Maandamano ya CHADEMA yameshakufa kabla ya siku yake kufika

Maandamano ya CHADEMA yameshakufa kabla ya siku yake kufika

Lissu ametoka kununua apartment mpya kabisa Ubeleji, sijui hela katoa wapi
Labda tulizomchangia ili anunue gari. Juzi kwenye mkutano wa Mwenyekiti Mbowe walimzomea sijui amewakosea nini tena Chadema!
 
..sasa Polisi kwanini wana'panic ikiwa maandamano hayatakuwa na watu?
20240616_064433.jpg



Haya maandamano yanazidi kuwachoresha kwamba hamna watu tena
 
Wauaji mbona mnahangaika sana? Mnadhami hizi kelele zenu zitawasaidia?

Mliishateka na kuua watu, subirinini mshahara wenu kwa ukimya.
Mkuu umeninukuu kimakosa au?!
 
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa.

Pamoja na hivyo Chadema kutaka kukitumia kifo cha Ali Kibao kama gia ya kupindua nchi hakujawahamasisha watu wengi.

Tangu mwenyekiti wa chama hicho atoe tamko lake la dharau kwa raisi ukipita mitaani huoni hiyo hamasa ya kushiriki maandamano yenye bango alilotangaza.

Chadema ikipenda kupata vuguvugu la watu kuandamana wasubiri tukio jengine la kuwavuta watu wengi na kwa hoja madhubuti.

Kwa hili la safari hii badala ya kuungwa mkono wanaweza wakakuta wananchi wanasaidiana kuwarushia madongo watakaoingia barabarani pamoja na kuwazomea.

Nahofia tamko la mwenyekiti litakivunjia hadhi chama chake kuliko safari yoyote iliyopita huko nyuma na sijui kulikuwa na kikao cha maamuzi au ilimtoka tu akiwa jukwaani.
Mbogamboga mwingine huyu hapa
 
Kwahiyo Mafele atatumwa aje aue Wananchi wanaoandamana?!
Kwenye mikutano yenye vibali vya polisi watu hawaonekani itakuwa maandamano ambayo wanaotakiwa waandamane wala hawajaelewa kwa sababu gani ?
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Kwenye mikutano yenye vibali vya polisi watu hawaonekani itakuwa maandamano ambayo wanaotakiwa waandamane wala hawajaelewa kwa sababu gani ?
Au una matatizo ya upofu?! Mbona tuliandamana kwa wingi.
 
.aandamaninyako pale pale. Mimi pamoja na ndugu wa mleta mada tumejipanga vilivyo kushiriki haya maandamano.
 
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa.

Pamoja na hivyo Chadema kutaka kukitumia kifo cha Ali Kibao kama gia ya kupindua nchi hakujawahamasisha watu wengi.

Tangu mwenyekiti wa chama hicho atoe tamko lake la dharau kwa raisi ukipita mitaani huoni hiyo hamasa ya kushiriki maandamano yenye bango alilotangaza.

Chadema ikipenda kupata vuguvugu la watu kuandamana wasubiri tukio jengine la kuwavuta watu wengi na kwa hoja madhubuti.

Kwa hili la safari hii badala ya kuungwa mkono wanaweza wakakuta wananchi wanasaidiana kuwarushia madongo watakaoingia barabarani pamoja na kuwazomea.

Nahofia tamko la mwenyekiti litakivunjia hadhi chama chake kuliko safari yoyote iliyopita huko nyuma na sijui kulikuwa na kikao cha maamuzi au ilimtoka tu akiwa jukwaani.
Wewe utakuwa mmoja kati ya mazuzu wengi nchi hii.
 
View attachment 3095175


Haya maandamano yanazidi kuwachoresha kwamba hamna watu tena

..Mjumbe wa Kamati Kuu ameuwawa na Polisi.

..Viongozi wa vijana wanne wametekwa haijulikani walipo.

..Kweli unategemea Chadema wawe business as usual?

..Hata kama Chadema haina watu, lakini ktk hili wana haki zote za kuandamana.
 
Jambo lolote ukitaka kulifanya basi lifanye kwa sababu madhubuti na ikiwezekana pima nguvu itakayokuunga mkono.

Watanzania wote wanaumizwa na vifo vya wenzao na hasa vikiwa vya kutekwa.

Pamoja na hivyo Chadema kutaka kukitumia kifo cha Ali Kibao kama gia ya kupindua nchi hakujawahamasisha watu wengi.

Tangu mwenyekiti wa chama hicho atoe tamko lake la dharau kwa raisi ukipita mitaani huoni hiyo hamasa ya kushiriki maandamano yenye bango alilotangaza.

Chadema ikipenda kupata vuguvugu la watu kuandamana wasubiri tukio jengine la kuwavuta watu wengi na kwa hoja madhubuti.

Kwa hili la safari hii badala ya kuungwa mkono wanaweza wakakuta wananchi wanasaidiana kuwarushia madongo watakaoingia barabarani pamoja na kuwazomea.

Nahofia tamko la mwenyekiti litakivunjia hadhi chama chake kuliko safari yoyote iliyopita huko nyuma na sijui kulikuwa na kikao cha maamuzi au ilimtoka tu akiwa jukwaani.

Kama unapenda nchi fanya jitihada na kusaidia wapatikane waliotekwa wote na sio uchawa. Mchimbi ameona hilo na Mama ameona hilo lakini machawa ni wajinga jinga hata hawajui nchi inaendaje. Naomba ujitambue na weke akili kidogo wewe sio mjinga hivyo
 
Papale baada ya kuzika mzee kibao ndo walitakiwa waanzie maandamano kwa kustukiza but k Chadema bado sana
 
CHADEMA hakina viongozi, mwenyekiti na katibu wote form six leavers. Wanaropoka kihuni tu. Tundu Lissu anajitahidi sana kuonesha namna sahihibya kuendesha chama lakini vizingiti vya mwenyekiti ni vizito sana. Hivyo sana hawa watu.
 
CHADEMA hakina viongozi, mwenyekiti na katibu wote form six leavers. Wanaropoka kihuni tu. Tundu Lissu anajitahidi sana kuonesha namna sahihibya kuendesha chama lakini vizingiti vya mwenyekiti ni vizito sana. Hivyo sana hawa watu.
Mbowe ili abaki na historia nzuri basi afanya kama Zitto Kabwe.
 
Back
Top Bottom