ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Acha upumbavu,ukishiriki kujenga ndio una Haki ya Kuzuia wengine wasitumie.kisa wewe unaeandamana?Huna akili wewe hujui kwamba hizo barabara hata hao wandamanaji walishiriki kuzijenga?
Yule bashite alikuwa anapaa angani?
Mbona hata watoto walitoleqa shuleni na kwenda kwenye mikutano yake?
Umeme hakuna ni kwa ajili ya maandno?
Sukari imepandishwa na maandamano?
Hembu peleka uchawa wako mbele huko
Yule Joyce wowo/ bashite alikuwa anapaa angani? Mbona hamkutoka hadharani na kunenengu??? Kwani kunatofauti gani kati ya anayofanya makonda na hao chadema?Acha upumbavu,ukishiriki kujenga ndio una Haki ya Kuzuia wengine wasitumie.kisa wewe unaeandamana?
Ila Leo mmehangaika!! Tangu asubuhi mko kama Kuku anayetaga?Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Maandamano ya jana Mbeya yamewaamsha chawa na kunguni wote wa watawala utafikiri mumemwagiwa petroli,na bado Arusha na Tarime,hii mjue gari imeshachanganya ni mwendo mdundo hadi nyie slowlearners muelewe kuwa mnaunga mkono wakoloni weusi.Ifike mahala huu ujinga wa Chadema ukome.Kama hizi ndio Demokrasia ambazo Serikali inazihubiri basi ni upumbavu.
Kama mnataka kuandamana ,andamaneni huko pembeni mwa Mji sio Kuzuia Barabara kuu Kwa visingizio vya kijinga.
Wanakoelekea watasema ni maandamano ya Nchi nzima
Kwani mumeanza Leo kuandamana? Muwe mnaandamana huko Nje ya Mji sio kutatiza shughuli za watu.Maandamano ya jana Mbeya yamewaamsha chawa na kunguni wote wa watawala utafikiri mumemwagiwa petroli,na bado Arusha na Tarime,hii mjue gari imeshachanganya ni mwendo mdundo hadi nyie slowlearners muelewe kuwa mnaunga mkono wakoloni weusi.
Bi tukinao una account nyingi humu, nimeona umepost kwenye insta yako piacha ya kabla mkutano kuanza , unajishebedua.CHADEMA wanatudanganya sana leo Mbeya yamedoda
Akili, za, hivyo Sana, hizi,yaani,ni Bora upate ugari na kuku ukiwa, jera,kuliko kula ugari na maji ukiwa uraiani! Maandamano, hayajasababisha, maisha magumu! Maisha magumu yapo tangu 1960na ma CCM ndio yanasababisha, kwa, miaka 60,watu wamefsnywa mafukara! Badala, ya, kulaumu waliosababisha, umaskini kwa miaka 55+, unalaumu watu walioleta usumbufu kidogo wa saa kadhaa!Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Miaka yote hayo maandamano yalikuwepo mbona nchi imeshindwa kuzalisha hata umeme wa kutosha?! Tena umeme wa maji? Toka 1961 watu haohaoß si wanafanyaga kazi mbona nchi ni maskani hadi leo? Au huo umaskini unatokana na maandamano ya Mwanza?Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Chawa wa spika wewe Kwani hiyo ilikuwa kampeni?CHADEMA wanatudanganya sana leo Mbeya yamedoda
Unafikiri Senegal kuna wajinga kama wewe? Wameandamana mpaka rais kakubali uchaguziSiasa ni utumwa, anakuita uandamane akaunti yake benki ina mabilioni...
wewe hadi uchome mahindi ndio upate pesa ya kula...
Unaenda kuandamana unaacha kuingiza pesa, unakufa na njaa...
Haupo sawa kichwani ndugu mtoa mada.Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Pointless na zero brain kabisa...Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Hao nyumbu waandamane hata mwaka mzima hakuna kitu watabadilisha. Hao ni wazururaji km wazururaji wengine.Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Kwa hiyo mnaandama kutafuta umeme na sukari? Mabwege tu nyieHuna akili wewe hujui kwamba hizo barabara hata hao wandamanaji walishiriki kuzijenga?
Yule bashite alikuwa anapaa angani?
Mbona hata watoto walitoleqa shuleni na kwenda kwenye mikutano yake?
Umeme hakuna ni kwa ajili ya maandno?
Sukari imepandishwa na maandamano?
Hembu peleka uchawa wako mbele huko
Kufanya jambo kwa sababu fulani naye kafanya ni UJINGA20 Februari, 2024Hawa hawajazuia barabara nzima?
🌍KAMATI YA UTEKELEZAJI YASHIRIKI MATEMBEZI NA MAAFISA USAFIRISHAJI
Mwenyekiti UVCCM Taifa Ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC) pamoja na wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la UVCCM Taifa wamefanya matembezi ya amani na maafisa usafirishaji (Bajaji na Bodaboda) kutoka ofisi za CCM mkoa wa Manyara hadi Mahakama ya zamani ambapo kamati ya utekelezaji wamefungua shina la wakereketwa la Bodaboda.
Imetolewa na;
SASA WEWE MPUUZI, Hawa walikuwa wanaswali?
Hawa walikuwa wanaandamana Somali- Mogadishu?
Makonda anayefunga Barabara kwa muda mrefu kuliko Rais wa Nchi anafungaga Somalia?
Wewe ni CHAWA unakuja na koti la kipepea mtengeneza asali hujui hata kuandika usijulikane?
Wewe ni mpuuzi ambaye huenda upo gizani hakuna umeme, shemejiyo karudi hata sebuleni huwezi kukaa na hujanywa chai kwakuwa sukari hakuna lakini huoni umuhimu wa watu wanaojitolea kuikumbusha seriakli wewe ukiwa unakunywa uji japo kwa shemeji yako.
Wanadamana kudai katiba rais atokane na kura za kweli na nchi ipate baraka tuepukane na adhabu za Mungu wewe unataka mambo ya ukoloni yaendelee?
View attachment 2910321
View attachment 2910323
View attachment 2910325
Kwa hiyo mnaandamana kumuiga BASHITE?!Huna akili wewe hujui kwamba hizo barabara hata hao wandamanaji walishiriki kuzijenga?
Yule bashite alikuwa anapaa angani?
Mbona hata watoto walitoleqa shuleni na kwenda kwenye mikutano yake?
Umeme hakuna ni kwa ajili ya maandno?
Sukari imepandishwa na maandamano?
Hembu peleka uchawa wako mbele huko