Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
mi naona, ifikie hatua watu wa diploma watumbie tu ukweli kwamba haturusiw kupewa mikopo ili tuwe tunatambua mapema kuliko kutoa ruhusa tutume maombi ambayo yanakusanya mamillion ya mapesa then hata 0% hupata for me, huu ni wiz uliowaz & npo pa1 kuwaunga wenzangu kwenye maandamano....!
Mimi pia Diploma aisee kifupi weeeengi tumekosa, hawa bodi wamefanya uhuni kabisaaaa. Kesho hadi kieleweke.