Maandalizi ya msiba

Maandalizi ya msiba

Unabisha kwamba wewe sio taahira?Jibu nikuthibitishie.

Tahira ni wewe wa kufanya maandalizi ya mavazi kwenye msiba milembe ulitoroka bilashaka vidonge vyako hujameza wiki sasa hebu anza kumeza basi
 
Oya masela na mademu wa jf hivi nani hili jambo lilishamtokea yeyote kati yenu?

Pale ambapo jirani yako anakaribia kudanja kwa ugonjwa mbaya maybe cancer au mshtuko wa moyo halafu wewe ukishajua kua kwa taarifa za ndugu zake kua "huko hospitali flani bin flani kwakweli amezidiwa na hatuna matumaini", basi wewe upo bize kuselekt mavazi ya mtoko wako msibani kwenye akili yako.

Ilishawahi kukutokea wewe?
Share nasisi hapa tucheke wote.
Masela na mademu njooni huku Kuna Uzi wenu
 
Tahira ni wewe wa kufanya maandalizi ya mavazi kwenye msiba milembe ulitoroka bilashaka vidonge vyako hujameza wiki sasa hebu anza kumeza basi
Nitakuvunja vunja kama mawe,usicheze na mimi,nitakupasua pasua na kukugawanya kama mawe.
 
Kama huna cha kupost ni bora ubakie kuwa msomaji wa threads za wenzio tu mzee, sio kila ujinga unaokujia kichwani basi unakuja kuupost humu.
 
Kama huna cha kupost ni bora ubakie kuwa msomaji wa threads za wenzio tu mzee, sio kila ujinga unaokujia kichwani basi unakuja kuupost humu.
Mimi ni mjinga? Shenzi mkubwa wewe, mimi ni genius.
 
Haya sasa jamaa hatimaye amekufa kwahiyo nadhani mnajua kinachofuata wana Jf.
Ni mtoko mkali mno wa kwenda msibani.
Kama wewe ni mkristo hutaogopa ila kama wewe ni mfuasi wa waabudu nyota na mwezi pamoja na wengine wa giza mtaogopa kusoma hii thread.
 
Back
Top Bottom