wanataka kuandamana kama chama ili watngenezewe sheria watakazozipenda za kuwawezesha kupata hivyo viti vya ubunge na ruzuku iongezeke, basi ni kheri kwao wacha waandamane, LAKINI sisi wananchi tatizo letu KUU na la MSINGI ni KATIBA MPYA!

BILA KUIFANYA KATIBA MPYA KUWA NDIYO AJENDA MAMA
ya maandamano basi haya maandamano ni JOKE yaani ni KICHEKESHO na ni muendelezo uleule tu wa wanasiasa kutaka kututumia wananchi kama ngazi ili kufikia malengo yao ya kisiasa ambayo kimsingi siasa ni ajira yao!.

Haitoshi kuchomekea vijmaneno vya hapa na pale kuhusu katiba mpya ili kulainisha mioyo ya watu, tunataka ajenda KUU iwe ni KATIBA MPYA.

Nje ya hapo, Mbowe na Wanachadema wenzako kama mnadhani uchaguzi ndiyo tatizo kuu nchini basi kaandamaneni. lakini nawajulisha tu kuwa Ajenda yenu imekaa kivyama, haijakaa kitaifa na kwa hiyo hata wanaCCM ambao wangewaunga mkono kuandamana kama ajenda yenu kuu ingekuwa ni KATIBA mpya hawataandamana kwa sababu mmeweka mbele mambo ya uchaguzi.
Tutaendelea kiwa na maisha magumu mpaka tupate katiba mpya.

Kenya na S.Africa wane neemeka kiuchumi sababu ya utawala wa sheria uliosimikwa katika katiba nzuri.
 
Katika nchi yetu tatizo la msingi siyo sheria za uchaguzi, Tatizo la msingi ni katiba mbovu inayozaa mfumo mbovu wa uongozi na utawala, mfumo mbovu wa haki na mfumo mbovu wa uwajibikaji.

Nashangaa chama kikuu cha upinzani ambacho kinajua wazi kuwa mzizi wa fitina ni katiba mbovu, hakina interest ya kuifanya katiba mpya kuwa ndiyo KILIO KIKUU cha kuwaingiza watu barabarani, lakini chenyewe kinaweka mbele mambo ya uchaguzi as if uchaguzi ndiyo tatizo kuu.

Hii inatoa taswira gani?, inatoa Taswira kuwa viongozi wa CHADEMA wao kinachowakera zaidi hadi kupata ujasiri wa kutaka kuwaingiza watu mabarabarani ni sheria zinazowakwaza kuingia bungeni au kupata udiwani. Otherwise kama kweli wana uchungu na wananchi kwa ujumla wake kwa nini Maandamano wanayoitisha yasiwe na AJENDA KUU YA MSINGI AMBAYO NI KUDAI KATIBA MPYA?

Uchaguzi wa mwaka 2020 ulipofanyika, Magufuli akawapiga akina Mbowe na kitu kizito kichwani waliwaambia wananchi kuwa kamwe hawawezi kushiriki tena uchaguzi chini ya katiba ya sasa na tume hii ya uchaguzi. Sasa Magufuli hayupo, wanahisi wana chance ya kuingia mjengoni tena kwa hiyo wako tayari kusettle na "minimum" reforms za kuwawezesha kuingia tena mjengoni kula kodi za wananchi!.

Mimi nasema kama CHADEMA wanataka kuandamana kama chama ili watngenezewe sheria watakazozipenda za kuwawezesha kupata hivyo viti vya ubunge na ruzuku iongezeke, basi ni kheri kwao wacha waandamane, LAKINI sisi wananchi tatizo letu KUU na la MSINGI ni KATIBA MPYA!

BILA KUIFANYA KATIBA MPYA KUWA NDIYO AJENDA MAMA
ya maandamano basi haya maandamano ni JOKE yaani ni KICHEKESHO na ni muendelezo uleule tu wa wanasiasa kutaka kututumia wananchi kama ngazi ili kufikia malengo yao ya kisiasa ambayo kimsingi siasa ni ajira yao!.

Haitoshi kuchomekea vijmaneno vya hapa na pale kuhusu katiba mpya ili kulainisha mioyo ya watu, tunataka ajenda KUU iwe ni KATIBA MPYA.

Nje ya hapo, Mbowe na Wanachadema wenzako kama mnadhani uchaguzi ndiyo tatizo kuu nchini basi kaandamaneni. lakini nawajulisha tu kuwa Ajenda yenu imekaa kivyama, haijakaa kitaifa na kwa hiyo hata wanaCCM ambao wangewaunga mkono kuandamana kama ajenda yenu kuu ingekuwa ni KATIBA mpya hawataandamana kwa sababu mmeweka mbele mambo ya uchaguzi.

Mnafiki mkubwa. Umeambiwa Katiba mpya sio kipaumbele? Kasome Press release ya CHADEMA ya Leo. Usipende kuropoka bila kuwa na facts.
 
Kwani uchaguzi hauwezi kucheleweshwa?
Uchaguzi hauwezi kucheleweshwa kwasababu ni kwa mujibu wa katiba, ili uchaguzi uchaguzi ucheleweshwe lazima kufanyika minimum reforms za katiba.
Ni lazima tu ufanyike 2024?
Si lazima uchaguzi ufanyike 2024, hili nimelisema sana humu, Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea? lakini linahitaji minimum reforms.
Kwanini zote zisiende 2025?
Ndicho nilicho shauri, chaguzi zote zifanywe siku moja na kusimamiwa na Tume moja huru na Shirikishi ya Uchaguzi ila inahitaji minimum reforms za katiba.
Au ni Yale ya degree za miaka 3?
Haya tena yanatoka wapi?. What has degree za miaka 3 got to do with this?.
P
 
Back
Top Bottom