Unabisha kwamba wewe sio taahira?Jibu nikuthibitishie.
Wewe umelogwa.
Masela na mademu njooni huku Kuna Uzi wenuOya masela na mademu wa jf hivi nani hili jambo lilishamtokea yeyote kati yenu?
Pale ambapo jirani yako anakaribia kudanja kwa ugonjwa mbaya maybe cancer au mshtuko wa moyo halafu wewe ukishajua kua kwa taarifa za ndugu zake kua "huko hospitali flani bin flani kwakweli amezidiwa na hatuna matumaini", basi wewe upo bize kuselekt mavazi ya mtoko wako msibani kwenye akili yako.
Ilishawahi kukutokea wewe?
Share nasisi hapa tucheke wote.
Nitakuvunja vunja kama mawe,usicheze na mimi,nitakupasua pasua na kukugawanya kama mawe.
Vidonge gani?
Wewe unafanana na huyo aliyeko kwenye avatar yako.
Hujioni kua una kasoro,wewe ni mgonjwa wa akili.