Maandamano ya kupinga ugumu wa maisha yanapozuia watu kujipatia riziki na kufanya maisha kuwa magumu zaidi

Tungeanza kwanza kuondoa kadhia ya misafara mikubwa ya viongozi wa ccm/serikali pamoja na kuzuia kufunga ofisi za umma na shule za serikali kwa lazima ili tkwenda kuwapokea viongozi wa serikali/ccm
 
Tungeanza kwanza kuondoa kadhia ya misafara mikubwa ya viongozi wa ccm/serikali pamoja na kuzuia kufunga ofisi za umma na shule za serikali kwa lazima ili tkwenda kuwapokea viongozi wa serikali/ccm
Mmeshakosea sasa
 
Unafikiri Senegal kuna wajinga kama wewe? Wameandamana mpaka rais kakubali uchaguzi
Haya nyie wajanja endeleeni kuandamana, sisi wajinga tuendelee kuyaweka sawa maisha yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…