Pre GE2025 Maandamano ya CHADEMA: Mbona Jeshi la Polisi halijajibu maswali ya msingi waliiyoulizwa na CHADEMA, badala yake wanaendeleza vitisho vyao?

Pre GE2025 Maandamano ya CHADEMA: Mbona Jeshi la Polisi halijajibu maswali ya msingi waliiyoulizwa na CHADEMA, badala yake wanaendeleza vitisho vyao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jeshi la polisi linalinda ccm na viongozi wake nyie raia mnatakiwa kutishwa na kulazimishwa kuipenda ccm.
Absolutely true 👋👋

Hii nchi, badala ya Jeshi la Polisi kuwalinda raia na Mali zao, kama ulivyo wajibu namba Moja ya utendaji wao, wao wajibu namba Moja ni kuwalinda watawala Ili Kwa njia yoyote Ile, wasiweze kuondoka madarakani!😎
 
Back
Top Bottom