Kila cku maandamano keshoooooooooo.................. uwiiiiiii
jidanganyeni! Mwaka jana kuna watu waliandamana mpaka wakaota vigimbi
Kasugugu historia ysko ina2funfidha uoga! Nyamaza, pointsvza msingi huna!
Mi ckwmba ctak kuandamana ila nmeamua tu kpga chin niendelea na ishu zngu hk stree, kwaan hiyo ndyo njia pekee yaktokea?
Mnapoteza muda. Kuandamana there will be no solution to your problems bora mtulie zenu tu nakutafuta njia mbadala ya kusoma bila mkopo.
Yaaaaani ww.....poteza mda sana coz foolish age inakusumbuaaa ungekuwa umekua usinge hangaikia uppuzi huo alihali ukijua hakuna kitakacho badirika na hata kikibadirika,ni kwa wengine ambao hata hawakuandamana acha kufikiria kwa kutumiaaw kirobaaaa......maana na bear zingine zitakuunga mkono acha kupoteza mda wako ww....ila anyway ndo umri wakooooo zunguka bongo nzima kuandamana hadi vigimbi vkutoke utaishia kunawa kula wale wengineee
Ndugu punguzeni matusi katika kuchangia hoja, cha msingi ata sisi tuliopata mkopo inabidi tuungane na wenzetu kuwashauri na kuwaunga mkono sio kuwakatisha tamaa, ni hayo tu jamani, mimi niko pamoja na nyie ndugu zangu na nawaombea kwa mungu mtafanikiwa tu. ahsanteni
Ndugu punguzeni matusi katika kuchangia hoja, cha msingi ata sisi tuliopata mkopo inabidi tuungane na wenzetu kuwashauri na kuwaunga mkono sio kuwakatisha tamaa, ni hayo tu jamani, mimi niko pamoja na nyie ndugu zangu na nawaombea kwa mungu mtafanikiwa tu. ahsanteni
dah mwanangu wote wangekuwa na akili ka yako tanzania ii 2ngefanikiwa xana.ila kuna wa2 ka hyu daniel nyagawa{danya} kupata kwake boom kumekuwa kero kwa waliokosa utadhan kapata peke ake.yeye ni mwendo kejel 2 kwa waliokosa.jaman tuliopata tuungane kuwaombea waliokosa co kuwakejel.