Maandalizi ya uchaguzi 2025 yazingatie mikakati ya 2020 maana hakuna miujiza ya sisi wana CCM kupenya sanduku la kura

Maandalizi ya uchaguzi 2025 yazingatie mikakati ya 2020 maana hakuna miujiza ya sisi wana CCM kupenya sanduku la kura

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Dalili ya mvua ni Mawingu, na ukweli usiposemwa adharani utasema sirini. Hali ni ngumu, miyoyo ya watu imekunjamana, wanacheka na wewe ukiondoka wanakung'ong'a. Inshort huna watu nyuma yako na hakutatokea miujiza ukawa na watu nyuma yako Hadi pale utakaruhusu maridhiano ndani ya chama.

Ni kweli kila mmoja atasifia lakini jipe muda wakutafakari mtangulizi wako walimsifia kwa gharama gani? Siku alipoondoka naamini uliambiwa walivyosherekea na kunywa pombe, hao ndio binadamu tuliotengeneza Tanzania.

Familia moja moja mpendwa wao anateseka kwa kukosa ajira, kufukuzwa kazi, kufilisika, mazao kukosa masoko, kufukuzwa na virungu,kukamatwa na kutozwa fedha zisizo za haki na trafiki nk.

Lakini pia nimemsikia mkuu wa mkoa wa Dodoma makao makuu ya nchi akidhibiti milioni 47 zisitumike watu kwenda Mbeya, jiulize wanaenda Mbeya kwa ndege au wanawasha kila mtu gari yake? Kama wanafanya hivyo waliopo Mbeya, Mikoa mingine vipi? Je, wanapokataliwa wanajipanga vipi? Wakisema CCM oyee unaamini wanamaanisha chama Cha mapinduzi au wao moyoni wanamaanisha Chukua chako Mapema?

Tusipotofautisha CHUKUA CHAKO MAPEMA NA CHAMA CHA MAPINDUZI tukakalia kusikia mwangwi wa OYEEEEEE ndipo hapo tunapoishi na wabaya wetu tukiamini ni wazuri wetu.

Lakini pia kura ni matokeo ya maridhiano ya wapiga kura na wapigiwa kura,lini tutajua tunawapiga kura wangapi kama Hadi Sasa hakuna uchaguzi tunaofanya? Na endapo tukitaka uchaguzi,je tunao uwezo wakutafuta wapiga kura miongoni wa wananchi? Jibu, ni NO: hakuna muda wakutosha wakuwatibu majeraha watu, hakuna mpiga kura hata anayevaa shati, kofia na kiatu Cha kijani.

Hawa watu wanavaa kwa kujilinda, kwa usalama wao, kwa usalama wa familia zao na kwa usalama wa miradi yao. Ila ukiwakuta kwenye majadiliano ndipo unagundua Hawa siyo Chama Tawala Bali ni kundi kubwa la Chukua chako Mapema waliojificha kwenye chama Cha mapinduzi.

Kwa Hali hii, andaeni dola warudie walichofanya uchaguzi uliopita. La sivyo akitua Makamu Mwenyekiti wao hapa na wakati huo Mwenyekiti yupo ndani huku familia zikiugulia mateso mbalimbali basi tambueni mtadhalilika.

Kumbukeni yule Bwana akitia mguu hapa kipindi Cha uchaguzi hakuna wakumzuia kugombea Urais na akiingia mtaani kwa kiu wananchi waliyonayo ya ukombozi hata kampeni itawawia vigumu kufanya maana tumezoeleka na kizazi Cha Sasa ambacho hakina ajira na kimesoma wanaoana Raha kufanya Kama akina Hichilema na watafanya si waliopo CCM Wala waliopo nje, watafanya maana wanajua wakifanya Basi ninyi mliopo ofisini mtawapisha.

Mwisho, kumbukeni kwamba ndani ya CCM wamepewa wao madaraka na wanajifanya mafala nakutuaminisha watiifu kwako, nakuhakikishia kwamba Hawa watu lao ni moja isipokuwa tu wanazungumza kwa ishara kipindi ambacho sisi tumewawekea vinasa sauti, natamani tuwawekee vinasa ishara tutajua wazi kwamba mateso mliyowapatia Hadi wakaasi yanawatesa kuliko ujira wa mwiha tunaowapatia.

Natabiri hakuna kiumbe wa kushiriki uchaguzi CCM 2025 hata awepo JK na wengine, Hali Ni ngumu maana hatujui Nani CCM Nani Chadema. Vicheko vyao vina mengi.
 
Mtu ambaye hawezi kunifunza kwa Hayati Magufulo basi hata jifunza kamwe.

Magufuli aliwahonga watu hadi uwaziri. Lakini alipofariki walimsaliti a kumsahau kabisa. Yeye ni nani?
 
Hadi 2025 silo wa kuwapa ushindi ccm atakuwa ashastaafu,ajae atokubali kutumika kisiasa atataka kurejesha heshima ya police kwenye Jamii.
Ccm hadi sasa hawana mtu anaeuzika kwa watz.Hasira za machinga na tatizo la ajira nchini linakwenda kuibomoa ccm vibaya sana.
Majimbo mengi lazima yatarudi upinzani,watz wameona madhara ya ukosefu wa upinzani bungeni ikapelekea vitu kama tozo kupitishwa.
 
CCM utu ulishawatoka,watauwa wengi,watafunga wengi ili waendelee kukaa madarakani. Wanajua kuwa kwa sasa hawana jipya kwa wapiga kura ila wanacbokiringia na kujivunia wanayo dola basi. Na kwa taasisi zetu zilivyo weak kutuweka mstari mmoja na Malawi au Zambia bado sana. Hapa kwetu watendaji huwazia matumbo yao na familia zao na sio mustakabali wa taifa. Hivyo mleta uzi wanalijua Hilo na dola ipo kuwasaidia wakati wowote mana ndo misukule yao.
 
Dalili ya mvua ni Mawingu, na ukweli usiposemwa adharani utasema sirini. Hali ni ngumu, miyoyo ya watu imekunjamana, wanacheka na wewe ukiondoka wanakung'ong'a. Inshort huna watu nyuma yako na hakutatokea miujiza ukawa na watu nyuma yako Hadi pale utakaruhusu maridhiano ndani ya chama. Ni kweli kila mmoja atasifia lakini jipe muda wakutafakari mtangulizi wako walimsifia kwa gharama gani? Siku alipoondoka naamini uliambiwa walivyosherekea na kunywa pombe, hao ndio binadamu tuliotengeneza Tanzania.

Familia moja moja mpendwa wao anateseka kwa kukosa ajira, kufukuzwa kazi, kufilisika, mazao kukosa masoko, kufukuzwa na virungu,kukamatwa na kutozwa fedha zisizo za haki na trafiki nk.

Lakini pia nimemsikia mkuu wa mkoa wa Dodoma makao makuu ya nchi akidhibiti milioni 47 zisitumike watu kwenda Mbeya, jiulize wanaenda Mbeya kwa ndege au wanawasha kila mtu gari yake? Kama wanafanya hivyo waliopo Mbeya, Mikoa mingine vipi? Je, wanapokataliwa wanajipanga vipi? Wakisema CCM oyee unaamini wanamaanisha chama Cha mapinduzi au wao moyoni wanamaanisha Chukua chako Mapema?
Tusipotofautisha CHUKUA CHAKO MAPEMA NA CHAMA CHA MAPINDUZI tukakalia kusikia mwangwi wa OYEEEEEE ndipo hapo tunapoishi na wabaya wetu tukiamini ni wazuri wetu.

Lakini pia kura ni matokeo ya maridhiano ya wapiga kura na wapigiwa kura,lini tutajua tunawapiga kura wangapi kama Hadi Sasa hakuna uchaguzi tunaofanya? Na endapo tukitaka uchaguzi,je tunao uwezo wakutafuta wapiga kura miongoni wa wananchi? Jibu, ni NO: hakuna muda wakutosha wakuwatibu majeraha watu, hakuna mpiga kura hata anayevaa shati, kofia na kiatu Cha kijani. Hawa watu wanavaa kwa kujilinda, kwa usalama wao, kwa usalama wa familia zao na kwa usalama wa miradi yao. Ila ukiwakuta kwenye majadiliano ndipo unagundua Hawa siyo Chama Tawala Bali ni kundi kubwa la Chukua chako Mapema waliojificha kwenye chama Cha mapinduzi.

Kwa Hali hii, andaeni dola warudie walichofanya uchaguzi uliopita. La sivyo akitua Makamu Mwenyekiti wao hapa na wakati huo Mwenyekiti yupo ndani huku familia zikiugulia mateso mbalimbali basi tambueni mtadhalilika. Kumbukeni yule Bwana akitia mguu hapa kipindi Cha uchaguzi hakuna wakumzuia kugombea Urais na akiingia mtaani kwa kiu wananchi waliyonayo ya ukombozi hata kampeni itawawia vigumu kufanya maana tumezoeleka na kizazi Cha Sasa ambacho hakina ajira na kimesoma wanaoana Raha kufanya Kama akina Hichilema na watafanya si waliopo CCM Wala waliopo nje, watafanya maana wanajua wakifanya Basi ninyi mliopo ofisini mtawapisha.

Mwisho, kumbukeni kwamba ndani ya CCM wamepewa wao madaraka na wanajifanya mafala nakutuaminisha watiifu kwako, nakuhakikishia kwamba Hawa watu lao ni moja isipokuwa tu wanazungumza kwa ishara kipindi ambacho sisi tumewawekea vinasa sauti, natamani tuwawekee vinasa ishara tutajua wazi kwamba mateso mliyowapatia Hadi wakaasi yanawatesa kuliko ujira wa mwiha tunaowapatia.

Natabiri hakuna kiumbe wa kushiriki uchaguzi CCM 2025 hata awepo JK na wengine, Hali Ni ngumu maana hatujui Nani CCM Nani Chadema. Vicheko vyao vina mengi.
Suala la msingi ni kufanyika Uchaguzi wa huru na haki hakuna jingine.
 
Mleta mada nimekupenda Sana, UKWELI humuweka MTU huru. Masambatuta watakuja kukuambia wewe Ni chadema, wadharau TU, ulichosema upo sahihi Sana
 
CCM siku hizi haina haja ya kuumiza kichwa kuhusu uchaguzi , bunduki, NEC, Usalama wa Taifa, Wakurugenzi vyote vyao
Ni suala la wao kuamua wanataka kura ngapi za Raisi, Wabunge na Madiwani kisha kujigawia. Hawana hofu yoyote.
 
Iliyokuwa mikakati ya 2020😁😁😁
 
Mtu ambaye hawezi kunifunza kwa Hayati Magufulo basi hata jifunza kamwe.

Magufuli aliwahonga watu hadi uwaziri. Lakini alipofariki walimsaliti a kumsahau kabisa. Yeye ni nani?
Nyie si ndio kila siku mnalia na sukuma gang mnamshauri mama awaondoe kwa sababu wanaishi falsafa za Magu na mama akawaanza kuwatoa au si nyie?

Leo unasema wamemsaliti. Kesho utasema mama watoe sukuma gang ndio wanaharibu.

Labda mtoa mada hajui. Katika watu ambao waliwahakikishia wanaccm kuendelea kushika hatamu za uongozi ni Magufuli.

Viongozi na wanasiasa wengi wa ccm ukitoa wachache hawana shida ya kifedha sababu kuwemo tu kwenye hizo nafasi ni hela. Wanachohofia ni kupoteza hizo nafasi. Na akitokea mtu wa kuwahakikishia basi wapo nae. Magu alifanya hivyo. Ni kundi dogo mno la kina January lilimchukia Magu sababu hakuwapa kile walichotaka wao binafsi.
 
Nyie si ndio kila siku mnalia na sukuma gang mnamshauri mama awaondoe kwa sababu wanaishi falsafa za Magu na mama akawaanza kuwatoa au si nyie?

Leo unasema wamemsaliti. Kesho utasema mama watoe sukuma gang ndio wanaharibu.

Labda mtoa mada hajui. Katika watu ambao waliwahakikishia wanaccm kuendelea kushika hatamu za uongozi ni Magufuli.

Viongozi na wanasiasa wengi wa ccm ukitoa wachache hawana shida ya kifedha sababu kuwemo tu kwenye hizo nafasi ni hela. Wanachohofia ni kupoteza hizo nafasi. Na akitokea mtu wa kuwahakikishia basi wapo nae. Magu alifanya hivyo. Ni kundi dogo mno la kina January lilimchukia Magu sababu hakuwapa kile walichotaka wao binafsi.
Ya sukuma gang na haya ya hangaya ni kitu kimoja.
 
Ccm ni timu iliyoachwa kutamba kwa sababu wanacheza mechi huku wakiwa kabisa na marefa wao, washika vibendera wao, makamisaa wao, mipira yao na mashabiki wao uwanja mzima sasa sijui ni lini mtawashinda kwenye mazingira magumu kama hayo.
 
Back
Top Bottom