Maandamano, Lissu kapoteza, Mbowe Kapata: Uchambuzi wangu

Maandamano, Lissu kapoteza, Mbowe Kapata: Uchambuzi wangu

Joseph Ludovick

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
364
Reaction score
468
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
 
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
1. Nadhani hukufuatilia vizuri kile unachodai 'kutoonekana' au kama umefuatilia 'kutoonekana' umekupa maana tofauti kwa Tundu Lissu na kwamba yeye kapoteza, na Mbowe kapata. In fact, kama ni kupata wote wamepata na kama ni kupoteza wote wamepoteza.
2. Mimi naona wote wamepata kwa maana kwamba wote wawili waliwahamasisha wanachama wao washiriki maandamano ya amani kwa sababu ni haki yao ya kikatiba.
3. Lakini, kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, wote wawili walifuatwa na askari kwenye makazi yao. Tundu Lissu alichukuliwa kutoka nyumbani, na kupelekwa huko alikopelekwa, na kwa sababu hiyo hakuweza kufika sehemu waliyopanga wakutane kwa ajili ya kuongoza maandamano yao. Kwa Mbowe, yeye hakupatikana nyumbani, ila alionekana Magomeni, ambako pia alikamatwa.
4. Kwa hiyo, mmoja alikamatwa akiwa bado nyumbani, na mwingine mara tu baada ya kuwasili Magomeni.
5. Kwa mantiki hiyo, si sahihi kuhitimisha kwamba aliyekamatiwa nyumbani "hakuonekana", yes hakuonekana kwa sababu alikamatwa kabla hajatoka nyumbani.
6. Na si sahihi pia aliyekamatiwa Magomeni, yeye kapata kumzidi aliyekamatiwa nyumbani.
7. Nimesema kama ni kupoteza kwa wote (lakini si kosa lao) kwa sababu ya nguvu kubwa sana iliyotumika kuwazuia watu ambao ni 'unarmed' kuandamana.
8. Kwa 'presence' ya armed law enforcers kama ilivyokuwa, sidhani kama hata ungekuwa wewe ungeweza kuandamana, labda chumbani.
9. Hivyo, poor turn-up (in this context) ni understandable kwa watu ambao hawajawahi kukabiliana na nguvu ya aina hiyo katika shughuli zao za kisiasa, maana hata mimi sijawahi ku'experience' kwa hapa Tanzania hali kama niliyoiona jana.
10. Katika mazingira kama haya ni kwenda mbali sana to heap blame on Tundu Lissu, kwamba "hakuonekana".
11. Baadhi ya wakosoaji wanasema idadi ya waandamanaji walikuwa wachache, lakini kutokana na maelezo ya Na 9 (hapo juu) watu wengi kuandamana kwa mazingira ya jana kulihitaji muujiza.
12. Sikuona askari akimpiga mtu. Hili ni jambo jema liendelezwe zaidi na zaidi.
This is how I can put it.
 
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
lisu alizuiwa nyumbani.
mbowe hakulala nyumbani alitumia umafya kufika magomeni.
so lisu asingeweza kufika magomeni
 
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
sio kweli. Polisi na nyie ndio mliopanga lisu akamatiwe nyumbani kwake na Mbowe akamatiwe wapi ili mje na hili.
 
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
Lissu amekamatwa yupo ndani
 
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
Mnyika kadakwa wapi?
 
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
Wote waliokamatwa waneonesha ujasiri na ushirikiano wao na mwenyekiti na hakuna aliyepoteza wote wamepata. Kumbuka walikamatwa kwa nyakati tofauti. Waliopoteza ni Polisi wanafikiri kuwa dili ni kukamata tu ili kufurahisha maboss wao. Samia ndio kapoteza yote hata hotuba ya jana Songea sauti yake ilikuwa inasema mengi.
 
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
Medani za kivita kila mtu anazakwake huwa kwenye vita kunafundamental principal tu lakini kinamikati mingine hufundishwi ila unakabiliana nalo kutokana natukio lililopo mbele yako kwa wakati huo, Mbowe alilala Nyumbani kwa mtoto wake siku yakumkia kwenye Maandamano, Lisu alilala nyumbani kwake hii yote ilikuwa mikakati mizuri sana kwani walipo ona Lisu yupo nyumbani kwake walizani na Mbowe pia yupo kwake hihi ni mikakati ya jinsi ya kujipanga nani ashambulie nane awe backup.
 
Chadema imefanikiwa saana maana imeteka nchi kuliko ziara mama chura kiziwi ruvuma
 
Chadema imefanikiwa saana maana imeteka nchi kuliko ziara mama chura kiziwi ruvuma
Yaani haya maandamano yangeruhusiwa yasingesambaa nakujulikana kama hivi yalivyozuiwa mpaka vijijini ndani ndani walikuwa wanayafuatilia ilikujua matokeo ya mtifuano kati ya POLISI na CDM na swala walilokuwa wanalipigania limeathiri karobu Tanzania yote kwahiyo watu wengi walikuwa wanaona kuwa CDM inawasemea wao na wengine ambao wamepata madhila ya kutekwa na kupote vijana wso au ndugu zao hata CCM linawahusu kwani familia zetu zina mahusiano ya itikadi, dini hata makabila mbali mbali likni unakuta ni ndugu.
 
Gazeti lakini pumba TAL nyumba yake tangu juzi ilizingirwa na mgambo,jana saa nne wakamkamata.
Boniyai yeye alikamatwa kitambo.
Mnyika ndio muoga kujiificha kanisani
 
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya chama hicho. Kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahusiana na athari hizi, yakiwemo ushawishi wa viongozi wa chama, maslahi ya kisiasa, na mwelekeo wa chama katika mazingira ya sasa ya siasa ya Tanzania.

1. Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunatoa taswira ya kwamba kuna pengo katika safu ya viongozi wanaoongoza harakati hizi. Lissu amekuwa ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa ndani ya chama kutokana na msimamo wake mkali dhidi ya serikali. Kutokuwepo kwake kunaunda pengo la kimkakati, ambalo kwa kiwango fulani linamfanya Freeman Mbowe kuwa kiongozi wa mbele wa harakati hizo.

2. kutoonekana kwa Lissu kunaleta hisia za utupu katika uongozi wa chama, hasa ikizingatiwa mnyukano wa madaraka na udhibiti wa uongozi mintarafu nafasi ya mgombea urais. Lissu ameonekana kama mwanaharakati tu asiye na uzito wowote na kutokuwepo kwake kunaweza kuonekana kama pigo kwa baadhi ya wafuasi wake.

3. Kutokana na kutoonekana kwa Lissu, Freeman Mbowe amejikuta katika nafasi ya kipekee ya kuimarisha ushawishi wake ndani ya CHADEMA na siasa za kitaifa. Mbowe, kama mwenyekiti wa chama kwa muda mrefu, anafahamika kwa ustadi wake wa kisiasa, uwezo wa kuongoza chama katika nyakati ngumu, na ushirikiano wake na makundi mbalimbali ndani ya chama. Uwepo wa Mbowe kama sura ya mbele ya maandamano haya tena akiwa na binti yake, kuna faida kubwa kwake.

Kwa Mbowe kuwa mstari wa mbele, kunamsaidia kujijenga tena kama kiongozi mwenye nguvu, hasa baada ya kukaa gerezani kwa muda mrefu kutokana na mashtaka ya ugaidi ambayo baadaye yalifutwa.
Katika miaka ya hivi karibuni, Lissu ameonekana kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wafuasi wa

CHADEMA na upinzani kwa ujumla. Hii imeonekana kama changamoto kwa Mbowe kudumisha nafasi yake ya juu katika chama. Ikumbukwe Lissu amekwishatangaza kuwa anagombea urais kupitia CHADEMA.Kwa kutoonekana leo akiongoza maandamano Lissu, kunampa Mbowe fursa ya kuimarisha ushawishi wake kama kiongozi mkuu wa chama.

4. Kutoonekana kwa Tundu Lissu pia kunafungua mjadala kuhusu umakini wa ushirikiano wa viongozi wa CHADEMA kuelekea chaguzi zijazo. Ushindani wa ndani ya chama unaweza kuwa changamoto kwa chama kinapojitahidi kuimarisha umoja na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi.

Hii inaweza kuleta mgawanyiko kati ya wafuasi wa Lissu na wale wa Mbowe, jambo ambalo linaweza kudhoofisha nguvu ya chama kama hakitasimamia vizuri ushindani wa ndani.

Kutoonekana kwa Tundu Lissu hadharani kunaleta pengo la kisiasa ambalo linaweza kuwafanya baadhi ya wafuasi wake kuhisi athari ya kutokuwepo kwake. Vilevile kumuinua Freeman Mbowe kama kiongozi wa mbele wa maandamano na harakati za kisiasa.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Jambo linalobaki kujulikana ni ikiwa Mbowe amefanikisha mkakati huu peke yake ama "amesaidiwa" Kuusuka? Lissu atakuwa analaumu sana huko aliko. Wakati yeye akikamatwa kama kuku mapema, Mwenziye ameonekana shujaa akiongoza maandamano na kuongea na media kibao. Naam Maandamano ya leo Lissu amepoteza, Mbowe amepata.
Ndani ya dakika kumi za Maandamano ya Mbowe na Mwanawe mbele ya Cameramen zimeionyesha Dunia what is happening in Tanzania 😳🙄😳

Kweli Siasa ni Sayansi 😀😅😅
 
Back
Top Bottom