Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Ya wakenya tuwaachie waKenya.
Wao ndio wanaoijua Kenya kuliko sisi.
Ujinga na uoga wetu tubaki nao wenyewe, wao wameweka wazi, wanaitafuta revolution ya kweli na hawahitaji wanasiasa.
Wao ndio wanaoijua Kenya kuliko sisi.
Ujinga na uoga wetu tubaki nao wenyewe, wao wameweka wazi, wanaitafuta revolution ya kweli na hawahitaji wanasiasa.