Maandalizi ya msiba

Maandalizi ya msiba

Wakili

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2017
Posts
531
Reaction score
657
Oya masela na mademu wa jf hivi nani hili jambo lilishamtokea yeyote kati yenu?

Pale ambapo jirani yako anakaribia kudanja kwa ugonjwa mbaya maybe cancer au mshtuko wa moyo halafu wewe ukishajua kua kwa taarifa za ndugu zake kua "huko hospitali flani bin flani kwakweli amezidiwa na hatuna matumaini", basi wewe upo bize kuselekt mavazi ya mtoko wako msibani kwenye akili yako.

Ilishawahi kukutokea wewe?
Share nasisi hapa tucheke wote.
 
Tucheke nini? Kuna cha kuchekesha hapo?

Yaani wewe unakuwa busy kuchagua mavazi ufanye mtoko msibani? Na siku mzazi wako au ndugu yako akifa utakuwa busy kupanga mtoko msibani?

Itoshe kusema kama Taifa tumefika hatua mbaya Sana na akili za vijana wa sasa
 
Oya masela na mademu wa jf hivi nani hili jambo lilishamtokea yeyote kati yenu?

Pale ambapo jirani yako anakaribia kudanja kwa ugonjwa mbaya maybe cancer au mshtuko wa moyo halafu wewe ukishajua kua kwa taarifa za ndugu zake kua "huko hospitali flani bin flani kwakweli amezidiwa na hatuna matumaini", basi wewe upo bize kuselekt mavazi ya mtoko wako msibani kwenye akili yako.

Ilishawahi kukutokea wewe?
Share nasisi hapa tucheke wote.
Kwanza, shika adabu yako. Sisi siyo masela wako.

Pili, wewe huna utu. Unajitayarisha muonekano wako ili ukawaimpress watu msibani. Unajitafutia utanashati hata kwenye msiba?

Jirekebishe.
 
Nlikua na mgonjwa ndani ya nyumba yangu alikuja kutibiwa, na nlikua naona kabisa dalili haponi.....nlikua naogopa mnooo yani nikiwaza atakata moto nitaweka maturubai nlikua napata woga namuomba Mungu aepushe naona ni mtihani mkubwa sana sitauweza😭😭 Mungu ni mwema sana alituvusha vema alinipa mtihani huu akijua ninauweza.

Huyo unaempangia mtoko sijui ni nani yako.
 
Kambaku Wewe nawe peleka ujinga wako huko,nani anayeogapa kifo?wewe ni mwanaume gani wewe,nyie ndio wale mkipita njia za makaburini usiku mnaogopa.Wewe ni kilaza kweli.
 
Nlikua na mgonjwa ndani ya nyumba yangu alikuja kutibiwa, na nlikua naona kabisa dalili haponi.....nlikua naogopa mnooo yani nikiwaza atakata moto nitaweka maturubai nlikua napata woga namuomba Mungu aepushe naona ni mtihani mkubwa sana sitauweza😭😭 Mungu ni mwema sana alituvusha vema alinipa mtihani huu akijua ninauweza.

Huyo unaempangia mtoko sijui ni nani yako.
Ni jirani yangu bwana,yupo KCMC na amelazwa mda mrefu tu kwa tatizo la mshtuko wa moyo.
 
Kwanza, shika adabu yako. Sisi siyo masela wako.

Pili, wewe huna utu. Unajitayarisha muonekano wako ili ukawaimpress watu msibani. Unajitafutia utanashati hata kwenye msiba?

Jirekebishe.
Wewe ni mwanaume mwoga,wewe ni mjinga sana,yaani unaogopa kifo? Wewe ni tahira la wapi wewe?
 
JF ya sasa Inasikitisha sana!
Mimi ni genius wewe sijawahi shindwaga na mtu tangu nizaliwe.Wewe kwangu ni kilaza kabisa halafu wewe ni mwanaume mwoga unaelewa hilo?Jinga kabisa.
 
Oya masela na mademu wa jf hivi nani hili jambo lilishamtokea yeyote kati yenu?

Pale ambapo jirani yako anakaribia kudanja kwa ugonjwa mbaya maybe cancer au mshtuko wa moyo halafu wewe ukishajua kua kwa taarifa za ndugu zake kua "huko hospitali flani bin flani kwakweli amezidiwa na hatuna matumaini", basi wewe upo bize kuselekt mavazi ya mtoko wako msibani kwenye akili yako.

Ilishawahi kukutokea wewe?
Share nasisi hapa tucheke wote.
Mijitu mingine akili kama zimwi.
 
Back
Top Bottom