Unashangaa?Duh aiseee
Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema...
UVCCM wanataka wapishane nayoKwani lazima upishane na maandamano katika barabara yanakopita huku unafahamu kabisa zipo barabara nyingi za kuyakwepa
Acha kujitoa ufahamu. Kwa hiyo yale maandamano ya muigizaji wenu Bashite yalikuwa hayaathiri hizo stahiki za watu!!Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Ifike mahala huu ujinga wa Chadema ukome.Kama hizi ndio Demokrasia ambazo Serikali inazihubiri basi ni upumbavu.Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Si mnajisifia hakuna watu? Sasa wanachelewa vipi ndege kama barabara ni nyeupe?Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Kma inauma chomoaIfike mahala huu ujinga wa Chadema ukome.Kama hizi ndio Demokrasia ambazo Serikali inazihubiri basi ni upumbavu.
Kama mnataka kuandamana ,andamaneni huko pembeni mwa Mji sio Kuzuia Barabara kuu Kwa visingizio vya kijinga.
Wanakoelekea watasema ni maandamano ya Nchi nzima
Maandamano yalifanyika kwa kushtukiza?Lawama zingine utadhani punguani.Masaa mawili kabla ya maandamano mlikuwa wapi mkashindwa kufanya kusudio lenu?Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Inauma Sana kuona mapunguani kadhaa wanatatuza kazi za watu eti wanaandama,baada ya kuandamana bei ya sukari imeshuka?Kma inauma chomoa
Huna akili wewe hujui kwamba hizo barabara hata hao wandamanaji walishiriki kuzijenga?Ifike mahala huu ujinga wa Chadema ukome.Kama hizi ndio Demokrasia ambazo Serikali inazihubiri basi ni upumbavu.
Kama mnataka kuandamana ,andamaneni huko pembeni mwa Mji sio Kuzuia Barabara kuu Kwa visingizio vya kijinga.
Wanakoelekea watasema ni maandamano ya Nchi nzima