Maandamano ya kudai katiba mpya Eswatini yadaiwa kumfanya Mfalme Mswati III kukimbia nchi

Maandamano ya kudai katiba mpya Eswatini yadaiwa kumfanya Mfalme Mswati III kukimbia nchi

Maandamano ya kushinikiza katiba mpya nchini Eswatini huenda yamemlazimisha Mfalme Mswati kukimbia nchi ,kwa mujibu wa Shirika la utangazaji la Afrika Kusini SABC.

Licha ya Vikosi vya usalama vya Eswatini-zamani ikiitwa Swaziland kutumia nguvu kupambana na waandamanaji uharibifu bado unaendelea.

Maandamano haya kwa kiasi kikubwa yamefanywa na vijana na yalishika kasi mwishoni mwa juma lililopita, licha ya jitihada za serikali za kupiga marufuku maandamano.

Waandamanaji hao wamekuwa wakimtaka Mfalme Mswati atoe nafasi kama sehemu ya mageuzi ya kidemokrasia, pamoja na uchaguzi huru na wa haki.

Chanzo: BBC Swahili
 
Yanayojiri Eswatini
Viongozi wa maandamano ya umma ambayo yamedumu kwa siku 3 wametangaza kuwa Mfalme Mswati III ameikimbia nchi na sasa amejificha nchini Afrika Kusini. Waandamanaji wanataka mabadiliko ikiwemo kuruhusu siasa za vyama vingi, na wananchi kuchagua Waziri Mkuu.
 
Dah, ivi amefanikiwa kimbia na wake zake wote? ama mmoja tu alompenda?
 
Yanayojiri Eswatini
Viongozi wa maandamano ya umma ambayo yamedumu kwa siku 3 wametangaza kuwa Mfalme Mswati III ameikimbia nchi na sasa amejificha nchini Afrika Kusini. Waandamanaji wanataka mabadiliko ikiwemo kuruhusu siasa za vyama vingi, na wananchi kuchagua Waziri Mkuu.
 
Yanayojiri Eswatini
Viongozi wa maandamano ya umma ambayo yamedumu kwa siku 3 wametangaza kuwa Mfalme Mswati III ameikimbia nchi na sasa amejificha nchini Afrika Kusini. Waandamanaji wanataka mabadiliko ikiwemo kuruhusu siasa za vyama vingi, na wananchi kuchagua Waziri Mkuu.
Fasta wawarukie wale Malkia wake atarudi...
 
Kutokana na vurugu zinazoendelea huko Eswatini baada ya wananchi kuchoka umaskini na udikteta wa mfalme mswati aliye busy kuponda raha na vidosho inasemekana jamaa kaamua kukimbia nchi

king-swati-2.jpg

King Mswati III of Eswatini. Image: Reuters

Thousands of people have taken to social media after reports that King Mswati III of Eswatini has fled the kingdom after pro-democracy protests turned into chaos.

There are unconfirmed reports that protesters went on the rampage and set fire to several shops in Matsapha.
Several people have also been injured during the protests.

Details are still sketchy.


King Mswati III of Eswatini has reportedly fled the country amid pro-democracy protests which turned choatic following the government’s ban on marches.

Pro-democracy protests had been taken place in eSwatini for several days now in at least 10 different places. Police had reportedly used teargas and live ammunition in an attempt to disperse protesters, leading to injuries.

The King rules the country as an absolute monarch and it is he who chooses the Prime Minister, ministers, judges and civil servants. The protesters have been calling for political reforms and wish to elect their own Prime Minister. Political parties have been banned in the country since 1973.

“We demand multi-party democracy now,” protester Melusi Dlamini told News24. “The time for the royal system characterised by dictatorship is over.”

The government’s ban on protests was instituted last Thursday with the National Police Commissioner giving out the warning that breaches of the ban would be met with zero tolerance.

King Mswati III has also been criticized for his lavish lifestyle and alleged human rights violations. He is a well-known polygamist with at least 15 wives and 23 children. He was selected to be the next King at the age of 14 and he was crowned King shortly after his 18th birthday in 1986.
Huyu bwege ametiana sana
 
Safi sana, na hii ni habari njema Sana kwa wanamageuko duniani kote

Wauza siraha tunaombea mandamano yaongeze nguvu kiduchu tu kuelekea kwenye machafuko ili tujipatie faida na kupunguza mzigo kwenye maghala!

Kazi kwenu Waafrika maana mlishashindwa kujitawala,
 
Hizo ni tetesi nimekaa Manzini miaka kadhaa. Watu wa Swaziland ni mafala kuliko hata watanzania. Jeshi na Polisi kote King Mswati kaweka familia yake ya Dlamini. Hakuna wa kumtoa wala kumtikisa. Subirini muone.
 
Dah blaza mwana kaacha vidosho wote kakimbia.. Hebu tufanye namna tukaokoe jahazi
Ni njia yako mkuu hiyo ukiwa unaenda bondeni pitia huko uache ukoo😂😂😂😂🏃🏃🏃 au siku hizi huendagi bondeni??
 
mapinduzi sio lazima kwenye ballot box, wakizingua mnalianzisha.
 
Hivi tukimuashia moto Maza si kesho tu tutasikia yupo Unguja.

Yaani jamaa shababi kapigwa mkwara tena kwenye social media kakimbia nchi?? Huyu jamaa mzembe sana
 
Back
Top Bottom