Maandamano mapya tena tarehe 16 mwezi wa 7 huko Kenya

Maandamano mapya tena tarehe 16 mwezi wa 7 huko Kenya

Ruto kumshinikiza atoke madarakani ni kosa kubwa sana baadhi ya wananchi wa Kenya wanafanya na itawagharimu sana, sababu hao vijana wanatumika na wanasiasa wa upinzani, kama ni Finance bill katoa, kama ni Baraza la Mawaziri kavunja, hao vijana sasa ni wapuuzi na wanastahili adhabu kali sanaa..!!

Ruto asikubali vijana wahuni watumike na wanasiasa wapinzani wake, yaani hao vijana wana bahati sana, ingekuwa Tz tunawachukua wote, watakaa magereza kwa kesi ya uhaini na watalima mashamba ya magereza zetu na chakula kitauzwa hadi nje ya nchi..!!
Kama wewe si raia wa Kenya kausha dingii, wacha wenye nchi yao wafanye vile wanaona ni sawa.

Kwenu bongo tu panawashinda kwa uoga wololoyayeee!!!

Hallelujah!!!
 
William Rutto hawezi kutawala Kenya. Yeye ndiye mlengwa hata kama angefuta civil service yote, asipotoka yeye GEN Z hawawezi kupoa.

Na the more anazidi kubaki madarakani na ku resist ndivyo anavyotengeneza jinai zingine zitakazo mgharimu akitoka.

Jacob Juma (RIP), mshirika mwenzie kwenue YK92 alitabiri hayaView attachment 3042206
Waafrika ni mipumbavu na mimbumbumbu ya mwisho kabisa..... Badala mshurikiane na ruto kazi ziende uchumi upae... Ukutwa kutaka kufurahisha wazungu.... Hizo akili za kishoga kabisa!!
 
Ruto kumshinikiza atoke madarakani ni kosa kubwa sana baadhi ya wananchi wa Kenya wanafanya na itawagharimu sana, sababu hao vijana wanatumika na wanasiasa wa upinzani, kama ni Finance bill katoa, kama ni Baraza la Mawaziri kavunja, hao vijana sasa ni wapuuzi na wanastahili adhabu kali sanaa..!!

Ruto asikubali vijana wahuni watumike na wanasiasa wapinzani wake, yaani hao vijana wana bahati sana, ingekuwa Tz tunawachukua wote, watakaa magereza kwa kesi ya uhaini na watalima mashamba ya magereza zetu na chakula kitauzwa hadi nje ya nchi..!!
weeee sema suuu! jitokeze hadharani uyaseme haya
 
Muda wowote kutokea sasa,yaliyotokea libya yanakwenda kuonekana Kenya.
Mwanzoni niliwasifu kwamba wanahitaji kusikilizwa kuhusu muswada kandamizi,lakini kumbe wana ajenda fiche,kumtoa kabisa madarakani.

Huwenda kwa nia njema akatoka,ila je"Kenya inayohitajika iko karibu"au ndio utakuwa muendelezo wa maandamano???

Mungu awasimamie.
 
Ruto kumshinikiza atoke madarakani ni kosa kubwa sana baadhi ya wananchi wa Kenya wanafanya na itawagharimu sana, sababu hao vijana wanatumika na wanasiasa wa upinzani, kama ni Finance bill katoa, kama ni Baraza la Mawaziri kavunja, hao vijana sasa ni wapuuzi na wanastahili adhabu kali sanaa..!!

Ruto asikubali vijana wahuni watumike na wanasiasa wapinzani wake, yaani hao vijana wana bahati sana, ingekuwa Tz tunawachukua wote, watakaa magereza kwa kesi ya uhaini na watalima mashamba ya magereza zetu na chakula kitauzwa hadi nje ya nchi..!! Nyoko sana Gen-Z..!![emoji35][emoji35]
Ingeakua kwetu isingetokea
 
Ruto kumshinikiza atoke madarakani ni kosa kubwa sana baadhi ya wananchi wa Kenya wanafanya na itawagharimu sana, sababu hao vijana wanatumika na wanasiasa wa upinzani, kama ni Finance bill katoa, kama ni Baraza la Mawaziri kavunja, hao vijana sasa ni wapuuzi na wanastahili adhabu kali sanaa..!!

Ruto asikubali vijana wahuni watumike na wanasiasa wapinzani wake, yaani hao vijana wana bahati sana, ingekuwa Tz tunawachukua wote, watakaa magereza kwa kesi ya uhaini na watalima mashamba ya magereza zetu na chakula kitauzwa hadi nje ya nchi..!! Nyoko sana Gen-Z..!!😡😡
Acha uchawa wewe!!!
 
Ruto kumshinikiza atoke madarakani ni kosa kubwa sana baadhi ya wananchi wa Kenya wanafanya na itawagharimu sana, sababu hao vijana wanatumika na wanasiasa wa upinzani, kama ni Finance bill katoa, kama ni Baraza la Mawaziri kavunja, hao vijana sasa ni wapuuzi na wanastahili adhabu kali sanaa..!!

Ruto asikubali vijana wahuni watumike na wanasiasa wapinzani wake, yaani hao vijana wana bahati sana, ingekuwa Tz tunawachukua wote, watakaa magereza kwa kesi ya uhaini na watalima mashamba ya magereza zetu na chakula kitauzwa hadi nje ya nchi..!! Nyoko sana Gen-Z..!!😡😡
Hao vijana ni wapumbavu tu. Ruto jawezi akatoka madarakani kwa mashinikizo yao. Kama Ruto akiondoka madarakani atasababisha anarchy, ni moja kwa moja Kenya inaenda kuwa failed state, sababu kila atakayekuja upande mwingine utamkataa kwa style hiyohiyo.
Na siyo kwamba Ruti hana watu, ila wametulia wanasubiri the right time ili wasije kulaumiwa, and as of sasa hao waandamanaji wameshagawanyika sana.
Huu mchezo unachezwa na akina Odinga, ndiyo maana ghafla tu Kenyatta kajitenga nao na kipindi hiki wala hasikiki, ila wenye project yao ndiyo wanadikika.
 
Dah, pamoja na yote yanayomtokea, HE Ruto is just a good leader.
Wakenya watamkumbuka baada ya yeye kuondoka kama ambavyo baadhi wanavyomkumbuka Hayati JPM.
 
Back
Top Bottom