Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 314
Wakazi wa mji wa Migori ulioko kaunti ya Migori wamefunga barabara ya kuelekea mpaka wa Kenya na Tanzania - ISEBANIA.
Barabara hio pia hutumika na wasafiri wanaoelekea mji wa Kisii.
Migori ni Moja kati ya kaunti zilizoko Kanda ya Ziwa na ni ngome Kuu ya Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga.
Barabara hio pia hutumika na wasafiri wanaoelekea mji wa Kisii.
Migori ni Moja kati ya kaunti zilizoko Kanda ya Ziwa na ni ngome Kuu ya Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga.