Maandalizi ya msiba

Unabisha kwamba wewe sio taahira?Jibu nikuthibitishie.

Tahira ni wewe wa kufanya maandalizi ya mavazi kwenye msiba milembe ulitoroka bilashaka vidonge vyako hujameza wiki sasa hebu anza kumeza basi
 
Masela na mademu njooni huku Kuna Uzi wenu
 
Tahira ni wewe wa kufanya maandalizi ya mavazi kwenye msiba milembe ulitoroka bilashaka vidonge vyako hujameza wiki sasa hebu anza kumeza basi
Nitakuvunja vunja kama mawe,usicheze na mimi,nitakupasua pasua na kukugawanya kama mawe.
 
Kama huna cha kupost ni bora ubakie kuwa msomaji wa threads za wenzio tu mzee, sio kila ujinga unaokujia kichwani basi unakuja kuupost humu.
 
Kama huna cha kupost ni bora ubakie kuwa msomaji wa threads za wenzio tu mzee, sio kila ujinga unaokujia kichwani basi unakuja kuupost humu.
Mimi ni mjinga? Shenzi mkubwa wewe, mimi ni genius.
 
Haya sasa jamaa hatimaye amekufa kwahiyo nadhani mnajua kinachofuata wana Jf.
Ni mtoko mkali mno wa kwenda msibani.
Kama wewe ni mkristo hutaogopa ila kama wewe ni mfuasi wa waabudu nyota na mwezi pamoja na wengine wa giza mtaogopa kusoma hii thread.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…