Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Wewe ni lazima upigwe tu maana hujitambui hata kidogo.Mimi nikiandamana Mapolisi wanatumwa wanipige na kunidhalilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni lazima upigwe tu maana hujitambui hata kidogo.Mimi nikiandamana Mapolisi wanatumwa wanipige na kunidhalilisha.
Unataka IGP apoteze ugali wake!?? 😃Polisi wayazuie. Waonyeshe mapenzi yao kwenye sanduku la kura.
Sema luca kazidi 😂Ukinambia Erythrocyte na Lucas Mwashambwa ni watu wawili tofauti, Mm nakataa.
Rais Samia amefanya furaha ya mamilioni ya watanzania kuongezeka. Ukifanya utafiti wa haraka haraka unaona wazi kiwango cha furaha kwa watanzania kimeongezeka sana kwa sababu ya uwepo wa Rais Samia madarakani.
Mm naona wote wako sawa, Erythrocyte akianza kumsifia yule mume wake anaweza kujaza uzi 100 na hapo ni introductionSema luca kazidi 😂
Mimi nitakuwa mbele kabisa na bango langu kubwa la Mama yetu kipenzi Rais Samia. Anatosha na mitano tena hadi 2030Ndugu zangu Watanzania,
Hakukaliki wala wananchi hawataki kabisa kutulia .wananchi wamegoma kabisa kusubiri muda wa kuchukua Fomu ufike, wananchi wamegoma kabisa kujizuia furaha zao zilizo jaa katika vifua vyao, wananchi wameshindwa kabisa kuvumilia na kusalia majumbani mwao kuendelea na kazi.
Badala yake wananchi na watanzania kwa mamilioni wamepanga kufanya maandamano makubwa sana kuwahi kutokea hapa Nchini. Kwa lengo la kupongeza uteuzi wa Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.
Wananchi na watanzania kwa ujumla wao wanataka waionyeshe Dunia na ulimwengu wote kwa ujumla wake kuwa Rais Samia ndio chaguo la watanzania na ndiye kipenzi cha watanzania.wanataka kupeleka ujumbe DUNIANI kote kuwa Rais Samia ndiye mboni ya watanzania na ndiye aliyebeba matumia ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.
Wanataka kupeleka ujumbe Duniani kwote kuwa Rais Samia ndio tumaini la watanzania na ndiye anayeungwa mkono na mamilioni ya watanzania.na kwamba wapo nyuma yake na wapo tayari kufa kwa ajili ya Rais Samia na kufanya mapambano ya aina yoyote ile na kupambana na yeyote yule kwa ajili yake.
Kwa hakika Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe.usishindane na aliyeinuliwa na kupewa kibali na Mungu.View attachment 3206862View attachment 3206863View attachment 3206864View attachment 3206866
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu, IGP ataeleweka, aje na taarifa za kiintelijensia kusapoti zuio lake.Unataka IGP apoteze ugali wake!?? 😃
Atakayethubutu kuandamana atapigwa Hadi achakae. Yaani kipigo Cha mbwa Koko. Shetani mkubwa wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisaNdugu zangu Watanzania,
Hakukaliki wala wananchi hawataki kabisa kutulia .wananchi wamegoma kabisa kusubiri muda wa kuchukua Fomu ufike, wananchi wamegoma kabisa kujizuia furaha zao zilizo jaa katika vifua vyao, wananchi wameshindwa kabisa kuvumilia na kusalia majumbani mwao kuendelea na kazi.
Badala yake wananchi na watanzania kwa mamilioni wamepanga kufanya maandamano makubwa sana kuwahi kutokea hapa Nchini. Kwa lengo la kupongeza uteuzi wa Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.
Wananchi na watanzania kwa ujumla wao wanataka waionyeshe Dunia na ulimwengu wote kwa ujumla wake kuwa Rais Samia ndio chaguo la watanzania na ndiye kipenzi cha watanzania.wanataka kupeleka ujumbe DUNIANI kote kuwa Rais Samia ndiye mboni ya watanzania na ndiye aliyebeba matumia ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.
Wanataka kupeleka ujumbe Duniani kwote kuwa Rais Samia ndio tumaini la watanzania na ndiye anayeungwa mkono na mamilioni ya watanzania.na kwamba wapo nyuma yake na wapo tayari kufa kwa ajili ya Rais Samia na kufanya mapambano ya aina yoyote ile na kupambana na yeyote yule kwa ajili yake.
Kwa hakika Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe.usishindane na aliyeinuliwa na kupewa kibali na Mungu.View attachment 3206862View attachment 3206863View attachment 3206864View attachment 3206866
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Utakufa wewe na ushetani wako.Atakayethubutu kuandamana atapigwa Hadi achakae. Yaani kipigo Cha mbwa Koko. Shetani mkubwa wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Heche kichwani ni 0Huyu mama hawezi kushinda uchaguzi Lissu akiwa mgombea na sisi tukiongoza chama sababu ni mwanamke, Mzanzibar na hana hoja
Heche.
Siku hiyo hiyo anakuwa Constable 😃 weMkuu, IGP ataeleweka, aje na taarifa za kiintelijensia kusapoti zuio lake.
Acha matusi kwa watanzania wazalendo wenye uchungu na Taifa hili.Mirembe please ongezeni vyumba, kuna wehu wanataka kuandamana
Hakuna mwehu mzalendoAcha matusi kwa watanzania wazalendo wenye uchungu na Taifa hili.
Wewe ndiye mwehuHakuna mwehu mzalendo
Ni furaha tupu vifuani kwa watanzania.Watanzania wataandamana wakibubujikwa machozi