Maandamano IFM

Brodre

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,585
Reaction score
1,771
Wanafunzi wa chuo cha IFM wanaandamana kuelekea kituo cha police Kigamboni kupinga maovu yanayofanywa na majambazi hapo chuoni. Ina aminika kuwa police wanajua waliofanya uhalifu huo na bado wamekaa kimya bila kuchukua hatua yoyote ile.

===============
UPDATES
===============





 

Attachments

  • n1i.jpg
    38.6 KB · Views: 1,482
  • n2.jpg
    19.7 KB · Views: 471
  • n3.jpg
    31.2 KB · Views: 452
  • n4.jpg
    48.3 KB · Views: 462
  • n5.jpg
    32.4 KB · Views: 1,492
Kwenda kituo cha polisi hadi wapande kivuko, kwa nini wasiende cha Selander Bridge?
 
Toa maelezo yakamilike mkuu yaani ulivyo post haaaaaaaa hata mtoto sio hivyo funguka basi ueleweke vizuri!😱:thumbdown::thumbdown:😱
 
wanaolawitiwa ni hao wanafunzi wa ifm au? mbona sijakuelewa mtoa thread
 
nimefanikiwa kuongea na mwanafunzi wa ifm anasema kwa sasa wanaelekea wizara ya mambo ya ndani kuwasilisha matatizo ya ujambazi yaliyokithiri kwa wanafunzi waishio kigamboni, mbaya zaidi usiku wa kuamkia leo kuna wanafunzi wa kiume wamebakwa na kwa sasa wako muhimbili..
 
Yaani hii nchi bila maandamano na kuzomea hakujatendeka kitu!
 
Wameshafika wizara ya mambo ya ndani pale karibu na exim tower, wanaimba nyimbo mbalimbali za malalamiko yao, niko eneo la tukio!
 

Mh, hii ss kali!ndo imefikia huko
 
wanaolawitiwa ni hao wanafunzi wa ifm au? mbona sijakuelewa mtoa thread

baada ya hao majambazi kukosa vitu vya kuiba katika chumba cha hao wanafunzi ndio wakaamua kuwalawiti hao wanafunzi ambao walikua wako wa tatu, source: nimeongea na mwanafunzi wa hapo ifm
 
du jamani kigamboni my place ,early 2004 nikikaa huko hakukua na tabu yoyote ile sasa hivi its not a better place for the student to stay jamani,kwanza wale wenyeji wengi wamekimbizwa maeneo ya karibu sababu ya nyumba kupanda bei na wanafunzi wanazi aford tu,kupelekea wao kukaa maeneo ya mbali sana na mjini hii pia ni kero kwa wazawa wa eneo lile.swali je? wanaobakwa ni hao tu wa IFM maana pale ---- chuo kikuu cha MWALIMU NYERERE pia
 
Wanafunzi wa chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) wapo kwenye maandamano mda huu kuelekea kituo cha police Kigamboni kushinikiza jeshi la police liimarishe ulinzi katika makazi yao ya kupanga (hostels) kwani kwa sasa vitendo vya wizi wa laptops, simu za mikononi, fedha pamaja na ubakaji vimekithiri.Tukio la hivi karibuni baadhi ya wanafunzi wameibiwa mali zao pamoja na baadhi yao kubakwa/kulawiti na watu wanaodaiwa kuwa wezi.
 
Yes,wameandamana mpaka makao makuu ya jeshi la polisi!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nipo hapa wizara ya afya naona wanafunzi wengi sana wakiimba na kuelekea wizarani nakwa kamanda kova.

Nilipo wahuliza tu wakasema kuwa wanafunz wanaoishi kigamboni
~ wanakuwa wakiibiwa sana
~ wanabakwa na kuingiliwa nyuma ya maumbile (kulawitiwa)
~ na sasa kuna habari mbaya sana na wanaelekea kigamboni.....
 
Kwa habari za sasa Kova amewachomolea na wamegeuza maandamano yao wanaelekea kigamboni kukinukisha huko

Naomba wanaulinzi mukaimalishe ulinzi..... mambo yanaweza kualibika soon na kuepusha misiba isiyokuwa ya lazimaa
 
Ni kama kawaida ya Polisi,taarifa zilishapelekwa lakini hakuna lolote lililofanyika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…