Uchaguzi 2020 Maandamano ya tarehe 2 Nov: Je, Ni Demokrasia au waliokosa wanapigania Maslahi Binafsi?

Huu upepo utapita tu, wengine tumesharudi kwenye hapakazi mode ila wengine bado wako kwenye political mode. Pole zenu sana.
 
mda huu watu 3 wamejeruhiwa vibaya baada ya kumwaga matunda Katika soko dogo hapa mtaa wa shunu, hadi sasa hali si rafki kwa wakaazi wa mtaa huu

CDM mbona fujo hivi?? Haya ndio maandamano ya amani??
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya demokrasia ya kupiga kura na demokrasia ya kukubali matokeo. Nadhani ni wakati wa kukubali matokeo kwasababu kura zilihesabiwa kwa uwazi mbele ya mawakala wa vyama vyote.. sidhani kama ni haki kutuharbia biashara zetu na mabomu yenu ya machozi.
 
mda huu watu 3 wamejeruhiwa vibaya baada ya kumwaga matunda Katika soko dogo hapa mtaa wa shunu, hadi sasa hali si rafki kwa wakaazi wa mtaa huu

CDM mbona fujo hivi?? Haya ndio maandamano ya amani??
Hakuna maandamano ya amani. Wangekuja kuniharibia biashara yangu ...ningewaingiza olimpiki
 
Abroad asylum seekers are struggling as much as they can to turnish our country. This is because they want to frame themselves as dissidents!

If you want to leave for your so called green pasture abroad just follow the friendly procedure, which will not harm your fellow countrymen. No one is restricting you to leave the country peacefully !
 
Conspiracy theory; upinzani ukishindwa huwa kuna sababu, lakini wao wakishinda huwa ni haki yao. Upinzani Tanzania haujawahi kukubali matokeo ya uchaguzi wa rais tangu uchaguzi huo uanze takriban miaka 25 iliyopita.
Unaonaje ukitoka nje ya boksi?
 
Hatuandamani ili kupiga picha. Tunaandamana ili kupinga udhalimu. Vyovyote vile, ni lazima kama binadamu tuliopewa akili na Mungu tupinge udhalimu kwa namna zote.
Niko hapa nasubiri wenzangu tuandamane. Mnafeli wapiiii? Mbona humu mnaongea kwa hisia kali lakini lodi hamtokeiiii?
Nimechoka kusubiri
 
The US Problem is not Tanzania Election Results but Termination of Symbion Power Project.

The CCN on October 30, 2020 published an article titled as, US cites credible allegations of fraud in Tanzania election.

The article alleged that there were serious doubts about the credibility of Tanzania’s presidential election while the leading opposition candidate urged countries not to recognize the results.

The article cited the US embassy in Tanzania saying that there had been credible allegations of significant election –related fraud and intimidation when voters were electing a president and lawmakers.

The statement from the US embassy in Tanzania should be taken as hypocrisy as voters elected the president and lawmakers peacefully. The same embassy itself released the statement on October 29th saying that the vote was peaceful and orderly in Tanzania mainland and Zanzibar.

Nevertheless, the question should be is the US really concerned about Tanzanian election results or it is using it as the pretext of hiding her interest in Tanzania.

The answer is obvious NO. The US is using the Tanzania election results to hide their interests in Tanzania.

The US still concerned with the fate of its dubious Symbion Power project that Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) terminated its contract in 2016 after discovering that the company was siphoning taxpayers’ money by charging billions of shillings a day while making a loss to TANESCO and disrupting power availability in the country.

After the contract was terminated, the US Symbion Power Tanzania Ltd on 13 March 2017 filed a request for arbitration at the International Chamber of Commerce (ICC) in Paris claiming breach of contract due to non-payment by Tanzania Electricity Supply Corporation (TANESCO) for power from the 126MW Ubungo plant (AE 331/1).

Symbion claimed that TANESCO had refused to pay for its power since the contract was agreed, claiming variously that the power purchase agreement (PPA) had been β€œput on hold”, never been signed or, later, that it had been rescinded.

In early 2011, Symbion had acquired a 120MW natural gas-fired power plant in Ubungo, Dar es Salaam.

Symbion also constructed two emergency power plants at Dodoma (55MW) and Arusha (50MW) to deliver power to the national grid during several years of drought when shortage of water in key dams and waterways depleted the hydroelectric resources available in the country.

The contract was for 15 years.
It was officially launched in 2013 by then the US President Barack Obama when the visited Tanzania under the name β€œthe US Government’s Power Africa Initiative.

So, one can easily see why the US is not happy with the fifth government’s decision to terminate the symbion power project which was launched by the US President.

The four-year dispute with Symbion Power, an American power producer that develops and operates projects in several African countries is central cause for the anger.

Due to this, last month the US congress about the political and economic developments in Tanzania passed the resolution.

The House resolution 1120 Cites reports of corruption and harassment of U.S. companies operating in Tanzania
Several commercial disputes exist between US and Tanzania.

The four-year dispute with Symbion Power, an American power producer that develops and operates projects in several African countries is central among them.

The dispute is about the breach of a 15-year power purchasing agreement for the Ubungo power plant. The company alleged that the Tanzanian annulled the contract without giving neither cause nor compensation despite the efforts by the company to seek a mutually agreed to solution.

In the submission to the Office of the United States Trade Representative, Symbion questioned the eligibility of Tanzania to export duty-free apparel to the U.S under the African Growth and Opportunity Act (Agoa). As an AGOA beneficiary, Tanzania exported apparels worth $40 million to the U.S, supporting thousands of Tanzanian jobs.

The resolution by the Congress pointed out that Tanzania has adopted and enforced repressive laws limiting freedom of the press, and expression, assembly, and association.

The US House of Representatives voted for H. RES. 1120, a leading Democrat Rep. Karen Bass (D-CA) and Rep. Chris Smith (R-NJ) sponsored it. The passing of the resolution will empower the Trump administration to take the necessary legal justifications to impose economic and other punitive sanctions on Tanzania. Sanctions could affect several economic activities particularly major mining firms with operations in Tanzania.
 
Symbion ni mradi wa wana-CCM na mabeberu wa Kimarekani.
 
Hatuandamani ili kupiga picha. Tunaandamana ili kupinga udhalimu. Vyovyote vile, ni lazima kama binadamu tuliopewa akili na Mungu tupinge udhalimu kwa namna zote.
Mbona hujaonekana field? Mnapishana tu kwenye threads Jamii forums.. Maandamano ya kwenye simu yana impact ndogo sana ndo maana hua unatakiwa kuyatoa mtandaoni kuyapeleka field(barabarani). Au hayakuwa kwa masrahi ya mwananchi wa kawaida!
 
Watz wamekataa maandamano. Wanasaccos waiteni mabeberu wakina Amsterdam waje waandamane wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…