FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Wewe kinakuuma nini watu kuhamishwa Tz tukalipwa fidia tuiache hifadhi ya Tz ili isiingiliwe na binadamu?Kina kuuma nini wale watu kuhamishwa pale wakalipwa fidia ili tuache hifadhi ya ngorongoro isiingiliwe na binadamu?
kwanii chenge vip ni mtanzania kweli ni mrwandaKwa hiyo wewe ni mkongo ndio maana hauna uchungu na rasilimali za Tanzania?
Kutumika kivip mkuu hii ni mada ni kwa maslahi ya taifa kwa hiyo natumika na taifa huenda ukawa sahihiUtakuwa unatumika wewe si bure
Acha fikra potofu mimi ni mtetezi wa hifadhi kwa hiyo lazima niitishe maandamanoTafuta acha kutumika kijinga
Pumbavu. Aliyekwambia wamasai wanaishi ngorongoro kinyume na sheria ni naniHiyo unayoleta ni mada nyingine sheria ilishatenga ngorongoro kuwa hifadhi ya wanyama na pia imetenga maeneo mengine kwa matumizi ya binadamu. Naomba uniunge mkono tunusuru hifadhi yetu.
Maandamano tunayafanyia wapi mkuu?Rasmi naomba kutoa kusudio langu la kuitisha maandamano makubwa ya kunusuru hifadhi ya taifa ya Ngorongoro.
Nimeanza mchakato wa kuomba kibali polisi na mamlaka zingine husika ili kuitisha maandamano makubwa yatakayofanyika hivi karibuni ili kuishinikiza serikali iwaondoe binadamu wote waliomo ndani ya hifadhi ya taifa ya Ngorongoro kwani ni dhahiri wakiachwa humo hifadhi hiyo itakufa. Nimefikia uamuzi huo baada ya kuona licha ya nguvu zoote ilizonazo Serikali lakini inasita kuzitumia kuwatoa hao jamaa.
Kama Serikali imeweza kuwatoa machinga waliokuwa wamezagaa kwenye miji yote nchini, kama serikali iliweza kuvunja makazi ya watu pale kimara Mbezi naamini hata hawa waliomo ndani ya hifadhi wataondolewa na hakutatokea madhara yoyote zaidi sana tutainusuru hifadhi yetu kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Naomba watanzania wote wenye uzalendo na nchi hii mniunge mkono pindi nikikamlisha maandalizi yote muhimu ya maandamano hayo.
Ngoja nafukuzia vibali nikikamlisha nitaweka wazi tarehe ya maandamano muda na mahali yatakapofanyika vuta subira kidogo nimefikia hatua nzuriMaandamano tunayafanyia wapi mkuu?
Hakuna upumbavu wowote ile hifadhi ya ngorongoro lazima tuwaachie wanyamapori pekeePumbavu. Aliyekwambia wamasai wanaishi ngorongoro kinyume na sheria ni nani
Kabila hiliwezi kufa kwa kukiondoa mtu hifadhini ni muhimu tuandamane kuiambia serikali HILI jambo sio la kulifanyia mzahakwahiyo wahadzabe na wamasai waondolewe ili kabira lao life??