Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
MAANDAMANO YA KISIASA NDÎO HUOMBA KIBALI KWA POLISI. MAANDAMANO YA WANANCHI HAYAOMBAGI KIBALI KWA POLISI AU SERIKALI. BOSS HAOMBI KIBALI KWA MTUMISHI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Maandamano ya Kesho kutwa tarehe 23/09/2024 siô maandamano ya wananchi isipokuwa maandamano ya Kisiasa yaliyoratibiwa na CHADEMA.
Hayawezi kufanikiwa Kwa sababu yanahitaji mambo meñgi ya msingi ili yaweze kufanikiwa.
Jambo la Kwanza NI Agenda, agenda ya maandamano ni kutokomeza Mauaji na utekaji, lakini Suluhu ya maandamano hayo Kwa Mujibu wa CHADEMA ni kuangushwa Kwa Utawala wa Rais Samia Kwa kauli Mbiu "SAMIA MUST GO"
Agenda pekee haitoshi katika kufanikisha maandamano.
Kûna sababu ñyiñgine àmbayo ni UUNGWAJI MKONO NA WANANCHI.
Kipengele Hiki ndicho ambacho kitafelisha hayo maandamano.
CHADEMA ni Chama kilichosajiliwa na serikali. Hivyo kinafuata maelekezo na masharti ya serikali ikiwemo kuomba vibali vya shughuli Zake. Hiyo pekee inaweza Kutoa pîcha kuwa maandamano hayo hayatafanikiwa.
Maandamano ya Chadema yataungwa na makundi Fulani ya wananchi ikiwemo wanachadema wènyewe, waliolewa agenda ya Chadema lakini siô wanachadema na wale waliodhurika na matendo ya utekaji na mauaji.
Maandamano ya tarehe 23 yatakosa uungwaji mkono WA kundi kûbwa la Wana CCM na baadhi ya vyama vingine vya upinzani.
Hii itapunguza kiwango cha mafanikio.
Kupanga tarehe ya maandamano pia ni ishara ya kuyafelisha maandamano. Yàani tukio litokee Leo au màtukio yatokee Leo alafu tarehe ya maandamano ipangwe Wiki tatu zijazo. Ari, shauku na Hasira za Watu automatically zitapoa.
Maandamano ya Wananchi hayahitaji ruhusa ya Polisi, sijui usalama au serikali. Hayahitaji KIBALI
Wananchi wanapochoka na kutaka Jambo Fulani Hawana huo Muda wa kuomba ruhusa Kwa uongozi wowote àmbao waô wènyewe ndîo wameuweka.
Kikawaida maandamano ya Wananchi Polisi na serikali haiwezi kuyashinda na haijawahi kuyashinda. Kûna mambo MAWILI kwèñye maandamano ya Wananchi.
1. Serikali kutekeleza matakwa ya Wananchi ili maandamano yakome.
2. Serikali kukaza Buti Kisha Wananchi waiangushe serikali.
Hatua hii NI hatua ya juu zaidi àmbapo husababisha machafuko ndàni ya nchi hasa vita ya wènyewe Kwa wènyewe.
Nchi kupasuka na vipande vipande,
Nchi kutotawalika.
Makundi ya Waasi yanayoipinga serikali.
Yàani hatua hii huwa mbaya zaidi.
Mfano wa maandamano ya Wananchi NI kama maandamano ya Wananchi wa Ngorongoro(Wamasai wa Ngorongoro). Pale ilikuwa ni mambo MAWILI, serikali ikaidi Moto uwake iwezekana Wamasai wa Ngorongoro watafute namna ya kujitenga na kuunda Taífa Lao. Bahati nzuri NI jamii Moja, ndugu, lugha Moja hivyo kukabiliana nao NI Kazi Kwa sababu watapigana Kufa kupona.
Wananchi wanapounganishwa na tatizo Moja huwa tayari Kwa kukabiliana na yeyote Bila kujali Matokeo.
Hii NI kusema Sisi watañzania siô Ndugu ila Kisiasa NI ndugu. Yaani Sisi NI ndugu kimaslahi.
Ukitaka ujue watanzania siô Ndugu isipokuwa ndugu Kisiasa. Angalia matukio yanayotokea. Mtanzania anaweza kutekwa au kuuawa lakini watanzania Wengine wakakaa kimya na Wala wasione uchungu Kwa Kifo cha Mtanzania mwenzao.
Anatekwa wakwanza, wapili, Watatu, wanne, kimya. Hii NI kiashiria kikubwa kuwa Hakuna undugu Baina ya watañzania.
Lakini Jana Hapa nimeona Huko umasaini Watu wamezuia Barabara, wameandamana, Kisa na mkasa Watoto wawili wametekwa. Yàani wawili tuu wametosha kufungua maandamano.
Huko Simiyu nako Hali ilikuwa hivyohivyo. Wale ni ndugu.
Ikifika Wakati Wananchi wakajiona ndugu ndîo itakuwa mwisho wa dhulma, uonevu na ukandamizaji.
Nawatakia Sabato Njema.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Maandamano ya Kesho kutwa tarehe 23/09/2024 siô maandamano ya wananchi isipokuwa maandamano ya Kisiasa yaliyoratibiwa na CHADEMA.
Hayawezi kufanikiwa Kwa sababu yanahitaji mambo meñgi ya msingi ili yaweze kufanikiwa.
Jambo la Kwanza NI Agenda, agenda ya maandamano ni kutokomeza Mauaji na utekaji, lakini Suluhu ya maandamano hayo Kwa Mujibu wa CHADEMA ni kuangushwa Kwa Utawala wa Rais Samia Kwa kauli Mbiu "SAMIA MUST GO"
Agenda pekee haitoshi katika kufanikisha maandamano.
Kûna sababu ñyiñgine àmbayo ni UUNGWAJI MKONO NA WANANCHI.
Kipengele Hiki ndicho ambacho kitafelisha hayo maandamano.
CHADEMA ni Chama kilichosajiliwa na serikali. Hivyo kinafuata maelekezo na masharti ya serikali ikiwemo kuomba vibali vya shughuli Zake. Hiyo pekee inaweza Kutoa pîcha kuwa maandamano hayo hayatafanikiwa.
Maandamano ya Chadema yataungwa na makundi Fulani ya wananchi ikiwemo wanachadema wènyewe, waliolewa agenda ya Chadema lakini siô wanachadema na wale waliodhurika na matendo ya utekaji na mauaji.
Maandamano ya tarehe 23 yatakosa uungwaji mkono WA kundi kûbwa la Wana CCM na baadhi ya vyama vingine vya upinzani.
Hii itapunguza kiwango cha mafanikio.
Kupanga tarehe ya maandamano pia ni ishara ya kuyafelisha maandamano. Yàani tukio litokee Leo au màtukio yatokee Leo alafu tarehe ya maandamano ipangwe Wiki tatu zijazo. Ari, shauku na Hasira za Watu automatically zitapoa.
Maandamano ya Wananchi hayahitaji ruhusa ya Polisi, sijui usalama au serikali. Hayahitaji KIBALI
Wananchi wanapochoka na kutaka Jambo Fulani Hawana huo Muda wa kuomba ruhusa Kwa uongozi wowote àmbao waô wènyewe ndîo wameuweka.
Kikawaida maandamano ya Wananchi Polisi na serikali haiwezi kuyashinda na haijawahi kuyashinda. Kûna mambo MAWILI kwèñye maandamano ya Wananchi.
1. Serikali kutekeleza matakwa ya Wananchi ili maandamano yakome.
2. Serikali kukaza Buti Kisha Wananchi waiangushe serikali.
Hatua hii NI hatua ya juu zaidi àmbapo husababisha machafuko ndàni ya nchi hasa vita ya wènyewe Kwa wènyewe.
Nchi kupasuka na vipande vipande,
Nchi kutotawalika.
Makundi ya Waasi yanayoipinga serikali.
Yàani hatua hii huwa mbaya zaidi.
Mfano wa maandamano ya Wananchi NI kama maandamano ya Wananchi wa Ngorongoro(Wamasai wa Ngorongoro). Pale ilikuwa ni mambo MAWILI, serikali ikaidi Moto uwake iwezekana Wamasai wa Ngorongoro watafute namna ya kujitenga na kuunda Taífa Lao. Bahati nzuri NI jamii Moja, ndugu, lugha Moja hivyo kukabiliana nao NI Kazi Kwa sababu watapigana Kufa kupona.
Wananchi wanapounganishwa na tatizo Moja huwa tayari Kwa kukabiliana na yeyote Bila kujali Matokeo.
Hii NI kusema Sisi watañzania siô Ndugu ila Kisiasa NI ndugu. Yaani Sisi NI ndugu kimaslahi.
Ukitaka ujue watanzania siô Ndugu isipokuwa ndugu Kisiasa. Angalia matukio yanayotokea. Mtanzania anaweza kutekwa au kuuawa lakini watanzania Wengine wakakaa kimya na Wala wasione uchungu Kwa Kifo cha Mtanzania mwenzao.
Anatekwa wakwanza, wapili, Watatu, wanne, kimya. Hii NI kiashiria kikubwa kuwa Hakuna undugu Baina ya watañzania.
Lakini Jana Hapa nimeona Huko umasaini Watu wamezuia Barabara, wameandamana, Kisa na mkasa Watoto wawili wametekwa. Yàani wawili tuu wametosha kufungua maandamano.
Huko Simiyu nako Hali ilikuwa hivyohivyo. Wale ni ndugu.
Ikifika Wakati Wananchi wakajiona ndugu ndîo itakuwa mwisho wa dhulma, uonevu na ukandamizaji.
Nawatakia Sabato Njema.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam