Maandamano Makubwa Kata ya Olijoro Namba 5, Mkoani Manyara Wananchi Wafunga Barabara Kudai Maji, Polisi waingilia kati

BADALA YA KUWATAWANYA POLISI WANGEWAPELEKEA MAJI, NAAMINI WANGETAWANYIKA BAADA YA KUPATA MAJI.
MAGARI YA KUBEBA MAJI WANAYO ILA WAMEYATUMIA KUWEKA KEMIKALI NA KUWAMWAGIA! HAWAKUHITAJI KUOGESHWA.
 
Tenth largest economy in Africa, WTF???
 
ila hii nchi watu wanateseka
hivi viongozi wanajua kweli
wabunge wetu ni wa hovyo kabisa
 
Wananchi katika kijiji cha losinon kata ya oljoro wilayani simanjiro mkoani Manyara wamefanya maandamano ya kufunga barabara kwa zaidi ya masaa sita wakishinikiza serikali kutatua changamoto ya maji iliyopo wilayani kwa zaidi ya miaka 30, Mwenyekiti wa kijiji hicho Naini Pariti amesema kua wamekua wakiuziwa maji kwa shilingi 1500 lita moja .

Wamesema kua wanatakan mkuu wa mkoa wa Manyara afike na kuona wananchi hao wanavopata tabu na kusababisha vifo vingi vya mama na mtoto, Aidha meneja RUWASA wilayani Simanjiro mkoani Manyara Johanes Martin ametoa ahadi kwa wananchi hao ndani ya mieziu miwili kutatua changamoto hiyo ikiwa ni pamoja na kulaza mabomba yatakayo sambaza maji kijijini hapo.

Your browser is not able to display this video.
 
Wananchi wameanza kuamka, just imagine miaka 30, na wabunge wanachaguliwa kila baada ya miaka 5
 
Hizi masndamano zitakuwa nyingi sana maana uvhawi wao wa mwenge unaishia nguvu!
 
Huyo bi Mkubwa anaangushwa na Makundi makubwa mawili.

1.Chawa -hawa ni wapumbavu wachache wenye ufinyu mkubwa wa akili na pengne watu wasiojitambua sana, watu hawa wanamuangusha Mama kwa sababu ya kumlevya sifa asizokuwanazo wanampa sifa ambazo zinafanya ajisahau na aoene kamalza majukumu yake kumbe uvundo tu.

2.Watenda kazi wake - Madiwani ,Wabunge ,wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, viumbe hawa wanamuangusha kwa sababu pengne hawamfikishii taarfa ya nn kinaendelea huko mikoani pamoja na changamoto mbalimbali za wananchi.
 
Anakubalije kuangushwa!! Si mseme tu ukweli.
 
SIASA NI MCHEZO MCHAFU SANA HUO NI MPANGO UMEPANGWA, SOON MTAONA MRADI MPYA
 
Kuandamana ni haki yao ya kikatiba ili mradi hawavunji sheria. Serikali sikivu ya CCM ifanyie kazi madai yao kwa haraka.
 
Kwamba kuna uchaguzi unakuja na utafanyika kama ule wa 2020 na kama makondoo tutakuwepo?

Looh!

Hatujifunzi hata kutokea kwa wamasai?

Hii nchi itakombolewa na spirit kama hizi:

Your browser is not able to display this video.


Hawa wakitaka katiba mpya leo, inatoka.

Muda wa kuweka matumaini yetu kwa wamasai tena wale wa vijijini!
 
Nchi hii kunashida Kila sehemu lakini wapuuzi utasikia wanasema mama anaupiga mwingi

Fikiria kukubali kwenda kwenye uchaguzi terms zile zile, wapi pana nafuu?

imhotep umasai ingekuwa chama, tusingejiunga?

Kwa hakika ukombozi uko huko.
 
Siyo kwa hasira hizo. Wamama watakuwa wananuka bila kuosha muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…