karne hii kuendelea kuendekeza mila za kutawaliwa kifalme ni ujima!!!
ni haki yao kudai mabadiliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni haki yao kudai mabadiliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fasta wawarukie wale Malkia wake atarudi...Yanayojiri Eswatini
Viongozi wa maandamano ya umma ambayo yamedumu kwa siku 3 wametangaza kuwa Mfalme Mswati III ameikimbia nchi na sasa amejificha nchini Afrika Kusini. Waandamanaji wanataka mabadiliko ikiwemo kuruhusu siasa za vyama vingi, na wananchi kuchagua Waziri Mkuu.
Ulikuwa utawala wa hovyo kabisaFasta wawarukie wale Malkia wake atarudi...
Huyu bwege ametiana sanaKutokana na vurugu zinazoendelea huko Eswatini baada ya wananchi kuchoka umaskini na udikteta wa mfalme mswati aliye busy kuponda raha na vidosho inasemekana jamaa kaamua kukimbia nchi
![]()
King Mswati III of Eswatini. Image: Reuters
Thousands of people have taken to social media after reports that King Mswati III of Eswatini has fled the kingdom after pro-democracy protests turned into chaos.
There are unconfirmed reports that protesters went on the rampage and set fire to several shops in Matsapha.
Several people have also been injured during the protests.
Details are still sketchy.
King Mswati III of Eswatini has reportedly fled the country amid pro-democracy protests which turned choatic following the government’s ban on marches.
Pro-democracy protests had been taken place in eSwatini for several days now in at least 10 different places. Police had reportedly used teargas and live ammunition in an attempt to disperse protesters, leading to injuries.
The King rules the country as an absolute monarch and it is he who chooses the Prime Minister, ministers, judges and civil servants. The protesters have been calling for political reforms and wish to elect their own Prime Minister. Political parties have been banned in the country since 1973.
“We demand multi-party democracy now,” protester Melusi Dlamini told News24. “The time for the royal system characterised by dictatorship is over.”
The government’s ban on protests was instituted last Thursday with the National Police Commissioner giving out the warning that breaches of the ban would be met with zero tolerance.
King Mswati III has also been criticized for his lavish lifestyle and alleged human rights violations. He is a well-known polygamist with at least 15 wives and 23 children. He was selected to be the next King at the age of 14 and he was crowned King shortly after his 18th birthday in 1986.
Ndiyo tayari kimenuka. Huwezi kuwafanya watu wote ni mafala kwa muda wote.Hizo ni tetesi nimekaa Manzini miaka kadhaa. Watu wa Swaziland ni mafala kuliko hata watanzania. Jeshi na Polisi kote King Mswati kaweka familia yake ya Dlamini. Hakuna wa kumtoa wala kumtikisa. Subirini muone.
Ni njia yako mkuu hiyo ukiwa unaenda bondeni pitia huko uache ukoo😂😂😂😂🏃🏃🏃 au siku hizi huendagi bondeni??Dah blaza mwana kaacha vidosho wote kakimbia.. Hebu tufanye namna tukaokoe jahazi
Huyo atakuwa anaonja huyu tu chumvi kama imekolea ila walaji watakuwa ni wengine.Aisee si ndiye yule kila mwaka lazima ACHAGUE demu bikira?? 🤣
Alijifanya kijogoo wa dunia.