Maandamano ya CHADEMA yameshakufa kabla ya siku yake kufika

Maandamano ya CHADEMA yameshakufa kabla ya siku yake kufika

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa.

Pamoja na hivyo Chadema kutaka kukitumia kifo cha Ali Kibao kama gia ya kupindua nchi hakujawahamasisha watu wengi.

Tangu mwenyekiti wa chama hicho atoe tamko lake la dharau kwa raisi ukipita mitaani huoni hiyo hamasa ya kushiriki maandamano yenye bango alilotangaza.

Chadema ikipenda kupata vuguvugu la watu kuandamana wasubiri tukio jengine la kuwavuta watu wengi na kwa hoja madhubuti.

Kwa hili la safari hii badala ya kuungwa mkono wanaweza wakakuta wananchi wanasaidiana kuwarushia madongo watakaoingia barabarani pamoja na kuwazomea.

Nahofia tamko la mwenyekiti litakivunjia hadhi chama chake kuliko safari yoyote iliyopita huko nyuma na sijui kulikuwa na kikao cha maamuzi au ilimtoka tu akiwa jukwaani.
 
Kwani wakiandamana bila kumpiga mtu au kumuibia mtu kuna shida gani? Acheni hofu waacheni waandamane
 
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa.

Pamoja na hivyo Chadema kutaka kukitumia kifo cha Ali Kibao kama gia ya kupindua nchi hakujawahamasisha watu wengi.

Tangu mwenyekiti wa chama hicho atoe tamko lake la dharau kwa raisi ukipita mitaani huoni hiyo hamasa ya kushiriki maandamano yenye bango alilotangaza.

Chadema ikipenda kupata vuguvugu la watu kuandamana wasubiri tukio jengine la kuwavuta watu wengi na kwa hoja madhubuti.

Kwa hili la safari hii badala ya kuungwa mkono wanaweza wakakuta wananchi wanasaidiana kuwarushia madongo watakaoingia barabarani pamoja na kuwazomea.

Nahofia tamko la mwenyekiti litakivunjia hadhi chama chake kuliko safari yoyote iliyopita huko nyuma na sijui kulikuwa na kikao cha maamuzi au ilimtoka tu akiwa jukwaani.
Waliona mara ya kwanza wamekosa attention Kwa Umma Sasa wameamua kutumia njia za vurugu kulazimisha attention.

Basi waioate attention Kwa gharama kubwa Ili wakome, yaani watuletee vurugu kisa mambo Yao ya siasa ? Haikubaliki
 
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa.

Pamoja na hivyo Chadema kutaka kukitumia kifo cha Ali Kibao kama gia ya kupindua nchi hakujawahamasisha watu wengi.

Tangu mwenyekiti wa chama hicho atoe tamko lake la dharau kwa raisi ukipita mitaani huoni hiyo hamasa ya kushiriki maandamano yenye bango alilotangaza.

Chadema ikipenda kupata vuguvugu la watu kuandamana wasubiri tukio jengine la kuwavuta watu wengi na kwa hoja madhubuti.

Kwa hili la safari hii badala ya kuungwa mkono wanaweza wakakuta wananchi wanasaidiana kuwarushia madongo watakaoingia barabarani pamoja na kuwazomea.

Nahofia tamko la mwenyekiti litakivunjia hadhi chama chake kuliko safari yoyote iliyopita huko nyuma na sijui kulikuwa na kikao cha maamuzi au ilimtoka tu akiwa jukwaani.
Mshauri wa chadema hua anawaingiza kingi kijinga sana. Sasa kwenye maandamano yao wataanza kuvutana na polisi na watatola kwenye hoja ya msingi. Na polisi wanaqasubiria paleeeee.
 
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa.

Pamoja na hivyo Chadema kutaka kukitumia kifo cha Ali Kibao kama gia ya kupindua nchi hakujawahamasisha watu wengi.

Tangu mwenyekiti wa chama hicho atoe tamko lake la dharau kwa raisi ukipita mitaani huoni hiyo hamasa ya kushiriki maandamano yenye bango alilotangaza.

Chadema ikipenda kupata vuguvugu la watu kuandamana wasubiri tukio jengine la kuwavuta watu wengi na kwa hoja madhubuti.

Kwa hili la safari hii badala ya kuungwa mkono wanaweza wakakuta wananchi wanasaidiana kuwarushia madongo watakaoingia barabarani pamoja na kuwazomea.

Nahofia tamko la mwenyekiti litakivunjia hadhi chama chake kuliko safari yoyote iliyopita huko nyuma na sijui kulikuwa na kikao cha maamuzi au ilimtoka tu akiwa jukwaani.
kutoa matamko mazito kwa kuchochewa na kutumia vinywaji vya kusisimua akili na kuongeza shauku, ujasiri na kuondoa hofu matatizo yake ndio haya sasa,

bilashaka sasa hata yeye huyo mwenyekiti mbowe, hata yeye mwenyewe anashangaa hivi kweli ni yeye alitangaza hivyo? 🐒
 
kutoa matamko mazito kwa kuchochewa na kutumia vinywaji vya kusisimua akili na kuongeza shauku, ujasiri na kuondoa hofu matatizo yake ndio haya sasa,

bilashaka sasa hata yeye huyo mwenyekiti mbowe, hata yeye mwenyewe anashangaa hivi kweli ni yeye alitangaza hivyo? 🐒
Mbowe nilikuwa namuamini sana kwenye siasa.Naona kama sasa tumeishiwa na wapinzani wa maana nchini.
 
Mbowe nilikuwa namuamini sana kwenye siasa.Naona kama sasa tumeishiwa na wapinzani wa maana nchini.
siku zote ukizungukwa na watu wenye akili sana, na wewe kama kiongozi ni Lazima ufanye kila uwezavyo uwe na akili zaidi ya walio chini yako, japo wakati mwingine ndio wanakua washauri wako...

kuondokaga kwa zito kabwe, mwigamba, kitila mkumbo, mashinji, Dr slaa, msigwa n.k kumemfanya mbowe asifanye jitihada zozote za kumfanya awe bora zaidi,

kwamfano,
myika, mrema , Jacob na wengine pale chadema ni watu laini sana na hawana chochote cha kumtisha Mbowe au kumfanya afanye jitihada za kua bora zaidi 🐒
 
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa.

Pamoja na hivyo Chadema kutaka kukitumia kifo cha Ali Kibao kama gia ya kupindua nchi hakujawahamasisha watu wengi.

Tangu mwenyekiti wa chama hicho atoe tamko lake la dharau kwa raisi ukipita mitaani huoni hiyo hamasa ya kushiriki maandamano yenye bango alilotangaza.

Chadema ikipenda kupata vuguvugu la watu kuandamana wasubiri tukio jengine la kuwavuta watu wengi na kwa hoja madhubuti.

Kwa hili la safari hii badala ya kuungwa mkono wanaweza wakakuta wananchi wanasaidiana kuwarushia madongo watakaoingia barabarani pamoja na kuwazomea.

Nahofia tamko la mwenyekiti litakivunjia hadhi chama chake kuliko safari yoyote iliyopita huko nyuma na sijui kulikuwa na kikao cha maamuzi au ilimtoka tu akiwa jukwaani.
20240912_102436.jpg
 
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa...

..Chadema wamesema wanataka vijana wao waliotekwa na Polisi wapatikane wakiwa hai au wamekufa isivuke tarehe 21 Septemba.

..Sasa tuwahimize Polisi wawarudishe vijana wa Chadema ili chama chao kisilazimike kuitisha maandamano tarehe 23 Septemba.

..Nadhani zuia la maandamano lilipaswa kusubiri tarehe 21 tuone ikiwa vijana wamerejeshwa au la.
 
Maandamano ya AMANI yako palepale au hauna habari.
Wauaji mbona mnahangaika sana? Mnadhami hizi kelele zenu zitawasaidia?

Mliishateka na kuua watu, subirinini mshahara wenu kwa ukimya.
 
Lissu ametoka kununua apartment mpya kabisa Ubeleji, sijui hela katoa wapi
 
  • Kicheko
Reactions: UCD
..Chadema wamesema wanataka vijana wao waliotekwa na Polisi wapatikane wakiwa hai au wamekufa isivuke tarehe 21 Septemba.

..Sasa tuwahimize Polisi wawarudishe vijana wa Chadema ili chama chao kisilazimike kuitisha maandamano tarehe 23 Septemba.

..Nadhani zuia la maandamano lilipaswa kusubiri tarehe 21 tuone ikiwa vijana wamerejeshwa au la.
Tatizo ni mtapata wapi watu wa kuingia road? 😂😂
 
..Chadema wamesema wanataka vijana wao waliotekwa na Polisi wapatikane wakiwa hai au wamekufa isivuke tarehe 21 Septemba.

..Sasa tuwahimize Polisi wawarudishe vijana wa Chadema ili chama chao kisilazimike kuitisha maandamano tarehe 23 Septemba.

..Nadhani zuia la maandamano lilipaswa kusubiri tarehe 21 tuone ikiwa vijana wamerejeshwa au la.
Haitasaidia,
 
Back
Top Bottom