Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vya ajabu SanaMange kumtaka Konk Master kueleza chanzo cha bifu lake na Dudubaya kililkua ni kipi....!! Kumbe Konk master na Dudu ni watu wawil tofauti ?
Mze wake angekuwa mwema asingemlawiti mwanaye mpaka kumzalisha. Unatoa wapi maoni haya?
kama wanakufa si wataishainakera sana kila hatua inayochukuliwa na serikali upinzani kugeuza ni siasa.... Mambo Kama haya ilipaswa tuungane ila kunaupande u mean a kusema sijui kampeni mara nini..... Honestly nasupport harakati hii na nasupport hatua ya konki dudubaya maana kuna jamaa etu amefariki mwezi wa pili sababu ya huu mchezo wa kijinga
Jf ndio mahali pekee utaona utupu wa akili ya Mtanzania, babake kaingia je hapa?Simkubali kabisa Mange Kimambi lakin tuwe Na Staha Na Hayati Mzee wake Alikuwa Mtu Mwema Sana Na Hata Kama angekuwa si Mwema si busara kumdhalilisha Kwa mapungufu ya Mtu Mwingine
mara nyingine tuwage na hofu ya Mungu kuliko kuongea usiyokuwa na uhakika mkuuMze wake angekuwa mwema asingemlawiti mwanaye mpaka kumzalisha. Unatoa wapi maoni haya?
Ni ushauri tu sina Mamlaka ya kukulazimsha
Heshimu Marehemu ili nawe upate kuheshimiwa Siku ukiwa ndani ya Ardhi Kama Marehemu
Inawezekana Kwa kutumia kwako username bandia unajihisi kuandika chochote lakin tambua Muumba mbingu Na Ardhi anakuona Na atakuuliza Kwa unacho zusha bila ya Kuwa Na uhakika nacho
????Kulawiti kunazalisha??
Tanzania pekeeYeye kaibeba hiyo tuhuma Kama ilivyo Hana Muda wa kutafakari wala kujiuliza
daah mtumishi umeenda mbali sana, samehe hao vijana wadogo bado hawajaanza kuchanganua mambo, wakikua watalifaa taifaHii inaonesha jinsi JPM anavyo pata taabu kuiongoza nchi hii. Watu ka nyiye mlitakiwa mchinjwe hadharani mpikiwe mbwa wale tu. Unawezaje mtu kumtukana marehemu asoweza kujibu?? Mtukane Mange Kimambi, sawa kwa kuwa anaweza kukujibu ila ukimtukana marehemu babake inaonekana labda ulipatikana kwenye mbio za mwenge tu.
Aliumwa au walimpiga pumbu mpk akafariki mkuu.inakera sana kila hatua inayochukuliwa na serikali upinzani kugeuza ni siasa.... Mambo Kama haya ilipaswa tuungane ila kunaupande u mean a kusema sijui kampeni mara nini..... Honestly nasupport harakati hii na nasupport hatua ya konki dudubaya maana kuna jamaa etu amefariki mwezi wa pili sababu ya huu mchezo wa kijinga
Mkuu alioza kabisa yan hadi mwili ukagoma kufunction vizuri yan miguu ikawa haina ushirikianoAliumwa au walimpiga pumbu mpk akafariki mkuu.
Daah aisee inatisha mkuu.Mkuu alioza kabisa yan hadi mwili ukagoma kufunction vizuri yan miguu ikawa haina ushirikiano
Mamba ameanza kula watuKonk konk konk master, oil chafu, mapafu ya mbawa, kapafona dudu baya mamba
Dudubaya siyo level ya Mange jamani.Msimpe hadhi bure huyo mhuni tu aliyepigana hadharani mbele ya dunia yote ikiona.Anayemtukuza namshangaa sana.Mtu mwimbaji,hatoi nyimbo tucheze,badala yake anaibukia kutaja mashoga.Watu mnacheza ........Aman iwe juu yenu
Jambo limezua mambo, mdogo mdogo had yamefika ulaya
Jionee mwenyewe maandamano makubwa ya kutisha America na ulaya juu ya konk master.
Wakati huo huo konk master amemlipua mwanadada mange kimambi na kudai kuwa hashangai akimuoana akitetea mashoga maana hata watoto wake mange kimambi wanasoma katika shule ya mashoga hayo yametokea baada ya mange kumtaka konk master aeleze chanzo cha bifu lake na dudubaya kilikuwa ni kipi. Konk master amemtaja mwanadada huyo kama MANGE KIMAVI.
Ni Mimi member Wa CHAKUMA . chama cha kutokomeza machoko
View attachment 921393
Hakuna kitu kama hicho,lazima kuna maelezo ya hicho kifo labda saratani n.k.Tupige vita kadhia hiyo si kwa kueneza uwongo bali kwa kufundisha na kuelimisha kwa taarifa sahihi.Daah aisee inatisha mkuu.
Kwa hio unabisha au?Hakuna kitu kama hicho,lazima kuna maelezo ya hicho kifo labda saratani n.k.Tupige vita kadhia hiyo si kwa kueneza uwongo bali kwa kufundisha na kuelimisha kwa taarifa sahihi.
Hakuna dudu zuri likishaitwa Dudu basi ni Baya tuDUDU ZURI
sogea huku queensAcha bangi mleta uzi hakuna kitu kama huku manhattan
Nitasogea mkuu ngoja nifike cliffside park kwanzasogea huku queens