Maandamano ya UVCCM kupongeza Rais Hayataruhusiwa! Maelekezo ya kuyazuia yatatolewa muda wowote kufikia kesho

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hakuna maandamano yatakayoruhusiwa!

Iwe ya kupongeza au kupinga!

Maelekezo yameshajadiliwa! Tangazo la marufuku litatolewa muda wowote kuanzia sasa!

Maandamano hayapo msipoteze muda kuyajadili! HAYAPO

Yakifanyika Mimi dmkali nitafuta akaunti yangu!!
 
Ahidi kitu kingine kizuri
 
Sawa Mzee wa kumogoa! Ule uzi wa kumogoa ilikuwa matata sana!
 
wanataka ya Slaa 22/7 yasiruhusiwe kwa kisingizio cha kuzuia haya ya chawa
 
uvccm ni liability ndani ya ccm hamna la maana zaidi ya kujikomba,kulamba viongozi miguu,kumendea teuzi.Hawana lolote wanalopendekeza la maendeleo zaidi ya kusema ndio mama.
 
Labda uahidi kutembea uchi kuanzia Kigogo Hadi Kinondoni studio.
 
Shida imeanzia pale ajenda ya kuwakabidhi bandari DPW imechomekiwa Uzanzibar.

Sasa huyo Mwenyekiti UVCCM taifa pia ni mzanzibar, badala ya kupata positive response ya maandamano kuunga mkono ubinafsishaji wa bandari itazaaa taharuki zaidi.

Shinda ni Mwenyekiti UVCCM taifa pia ni mzanzibar.
 
Wana hoja
 
Target ni Maandamano ya Upinzani ,hao UVCCM wametolewa kama chambo ili yakatazwe ,lengo ni kuweka precedence kwamba hata CCM walizuiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…