Maandamano Kenya yamekuwa ya amani toka yalipoanza. Hakuna mtu aliyekufa

Maandamano Kenya yamekuwa ya amani toka yalipoanza. Hakuna mtu aliyekufa

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Inaonyesha kwamba watu wa Kenya ni watu wa amani. Tuone kesho itakuwa vipi. Sijui Ruto atafan6a Nini kesho. Lakini nimeona video clip,Rais wa Senegal anamfukuza Ruto kwenye mkutano AU. Anamwita Ruto mwizi wa kura.
 
Na mayai viza yanapatikana huko, kwani Odinga aliwasii wafuasi wake waanze kususia kununua Mayai huko.
 
Historically, Maandamano ya Amani hayajawahi kuza mabadiliko yenye maana na hata kama yalizaa basi it was ephemeral
 
Back
Top Bottom