Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakuandamana kupinga muuaji ya Waisrael?!View attachment 2786104View attachment 2786106View attachment 2786107Watu wameandamana ndani ya Majengo ya bunge la Marekani kupinga mauaji ya Israel dhidi ya wapalestina huko Gaza!
View attachment 2786102
Haijazuiliwa kuandamana kupinga mauwaji ya waisrael, unaweza ukaandamanaHawakuandamana kupinga muuaji ya Waisrael?!
Isiwe mkuki Kwa nguruwe tu Kwa mwanadamu mchungu![emoji15][emoji12]
Wanafiki hao.View attachment 2786104View attachment 2786106View attachment 2786107Watu wameandamana ndani ya Majengo ya bunge la Marekani kupinga mauaji ya Israel dhidi ya wapalestina huko Gaza!
View attachment 2786102
Andamana wewe mfalme Zumaridi.Hawakuandamana kupinga muuaji ya Waisrael?!
Isiwe mkuki Kwa nguruwe tu Kwa mwanadamu mchungu![emoji15][emoji12]
Haijazuiliwa kuandamana kupinga mauwaji ya waisrael, unaweza ukaandamana
Hawakuandamana kupinga muuaji ya Waisrael?!
Isiwe mkuki Kwa nguruwe tu Kwa mwanadamu mchungu![emoji15][emoji12]
Awali ya nini?Nitajjie nchi walau 3 ambazo ziliandamana hapo awali!
Hao ni wayahudi wanaoishi marekaniHawakuandamana kupinga muuaji ya Waisrael?!
Isiwe mkuki Kwa nguruwe tu Kwa mwanadamu mchungu![emoji15][emoji12]
Wayahudi wakengeuke Agizo Hili La Mungu wao??Hao ni wayahudi wanaoishi marekani
Wayahudi hawaamini biblia ni kitabu kitakatifu,wanachounga mkono kwenye bible ni suala la nchi ya ahadi,wayahudi marekani wameandamana kupinga vurugu za Israel,ipo kila sehemu,au shule hukupita lugha inakupiga chenga?Wayahudi wakengeuke Agizo Hili La Mungu wao??
Maskhara hayo! [emoji15][emoji12]
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.
HAO ni warabu Walio Igiza
Maandamano yanasaidia nini ikiwa watu wanaendelea kuuwawa??Haijazuiliwa kuandamana kupinga mauwaji ya waisrael, unaweza ukaandamana
Hilo agizo limefahamika zaidi na wasabato wa Tanzania tu.Wayahudi wakengeuke Agizo Hili La Mungu wao??
Maskhara hayo! [emoji15][emoji12]
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.
HAO ni warabu Walio Igiza
Hiyo ndio demokraisa unayoitaka.Unawaamrisha watoto wahame na wazazi hao halafu unawauwa kutoka angani.Israel ndio taifa pekee lenye demokrasia ya kweli hapo mashariki ya kati, mapenzi ya jinsia moja ruksa, lazima tuisapoti israel tuachane na waarabu hawana demokrasia
Kwa hiyo unafurahia Marekani kuwa na demokrasia ya kweli kuweza kuwaruhusu hata waisraeli wa huko kuipinga serikali ya kwao.Wayahudi hawaamini biblia ni kitabu kitakatifu,wanachounga mkono kwenye bible ni suala la nchi ya ahadi,wayahudi marekani wameandamana kupinga vurugu za Israel,ipo kila sehemu,au shule hukupita lugha inakupiga chenga?
Mbona wao walichofanyiwa hamtaki kabisa kuongelea?View attachment 2786295
Hiyo ndio demokraisa unayoitaka.Unawaamrisha watoto wahame na wazazi hao halafu unawauwa kutoka angani.
lakini hawakuandamana Israel iliposhambuliwa nna watu wakapoteza maisha au wale walikua ni mbuzi na huku kwingineko ni binadamuView attachment 2786104View attachment 2786106View attachment 2786107Watu wameandamana ndani ya Majengo ya bunge la Marekani kupinga mauaji ya Israel dhidi ya wapalestina huko Gaza!
View attachment 2786102
lakini hawakuandamana Israel iliposhambuliwa nna watu wakapoteza maisha au wale walikua ni mbuzi na huku kwingineko ni binadamu
Unaahabikia ushoga unaopigiwa chapuo na kulazimisha na marekani na ulaya!?Kwa hiyo unafurahia Marekani kuwa na demokrasia ya kweli kuweza kuwaruhusu hata waisraeli wa huko kuipinga serikali ya kwao.
Je, hilo linawezekana kwenye hizo nchi mnazoshabikiaga humu.? Nafikiri hata nyie mnashangaa sana.
Hamas walaaniweView attachment 2786295
Hiyo ndio demokraisa unayoitaka.Unawaamrisha watoto wahame na wazazi hao halafu unawauwa kutoka angani.