Maandamano makubwa Senegal baada ya kiongozi wa upinzani kuhukumiwa

Maandamano makubwa Senegal baada ya kiongozi wa upinzani kuhukumiwa

Mhandisi Mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2010
Posts
6,682
Reaction score
11,461
Habari wana jamvi.

Maandamano makubwa yanaendelea Senegal nzima baada ya kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kulaghai watoto chini ya miaka 21.

Awali bwana Sonko ambaye ni gavana wa jimbo mojawapo alikuwa na tuhuma za ubakaji. Pale dada wa saloon ya massage alipomtuhumu kumbaka.

Lakini jana kwenye hukumu alikutwa hana hatia ya ubakaji ila akakutwa na kosa la ulaghai ambapo adhabu yake ni kifungo kuanzia miaka miwili mpaka mitano.

Sonko siku zote anasema hizo ni tuhuma za kisiasa ili rais wa sasa Macky Sall asiwe na mpinzani na ajiongezee muda wa kutawala.

Mpaka muda huu maandamano yameingia siku ya pili.

Waandamanaji wamekua wakiingia barabarani na kuchoma mali mbalimbali hasa zinazomilikiwa na wafaransa....

Bank 8 zimepigwa moto
kituo kimoja cha mafuta
Supermaket
watu 9 mpaka sasa wamefariki.....

More updates to come...
 

Attachments

  • IMG-20230602-WA0018.jpg
    IMG-20230602-WA0018.jpg
    81.3 KB · Views: 6
  • IMG-20230602-WA0017.jpg
    IMG-20230602-WA0017.jpg
    31.8 KB · Views: 10
  • IMG-20230602-WA0016.jpg
    IMG-20230602-WA0016.jpg
    37.3 KB · Views: 11
  • IMG-20230602-WA0019.jpg
    IMG-20230602-WA0019.jpg
    38 KB · Views: 9
Updates.

Vifo vilivyorekodiwa ni 16 mpaka jumatatu.
Majengo pretol station nyingi zmechomwa.
Uvamizi kwenye maduka na supermakets
Internet imezimwa kwa siku ya 4.

Jumanne.
Hali ya Dakar ni shwari watu wameanza kurejea makazini ingawa si kwa wingi. Askari wametanda kila sehemu.

Mpaka leo Ousmane Sonko bado kutiwa nguvuni yupo nyumbani kwake Dakar na nyumba yake imezungukwa na askari ili kumzuia kutoroka...
 
Updates.

Vifo vilivyorekodiwa ni 16 mpaka jumatatu.
Majengo pretol station nyingi zmechomwa.
Uvamizi kwenye maduka na supermakets
Internet imezimwa kwa siku ya 4.

Jumanne.
Hali ya Dakar ni shwari watu wameanza kurejea makazini ingawa si kwa wingi. Askari wametanda kila sehemu.

Mpaka leo Ousmane Sonko bado kutiwa nguvuni yupo nyumbani kwake Dakar na nyumba yake imezungukwa na askari ili kumzuia kutoroka...
Asante Kwa updates
 
Back
Top Bottom