Maandamano ya UVCCM kupongeza Rais Hayataruhusiwa! Maelekezo ya kuyazuia yatatolewa muda wowote kufikia kesho

Maandamano ya UVCCM kupongeza Rais Hayataruhusiwa! Maelekezo ya kuyazuia yatatolewa muda wowote kufikia kesho

Hakuna maandamano yatakayoruhusiwa!

Iwe ya kupongeza au kupinga!

Maelekezo yameshajadiliwa! Tangazo la marufuku litatolewa muda wowote kuanzia sasa!

Maandamano hayapo msipoteze muda kuyajadili! HAYAPO

Yakifanyika Mimi dmkali nitafuta akaunti yangu!!
Ahidi kitu kingine kizuri
 
Hakuna maandamano yatakayoruhusiwa!

Iwe ya kupongeza au kupinga!

Maelekezo yameshajadiliwa! Tangazo la marufuku litatolewa muda wowote kuanzia sasa!

Maandamano hayapo msipoteze muda kuyajadili! HAYAPO

Yakifanyika Mimi dmkali nitafuta akaunti yangu!!
Sawa Mzee wa kumogoa! Ule uzi wa kumogoa ilikuwa matata sana!
 
Hakuna maandamano yatakayoruhusiwa!

Iwe ya kupongeza au kupinga!

Maelekezo yameshajadiliwa! Tangazo la marufuku litatolewa muda wowote kuanzia sasa!

Maandamano hayapo msipoteze muda kuyajadili! HAYAPO

Yakifanyika Mimi dmkali nitafuta akaunti yangu!!
wanataka ya Slaa 22/7 yasiruhusiwe kwa kisingizio cha kuzuia haya ya chawa
 
Hakuna maandamano yatakayoruhusiwa!

Iwe ya kupongeza au kupinga!

Maelekezo yameshajadiliwa! Tangazo la marufuku litatolewa muda wowote kuanzia sasa!

Maandamano hayapo msipoteze muda kuyajadili! HAYAPO

Yakifanyika Mimi dmkali nitafuta akaunti yangu!!
Labda uahidi kutembea uchi kuanzia Kigogo Hadi Kinondoni studio.
 
Duuh ama kweli jamaa wamezuia kweli akaunti yako imepona
IMG-20230717-WA0000.jpg
 
Shida imeanzia pale ajenda ya kuwakabidhi bandari DPW imechomekiwa Uzanzibar.

Sasa huyo Mwenyekiti UVCCM taifa pia ni mzanzibar, badala ya kupata positive response ya maandamano kuunga mkono ubinafsishaji wa bandari itazaaa taharuki zaidi.

Shinda ni Mwenyekiti UVCCM taifa pia ni mzanzibar.
 
Shida imeanzia pale ajenda ya kuwakabidhi bandari DPW imechomekiwa Uzanzibar.

Sasa huyo Mwenyekiti UVCCM taifa pia ni mzanzibar, badala ya kupata positive response ya maandamano kuunga mkono ubinafsishaji wa bandari itazaaa taharuki zaidi.

Shinda ni Mwenyekiti UVCCM taifa pia ni mzanzibar.
Wana hoja
 
Target ni Maandamano ya Upinzani ,hao UVCCM wametolewa kama chambo ili yakatazwe ,lengo ni kuweka precedence kwamba hata CCM walizuiliwa.
 
Back
Top Bottom