sonofobia JF-Expert Member Joined Jun 21, 2015 Posts 1,171 Reaction score 4,295 Sep 14, 2024 #41 JokaKuu said: ..Mjumbe wa Kamati Kuu ameuwawa na Polisi. ..Viongozi wa vijana wanne wametekwa haijulikani walipo. ..Kweli unategemea Chadema wawe business as usual? ..Hata kama Chadema haina watu, lakini ktk hili wana haki zote za kuandamana. Click to expand... Chadema washajichokea mmebaki wafia chama. Hakuna mtu wa kuacha shughuli zake akaandamane
JokaKuu said: ..Mjumbe wa Kamati Kuu ameuwawa na Polisi. ..Viongozi wa vijana wanne wametekwa haijulikani walipo. ..Kweli unategemea Chadema wawe business as usual? ..Hata kama Chadema haina watu, lakini ktk hili wana haki zote za kuandamana. Click to expand... Chadema washajichokea mmebaki wafia chama. Hakuna mtu wa kuacha shughuli zake akaandamane
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Sep 14, 2024 #42 Hii nchi huwa tunaandamana online
J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Sep 14, 2024 #43 sonofobia said: Chadema washajichokea mmebaki wafia chama. Hakuna mtu wa kuacha shughuli zake akaandamane Click to expand... ..basi Polisi wasiyapige marufuku. ..pia maandamano sio kwa ajili ya Chadema, ni kwa ajili ya Watz wanaotekwa na kuuwawa kiholela na vyombo vya dola. ..mimi nilitegemea Ccm wachukue dhamana ya kuwatetea wananchi, badala yake mmejikita kupambana na Chadema.
sonofobia said: Chadema washajichokea mmebaki wafia chama. Hakuna mtu wa kuacha shughuli zake akaandamane Click to expand... ..basi Polisi wasiyapige marufuku. ..pia maandamano sio kwa ajili ya Chadema, ni kwa ajili ya Watz wanaotekwa na kuuwawa kiholela na vyombo vya dola. ..mimi nilitegemea Ccm wachukue dhamana ya kuwatetea wananchi, badala yake mmejikita kupambana na Chadema.
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Sep 14, 2024 #44 Webabu akili yako ina walakini.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Sep 14, 2024 #45 Muda utaongea... Cc: Mahondaw
Webabu JF-Expert Member Joined Apr 29, 2010 Posts 8,870 Reaction score 14,258 Sep 20, 2024 Thread starter #46 Smart911 said: Muda utaongea... Cc: Mahondaw Click to expand... Ni keshokutwa