Pre GE2025 Maandamano ya kumpongeza Mchungaji Peter Msigwa kuhamia CCM

Pre GE2025 Maandamano ya kumpongeza Mchungaji Peter Msigwa kuhamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wana Iringa wote nawakaribisha katika maandamano ya kumkaribisha Mheshimiwa Dr Mchungaji Peter Msigwa kurejea CCM.


TAREHE: 28 Julai 2024,
MUDA: Saa 12 asubuhi,
MAHALI: Uwanja wa Samora - ofisi Kuu ya Chama Mkoa.

Na wa Jambiani ,Chanjamjiwiri ,Wete ,Chake Chake nao waje? Au ni Micheweni tu?
 
Watapata wengi maana hapo watapewa buku 7 akili wanazitia mfukoni baada ya hapo wanakuja kutulilia humu kodi ya jengo imepandishwa na TANESCO.
 
Wana Iringa wote nawakaribisha katika maandamano ya kumkaribisha Mheshimiwa Dr Mchungaji Peter Msigwa kurejea CCM.


TAREHE: 28 Julai 2024,
MUDA: Saa 12 asubuhi,
MAHALI: Uwanja wa Samora - ofisi Kuu ya Chama Mkoa.

Wana haki ya kuonesha hisia zao.
 
Mmeshaandaa hela za kuhonga waandamanaji?
 
Kwa kweli hii nchi kuna mambo yanakatisha tamaa sana!hakuna watu niliokuwa na imani nao Kama Msigwa,kwa kweli nimeumia sana!any way njaa mbaya sana
 
Taka taka kama hizi zilitakiwa ziishie chooni tu. Mumpokee mtu wiki iliyopita tu alikuwa kwenye majukwaa Singida anawapaka kinyesi leo hii muandamane kumpokea. Kweli CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu. Msigwa ameshalipwa mamia ya mamilioni yake nyie mkapigwe na jua kumpokengeza.
Ama ni yale yale ya Dulli
 
wala sio burudani, mbowe angekuwa ameachia hiki chama kwa TUNDU LISU, wakafanya siasa zenye akili na sio za kulamba asali, kwanza vijana wake wengi wasingekimbia chadema, pili, angepata urais, tatu kama uraisi angekosa basi alikuwa anapata wabunge wengi sana mwakani hadi kutawala bunge lote au kuleta upinzani wa kueleweka. sasa tutarajie bunge kama hili la sasa kuwepo tena kwasababu tu mchaga mmoja kaamua kukumbatia kiti na kulamba asali peke yake. naamini walioko chadema wanashindwa tu kuongea au kwa kwenda ila ukweli amewachosha sana.
Wajinga kama nyie Bado mnaamini Yesu atarudi,huku dini wamewaletea wazungu Ili kuwapumbaza waafrika
 
Wajinga kama nyie Bado mnaamini Yesu atarudi,huku dini wamewaletea wazungu Ili kuwapumbaza waafrika
dini gani walituletea wazungu ndugu, wakati imani hii tuliyonayo ilikuwepo africa hata kabla ya ukoloni wa wazungu? usikaririshwe.
 
Taka taka kama hizi zilitakiwa ziishie chooni tu. Mumpokee mtu wiki iliyopita tu alikuwa kwenye majukwaa Singida anawapaka kinyesi leo hii muandamane kumpokea. Kweli CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu. Msigwa ameshalipwa mamia ya mamilioni yake nyie mkapigwe na jua kumpokengeza.
Nimeangalia zaidi ya mara nne ule mkutano wa NEC CCM ukiongozwa na mwenyekiti wao kumpokea Msigwa na yale mashangilio yao nimeishia kufikiria kuwa hawa pengine sio watu kama tunavyo Dhani sisi bali ni viumbe tofauti. Nimeeleweka?
 
Katika nchi yenye watu wajinga ni Tanzania. Na katika vyama vyenye watu wapumbavu basi ni CCM. Hivi mtu wiki iliyopita alikuwa anausema ubaya wa CCM kwa bidii zote, alikuwa anaapa kuwa CCM imeishiwa halafu baada ya siku mbili anasema CCM ni chama kizuri na kina uongozi mzuri. Hivi hata Samia haoni aibu kusifiwa kinafiki namna hii? Ana akili fupi namna gani? Walimshamsoma alivyo ndiyo maana walimkejeli kwa kusema baada ya Yesu na mtume Mohamed yeye ndiye wa tatu.
Mbona kama una hasira na mfadhaiko mkubwa mno mkuu, kwema?!!!!
 
Back
Top Bottom